data

  1. sky soldier

    Kuongeza bei za data, lengo ni kuibana internet isifikie wengi au ni kuota ndoto kwamba wananchi wana pesa za mchezo kununua mabando

    Miezi michahe iliyopita hili jambo lilipigiwa kelele sana pale mitandao yote kwa mpigo iliposhinikizwa kubadili bei zao kutokana na mabadiliko kadhaa ya sheria. Kiukweli kisu kiligonga mfupa na wananchi kelele zao zilikita kila kona na mpaka raisi akaingilia kati. kwa sasa ndani ya miezi...
  2. teac kapex

    Msaada juu ya data network ya hii Galaxy note 9.

    Kwa kweli simu nilizoamini ni nzuri ni pamoja na Samsung lakini kwangu imekuwa tofauti, mwanzoni simu ilikuwa vizuri lakini sasa hivi natamani kurudi kwenye tecno na infinix, maana nikiwa safarini nawaona wenzangu wakivinjari kwenye mitandao ya kijamii mwanzo mwisho wa safari lakini hili la...
  3. E

    Naombeni data kwa aliyepimwa na mlinzi akakutwa na korona

    Tangu ugonjwa wa korona uingie kuna maeneo mbalimbali kabla ya kuingia unapimwa na mlinzi kama hauna dalili za korona kwa kuangaliwa joto la mwili. nauliza haya maeneo kama bank maofisini shopping mall viwanja vya ndege, hivi kuna aliyegundulika na korona kwa kutumia kipimo hiki cha walinzi?
  4. Suley2019

    Kufanya Backup ni muhimu katika kulinda Data zako binafsi

    'Back up' ni hatua muhimu ya #UlinziWaData kwani humsaidia Mhusika kutunza taarifa zake muhimu ili akipoteza kifaa chake au kikiharibika aweze kuzipata taarifa hizo Kuna majukwaa mengi yanayotoa huduma ya Backup kama Google Drive, One Drive, Team Drive, iCloud, SugarSync, MyPCBackup, Dropbox n.k
  5. Suley2019

    Taarifa binafsi ambazo unapaswa kuzilinda (Personal Data)

    Taarifa binafsi ni taarifa zozote zinazohusiana na Mtu na ambazo zinaweza kumtambulisha Mmiliki wa taarifa hizo. Hizi ni taarifa ambazo Mtu anapaswa kuwa makini katika Matumizi yake ili kuepuka uwezekano wa kutumika vibaya Taarifa hizi huusisha Majina, Anwani ya Nyumbani (location), Barua pepe...
  6. T

    Data Tasks and Research Solutions with Digital Technologies

    Whether you are an undergraduate, a master, or a Ph.D. student, researcher, consultant, or working on any project (from personal projects to critical mission data-intensive projects) that requires you to collect, store, manage, process, and analyze data or just doing one of these tasks, we have...
  7. K

    Natafuta kazi (uhasibi, cashier, teller, auditor,data clerk,bookeepr)

    Mimi mhitimu wa shahada ya kwanza ya uhasibu ( Bachelor degree of accounting-IFM) ,Mwenye uzoefu wa mwaka mmoja katika fani ya uhasibu.pia nina uzoefu katika application za MS Exel,MS word , MS PowerPoint, typing . Kwa sasa nafanya CPA (T) nipo intermediate level Nipo dar es salaam pia naweza...
  8. Khadija Mtalame

    Mafyongo Ikulu: Wakurugenzi wawili wameteuliwa sehemu mbili tofauti

    1. Lutengano George;- kateuliwa Wilaya ya Bukombe-Geita na Wilaya ya Misungwi-Mwanza (21&108) 2. Dollar Rajab Kusenge naye kateuliwa Wilaya ya Kasulu -Kigoma na Wilaya ya Njombe- Njombe-. (46&115) Ikulu hawako serious. Zaidi, soma: News Alert: - UTEUZI: Rais Samia afanya uteuzi wa Wakurugenzi...
  9. Artifact Collector

    MYU Capital develop data science system with no acquisition cost, you will pay only installation and set up cost

    MYU Capital is analytics and investment research company, develop data science system. We Assist enterprise to develop data science system for different purpose you will pay zero in acquisition, and paying only installation and set up cost. After handover system to you we will fix all problem...
  10. J

    Jinsi gani ya kuset data plan katika Simu?

    Samahani, mwenye uelewa na hii feature anisaidie jinsi ya kuset data plan
  11. Shujaa Mwendazake

    Serikali acheni "Kutengeneza Kick" kwa gharama zetu; Bando za Data mlitudanganya, tuondoleeni kabisa hii Sheria ya Tozo

    Nilipomsikia Mh Mwigulu kuwa wameagizwa na Mama kuangalia upya Tozo za miamala kuwa zinatia shaka ghafla nimekumbuka suala la Bando za data kupunguzwa kipindi kile na Mh Ndugulile. Zilipopunguzwa ziliibuka sarakasi nyingi na maneno yakawa ni mengi. Hatimaye Mama Samia akaagiza zirudishwe na...
  12. Below 40

    Samsung s6 edge+ inafeli ku acces internet data.

    Asalam wakuu natumaini wazima. Kuna simu Samsung s6 inazingua accessibility ya internet kila nikijaribu ku surf inanambia unblock Samsung internet first hata nikitumia wi fi mziki ni uleule,naombeni ushauri kabla sija restore factory au kuiflash nifanye nini?
  13. Kasomi

    Kujua Application zinazotumia Data na kuweka ukomo

    Kujua aplikesheni zinazotumia zaidi data. Nenda sehemu ya settings(Mipangilio) Kisha bonyeza kitufe cha Network & internet/connections(mtandao na miunganisho) Kisha bonyeza Data Usage(Matumizi ya data) kisha Mobile data usage(matumizi ya data ya simu). Kudhibiti matumizi. Nenda kwenye...
  14. Rebeca 83

    #COVID19 Do we need data for Covid?

    Covid-19 is viral infection pandemic that emerged in 2019 that has bought undesired consequences such as business closures, anxiety, uncertainty, loss of life etc. in dealing with it measures such as social distancing, face coverings etc have been deployed. Efficiency of these measures have been...
  15. Hamis Juma

    Data Collection - part time (Varsity students and recent graduates)

    Asante. Wamepatikana, asante wachache kwa mliokuja PM na offfer zenu, tutaigawa wote tupate.
  16. Mesorphine

    Msaada juu ya kuprint data zote kwenye drop down list kwenye excel 2013

    Habari ya uzima wakuu katika jukwaa la technolojia. Naomba mwenye ujuzi wa kwenye ms. excel anisaidie jinsi ya kuprint data zote kwenye “drop down menu” automatically kwa kutumia button moja. Au hata kwa kutumia VBA code azinisaidie then kuziset kwa kuedit sheet ya drop down list na cell...
  17. Suley2019

    #COVID19 IMF: Tanzania lazima iweke wazi takwimu za COVID-19 ili ipate msaada wa dharura

    Tanzania inahitaji kuweka wazi data ya ueneaji kwa Covid-19 kabla ya kupata idhini ya mkopo wa dharura wa Dola 574 milioni kutoka Shirika la Fedha la Kimataifa. Maamuzi hayo yanatokana hali ya kutojulikana kwa takwimu halisi za ugonjwa huo tangu Serikali ilipoacha kuziweka wazi Mei mwaka 2020...
  18. stakehigh

    Mauzo ya data Tanzania ni hasara

    Kwa wale waliofuatilia interview ya boss wa Voda Hashim Hendi, ali-hint kuhusu bei za data kwamba makampuni ya simu Tanzania yanauza data kwa Sh1 to 1.2 per megabyte, kama aliyoyasema ni kweli basi nchi nzima makampuni hayana net profit kwenye mauzo ya data na hata process ya kuuza minara...
  19. Jamii Opportunities

    Data Analyst at The School of St Jude

    Data Analyst Want to work for one of the largest charities of its kind in Africa? Are you passionate about data and making stories out of numbers? If it sounds like we’re talking about you… Keep reading! About Us The School of St Jude is a pioneering leader in charitable education within...
  20. Jamii Opportunities

    Data Manager at ASUTA

    Job Title: Data Manager Job Location: Dar es salaam. Temeke District Organisation: Asasi ya Uwezeshaji Tanzania – ASUTA Asasi ya Uwezeshaji Tanzania – ASUTA working in partnership with FHI 360 on Epidemic Control (EpiC) which is a global project funded by the U.S. President’s Emergency Plan...
Back
Top Bottom