Nina tatizo sugu ila nahisi sio peke yangu, nilisikiliza comedy moja ya black america yule aliepigwa kofi na Wily Smith, alisema usisikie sijui unaweza kunyuri mara mbili au tatu, alidai hayo ni maneno ya kupeana moyo tu, ukishapiga goli moja ndio imetoka, kuendelea na game ni kutafuta...