The man (Paul Christian Makonda) involved in gross violations of human rights and extrajudicial killings during Magufuli regime, enjoys the highest level of impunity under President Samia.
Namshukuru MUNGU kwa kuendelea kunipa pumzi hii, kitu ambacho ni adimu kuliko vyote.
Sifurahii umri kuongezeka maana siku za kuishi zinapungua bali umri unavyokwenda na uwezo wa kufikiri unaongezeka zaidi.
Happy birthday to me..
Mabibi na Mabwana wa JF....
Kasinde
na Mahabibi wake (Da.....) tunawatakia siku ya ufunguaji maboksi mwema.
Yetu tushafungua
tukiwa na pajama
(Usiulize maswali, sina majibu)
sasa twaenda sakata rhumba viunga vya baharini...... si kwa joto hili la Mbagala....
Enjoy your day, with...
Krismasi (pia Noeli) ni sikukuu ambayo Wakristo wengi husheherekea kuzaliwa kwake Yesu Kristo zaidi ya miaka 2000 iliyopita.
Kuna majina mawili yaliyo kawaida kwa Kiswahili kwa ajili ya sikukuu hii:
1- Krismasi inatokana na neno la Kiingereza lenye maana ya "Christ`s Mass" yaani misa au ibada...
Kupiga hatua ni pamoja na kujifunza kutokana na makosa.
Kwa kuangalia tukio la jana, umuhimu wa kuwa na moderators (@mods) unaonekana wazi.
Pana haja ya kuwaandaa moderators katika hadhira kutegemeana na wageni waalikwa.
Kwa kweli kubeza majanga ya Nzige wakati waathirika wapo kulikuwa...
Today Google doodles on Tanzania's Independence Day in commemoration of the day when Tanganyika, the mainland region of Tanzania, gained independence in 1961.
=====
Ni kawaida kwa google kubadilisha muonekano wa nembo yao katika home page kulingana matukio mbalimbali kwa siku husika.
Happy...
Habari za asubuhi
Natumaini wote tutakuwa wazima wa afya kabisa kama Kuna mtu anaumwa na mtakia quick recovery katika tatizo
Nawatakia happy independence Day 🇹🇿 kwa mana yanga wote tukutane tarehe 11
Abuu Kauthar
Miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika, awamu sita za uongozi kuanzia mwaka Desemba 9, 1961 hadi leo Desemba 9, 2021. Kila awamu ilikuwa na mambo yake kutokana na mazingira ya wakati huo.
Julius Nyerere
Awamu ya kwanza chini ya Rais Julius Kambarage Nyerere ilikuwa ni ya kujenga...
Wanabodi!
leo tunapo sherehekea maadhimisho ya miaka 60 ya uhuru, ni maadhimisho ya Tanzania, japo iliyopata uhuru ile Desemba 9, ni Tanganyika na sio Tanzania, maadhimisho ya leo ni maadhimisho ya Tanzania, yaani Tanzanian National Day, na sio Tanganyika. Kumbukumbu ndio ya Uhuru wa Tanganyika...
On this day in 1783, George Washington, then commanding general of the Continental Army, summons his military officers to a tavern in New York City to inform them that he’ll be resigning his commission and returning to civilian life.
Of course, in six years he’ll be coaxed out of retirement and...
On this day in 1894, Princess Alix of Hesse, Queen Victoria’s granddaughter, married Nicholas II, Tsar of Russia at the Imperial Chapel of the Winter Palace. In this atmospheric painting by Laurits Tuxen, the bridegroom and bride are holding lit candles and the Metropolitan Archbishop of St...
John Knox and the Scottish Reformation
by Leah Rhiannon Savage
This article presents the role John Knox’s leadership played in the success of the Scottish Protestant Reformation in 1560.
John Knox, born in approximately 1514 in Haddington, East Lothian, Scotland, is considered as one of the...
Leo ni siku ya Wanaume duniani...
Mwanaume ni nani? Ni yule anayeweza kujitoa maisha yake bila kutegemea malipo yoyote kutoka kwa familia yake.
Mfariji wa familia, Mjenzi, msimamizi, mlinzi, kiongozi wa kiroho wa family, mlipa ada na kodi.
Mwanaume ni yule anayeficha chozi lake ili kulinda...
MOHAMED SAID: HAMZA KASSONGO ON SUNDAY NYERERE DAY 2
Namzungumza Mama Maria Nyerere na juhudi zake za kusaidia familia yake kujikimu baada ya Mwalimu Nyerere kuacha kazi na kuwa mtumishi wa TANU.
MATAYARISHO YA NYERERE DAY NA HAMZA KASSONGO ON SUNDAY
Hamza Kassongo amenihoji historia ya Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na jinsi alivyoishi na marafiki zake aliojuananao siku za mwanzo alipofika Dar es Salaaam mwaka wa 1952.
Nilimweleza Hamza Kassongo historia ya Mwalimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.