day

A day is approximately the period during which the Earth completes one rotation around its axis, which takes around 24 hours. A solar day is the length of time which elapses between the Sun reaching its highest point in the sky two consecutive times. Days on other planets are defined similarly and vary in length due to differing rotation periods, that of Mars being slightly longer and sometimes called a sol.
The unit of measurement "day" (symbol d) is defined as 86,400 SI seconds.
The second is designated the SI base unit of time. Previously, it was defined in terms of the orbital motion of the Earth in the year 1900, but since 1967 the second and so the day are defined by atomic electron transition.
A civil day is usually 24 hours, plus or minus a possible leap second in Coordinated Universal Time (UTC), and occasionally plus or minus an hour in those locations that change from or to daylight saving time.
Day can be defined as each of the twenty-four-hour periods, reckoned from one midnight to the next, into which a week, month, or year is divided, and corresponding to a rotation of the earth on its axis. However, its use depends on its context; for example, when people say 'day and night', 'day' will have a different meaning: the interval of light between two successive nights, the time between sunrise and sunset; the time of light between one night and the next. For clarity when meaning 'day' in that sense, the word "daytime" may be used instead, though context and phrasing often makes the meaning clear. The word day may also refer to a day of the week or to a calendar date, as in answer to the question, "On which day?" The life patterns (circadian rhythms) of humans and many other species are related to Earth's solar day and the day-night cycle.

View More On Wikipedia.org
  1. beth

    Oktoba 16: Maadhimisho ya Siku ya Chakula Duniani (World Food Day)

    Siku ya Chakula Duniani huadhimishwa kila Oktoba 16 ikiwa na dhumuni la kutoa uelewa na kujadili hatua zinazoweza kuchukuliwa kukabiliana na suala la Njaa na milo bora kwa wote Shirika la Chakula la Umoja wa Mataifa (FAO) linasema athari za kiuchumi kutokana na COVID19 zinaweza kuongeza Watu...
  2. M

    Aliyepanga na kuamua sherehe za kuzima mwenge zifanyike kwenye tarehe ya "Nyerere day" ni nani?

    Mambo mengine yanakera!! Mwenge unaweza kuzimwa siku yoyote!! Kwa nini ipangwe kuzima mwenge siku ya kumbukizi maalumu ya baba wa Taifa?? Kwa nini zipangwe shughuli zingine za kiserikali katika siku ambayo ni Public holiday iliyotengwa kama siku ya kumbukizi ya baba wa Taifa? Dhambi hii ni...
  3. Mohamed Said

    Nyerere Day: tuwakumbuke mashujaa hawa wawili kwa pamoja

    NYERERE DAY: TUWAKUMBUKE MASHUJAA HAWA WAWILI KWA PAMOJA ABDULWAHID KLEIST SYKES NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE Leo tarehe 13 Oktoba ndiyo siku aliyozikwa Abdul Sykes siku ya Jumapili mwaka wa 1968. Fumba macho yako na lete picha ya Mtaa wa Lindi, Gerezani mwaka wa 1968 umma mkubwa umefurika...
  4. Mohamed Said

    Nyerere Day: Tumkumbuke Bi. Titi Mohamed na juhudi za kumtoa Jomo Kenyatta kifungoni Kapenguria

    NYERERE DAY: TUMKUMBUKE BI. TITI MOHAMED NA JUHUDI ZA KUMTOA JOMO KENYATTA KIFUNGONI KAPENGURIA Msukumo mkubwa wakati nchini Kenya ilikuwa kufanya kampeni ya nchi nzima kuwashinikiza Waingereza wamwachie huru Kenyatta aliyekuwa akichukuliwa na wananchi wote kama kiongozi na nguvu ya umoja wa...
  5. Mohamed Said

    Nyerere Day: Kutoka Ukumbi wa Arnautoglo 1963 hadi Ukumbi wa Diamond 1985

    NYERERE DAY KUTOKA UKUMBI WA ARNAUTOGLO 1953 HADI UKUMBI WA DIAMOND JUBILEE 1985 Julius Kambarage Nyerere aliunyanyua mguu wake kuanza safari ya uongozi wa Tanganyika tarehe 17 April 1953 katika uchaguzi wa kugombea urais TAA. Julius Nyerere sasa akijulikana kama Baba wa Taifa aliliaga taifa...
  6. Mohamed Said

    Matauarisho ya Nyerere Day 2021

    MATAYARISHO YA NYERERE DAY 2021 Tukielekea Nyerere Day 2021 wadau wa historia ya TANU na uhuru wa Tanganyika na kwa hakika ndiyo historia ya Mwalimu Nyerere wamekuwa wakinihoji mengi kuhusu maisha ya Baba wa Taifa. Mtangazaji wa TBC Television Safina Yasin leo alinitembelea nyumbani kwangu na...
  7. Suley2019

    The day Zuena refused to send Bebe Cool money

    Besides being wives to artistes, Zuena and Barbie have another thing in common. They are businesswomen who know what their money is worth. A few days ago, Bebe Cool learnt something he had never witnessed from his wife over the 20 years they have been together. The Zuena pastries proprietor...
  8. M

    Wallah! Kama Simba SC itacheza Mpira Mkubwa iliyocheza Simba Day na TP Mazembe, kuna Mtu tarehe 25 anafungwa Goli 7

    Kuna Timu kwa nia njema tu naionya kwakuwa bado ina Jeraha la Kufungwa mara mbili Dar es Salaam na Port Harcourt isikubali Kucheza Mchezo wake wa Ngao ya Hisani (Jamii) na Simba SC tarehe 25 Septemba, 2021. Kwa aina ya Mpira mkubwa (mwingi) na wa Kiwango cha Kimataifa iliyoucheza (...
  9. M

    Kwanini Mightier sijachukia Simba SC yangu Kufungwa Goli 1 kwa 0 na TP Mazembe katika Simba Day na bado nina Furaha kwa Mbungi Kubwa iliyopigwa?

    1. Nimefungwa na Timu Bora mwenzangu na ambaye ameshakuwa Bingwa wa CAF CL mara Tano tofauti na Zanaco FC au Rivers United FC. 2. Nimefungwa na Timu yenye Uzoefu mkubwa wa Kimpira kuliko Zanaco FC au Rivers United FC. 3. Nimefungwa na moja ya Timu si tu Kubwa bali ni Tajiri pia barani Afrika...
  10. LIKUD

    Hiki kituko cha msimu, yaani Profesa Jay ndio MC wa Simba day

    Simba hawajujipanga kuandaa hiyo shughuli. Ma mc WaPo very dis organised. Morrison nae ndio kaongea makolokolo Gani ? Simba SC is very boring. # Haji Manara is cut from a different cloth
  11. kavulata

    Simba day bila Manara ni vuruvuru

    Nafasi ya Haji Manara imebaki wazi Simba. Kamwaga, Masao Mbwire na Salma Ngale kwa pamoja ni pungufu ya Haji Manara. Wamegeuka hanyahanya fc. Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni. Haji hazibiki.
  12. tpaul

    Simba kwa huyu mgeni rasmi wa Simba Day leo, mmetuangusha sana mashabiki

    Naingia kwenye hoja moja kwa moja lakini awali ya yote naomba ku declare intest kwamba mimi ni mwanaSimba kindakindaki. Nina imani Simba Day ya leo tarehe 19/9/2021 imeandaliwa vizuri kimkakati na kimipango lakini kuna jambo moja ambalo klabu imetukusea sisi mashabiki wa ukweli wa Simba. Tangu...
  13. M

    Kilichopangwa kutokana na Hujuma ya N-CARD dhidi ya Simba SC katika Simba Day ni hiki... Viongozi wa Simba SC muwe makini

    1. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine Katibu Mkuu ) wamefanya hivi ili Mashabiki wa Simba SC wakate Tamaa na wasiende Uwanjani Klabu ikose Mapato makubwa. 2. Watu wa Data ( N-CARD ) kwa Kushirikiana na Wakubwa Wawili ( Mmoja Waziri na mwingine...
  14. lee Vladimir cleef

    Naomba ushauri juu ya simba day 2021 natalia niende na mwanagu

    Nina mtoto kamaliza darasa la saba mwaka huu,anatamani sana kuhudhuria na kushuhudia simba day, Nina uwezo wa kulipua tiketi za 30000 . Lakini high yangu ni sijui kama utaratibu wa nafasi za kukaa ukoje? Je tiketi zina namba kama za kwenye sinema? Je hakutakua na vurugu,usumbufu? Je tunaweza...
  15. Christopher Wallace

    Pengo la Haji Manara, Simba yakodisha vipindi vya Clouds Fm ili kutangaza tamasha la Simba day

    Yaani leo hii Simba wakukodi vipindi vyote vya clouds fm ili wapigiwe promo ya tamasha lao, hii ni aibu kubwa sana! Tangu jumatatu wiki hii vipindi vya leo tena na sports xtra havifanyiki studio bali vinafanyika mtaani tena kwenye matawi ya klabu ya Simba. Inaonekana Mo amelipa hela nyingi...
  16. maatope

    Inasikitisha sana: Simba day ishafelishwa na tulioaminishwa ni wa kisasa

    Nikiwa kama mshabiki wa simba nawapa pole wote mnaoshindwa kununua tiketi za Jumapili, msiwe na wasiwasi ikifika Jumatatu wahusika watarudisha system yao vizuri Mwaka jana walifanikiwa ku frustrate wanunuzi wa tiketi na mwaka huu bado siku mbili jamaa wanaupiga mwingi sana hadi sasa huku kina...
  17. Roving Journalist

    Siku ya Demokrasia Duniani (2021): Rais Samia azungumza na Wanawake wa Tanzania, jijini Dar es Salaam

    Siku ya Demokrasia Duniani huadhimishwa kila Septemba 15, ikitoa fursa ya kuangalia hali ya Demokrasia ulimwenguni kote. Miongoni mwa misingi muhimu ya Demokrasia ni kuheshimu #HakiZaBinadamu Umoja wa Mataifa (UN) umesisitiza Nchi kuheshimu na kulinda Uhuru wa Kujieleza, Uhuru wa Habari pamoja...
  18. Erythrocyte

    Happy born day Mwamba Mbowe

    Leo ni siku yako ya kuzaliwa na unaiadhimisha ukiwa jela kutokana na kupigania Uhuru wa Nchi yako. Mungu akupe maisha marefu
  19. Teleskopu

    Ni uongo tu toka Day 1

    Tutazidi kujaribu kufungua macho ya kila anayependa uzima. Ni kazi ngumu lakini sasa ufanyeje? Hata nikifanikiwa mmoja, si mbaya. Hebu jiulize, kwani wanaficha nini? Hilo swali tu linatosha kukupa wasiwasi wote unaohitajika. Dawa zote zenye maboksi lazima ukute karatasi ndani ambayo imeandikwa...
  20. demigod

    Kwanini Timu Mbalimbali hazivutiwi kuja Dar kushiriki Simba Day?

    Wadau za Jioni. Taarifa za ndani ambazo bado hazijawafikia walio wengi ni kwamba Barua za mialiko zinagonga mwamba huko. Jitihada za Tembo lakini Matokeo kisoda. Ni nini shida imewakumba Makolokolo FC. Barbara Gonzalenz amekuwa hatulii kabisa siku hizi. Kila wiki ninakutana nae pale Julius...
Back
Top Bottom