Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa
Chama cha Waandishi wa Habari za Michezo Tanzania (TASWA), kimeandaa bonanza maalumu la waandishi wa habari na wafanyakazi wa vyombo vya habari nchini "TASWA Media Day Bonanza 2024" linalotarajia kufanyika Februari 10, 2024...
Waslaam wana JF
Kwa wale wazeee wa ma-lovey dovey dovey hii ni sikukuu pendwa sana kwenu
Binafsi, ninafikiria kwenda kusherekea na watoto yatima, nataka nitoe sadaka ya vitu mbali mbali kwa watoto yatima ili upendo wa Mungu uendelee kuwa nao
Asanteni
1. Mambo yenda yakiongezwa, si white house, mabakabaka, tiss ya huko, nk wataonyesha hadharani kutoridhika kwao na mambo yalivyo.
2. Hii sasa ni serikalini, kwamba mambo lukumba lukumba!
3. Kwamba kitanuka vilivyo huko kuelekea anniversary day 100 ya uvamizi wa Israel Gaza.
4. Mahsusi...
Imekuwa kawaida vyombo vinapokuja kunihoji kuhusu masuala ya historia
wale wanaonihoji husikia historia ambazo hawakupata hata siku moja kuzisikia wala hawakusomeshwa si shule ya msingi, sekondari au chuo kikuu.
Basi tunapomaliza mahojiano huwa wananiuliza maswali mengi sana kiasi husema kuwa...
Uko vizuri sana kijana na ndio maana kocha kakuona na kakujumisha kwenye kikosi Cha awali Cha timu ya Taifa ya Ivory coast sio jambo dogo!
Lakini imekuwa ngumu kupenya mbele ya wachezaji wakubwa wanaokipiga ulaya wanaocheza nafasi yako ambao ni:
1)Ibrahim sangare-Notingham forest-England
2)Jean...
Club Ya Manchester United Alimaarufa Mashetani Wekundu imepata Ushindi katika Mchezo wake dhidi ya Aston Villa ambapo Mchezo huo umepigwa katika uwanja wa Old Trafford.
Aston villa walikua wa kwanza kutangulia kupata goli 2 kupitia kwa Captain McGinn na Dendoncker
Lakin Man Unuted ikafanya...
1. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya Kutokualikwa Krisimasi jana kutokana na Hali Ngumu ya Kimaisha iliyoko kwa 95% ya Watanzania
2. Tuna Usununu ( Makasiriko ) ya kutopata Hela ya Kutatua taabu zako za kulipia Kodi unakoishi, kujaza Mafuta Gari lako la Mkopo na Kulipia Chumba Gesti baada ya...
Tunatafuta mwalimu wa day care in Dar es Salaam. Vigezo awe mwanamke, tuna kituo cha day care Salasala, anayeona mema atupigie.
0717457679
CHANGAMOTO NI MATUMAINI / www.changamoto.org / info@changamoto.org
We Did Not Invite Suluhu, Kagame, Museveni...' Ruto On Why Presidents Stayed Away On Jamhuri Day
President William Ruto dismissed claims of deteriorating diplomatic relations between Kenya and its East African Community (EAC) neighbours on Sunday.
Kenya's relations with Uganda and Tanzania are...
Sijui kwa kweli ila ni Aibu.
Achilia mbali majonzi tulio nayo Hanang...
Hali ya Miundo mbinu sehemu mbalimbali nchi..
Kukatika kwa umeme kusiko koma.
Hali ni mbaya mno. Tunaendaje sherekea. !?
Picha la kutisha..kama CYBORG....😱😱
Na milichokisahau tu ni kwamba kiuchawi na kwa dua hamuwaweza waarabu hivyo mnapoteza mno muda wenu
Pia labda niwasaidieni tu kwa kuwaambia kuwa kama ni kufanya michezo michafu (ya nje ya uwanja) hao waarabu ndiyo walimu hivyo hamtowaweza
Na msisahau kuwa hata mliowafunga kwa mtindo wa tigo...
Who is winning the battle? Nilitegemea 6 day war or something near to that ijirudie, why not this time? Ina maana Israel nguvu zake kijeshi zinatelemka, and if so , IS IT WRIGHT ONE TO PREDICT THAT existence ya Israel is at stake! Maana waarabu wakipata upenyo, wanaifuta kwenye uso wa dunia...
Salam wakuu.
Hii special kwa wakazi wa Dar na Pwani.
Najua mnakuaga busy sana, sana na kuna muda mnakosa ata muda wa kupumzisha akili na mwili, sababu ya muda na kipato kwa wengine.
Kuna hii Hiking Day trip ya kwenda Morogoro na kurudi, unaweza have some fun na uka relax sana mwili na akili...
Habarini wana jamii forums, Hope everyone is excited as I am! ni matumaini yangu wote tu buheri wa afya ya mwili na akili. Kwanza kabisa Natanguliza shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu, mwingi wa rehema aliyetukutanisha siku ya leo, Kujumuika pamoja katika jukwaa hili kwa lengo la...
Wakuu,
Biashara gani ambayo inaweza kukuingizia faida ya Tsh. 20,000/- per day kwa hapa Dar es Salaam kwa mtaji wa 1.5mil?
Binafsi nilifikiria nisajili laini za uwakala nifanye miamala ya simu but sijafahamu changamoto na faida zake.
1. Never take photos with him/her.
2. If you called and she/he hangs up, don't call back immediately.
3. Never text love-messages.
4. Satan should not tempt you to sleep at his/her house even when her/his partner is out of the country.
5. Never book the same lodging every time you go for...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.