day

A day is approximately the period during which the Earth completes one rotation around its axis, which takes around 24 hours. A solar day is the length of time which elapses between the Sun reaching its highest point in the sky two consecutive times. Days on other planets are defined similarly and vary in length due to differing rotation periods, that of Mars being slightly longer and sometimes called a sol.
The unit of measurement "day" (symbol d) is defined as 86,400 SI seconds.
The second is designated the SI base unit of time. Previously, it was defined in terms of the orbital motion of the Earth in the year 1900, but since 1967 the second and so the day are defined by atomic electron transition.
A civil day is usually 24 hours, plus or minus a possible leap second in Coordinated Universal Time (UTC), and occasionally plus or minus an hour in those locations that change from or to daylight saving time.
Day can be defined as each of the twenty-four-hour periods, reckoned from one midnight to the next, into which a week, month, or year is divided, and corresponding to a rotation of the earth on its axis. However, its use depends on its context; for example, when people say 'day and night', 'day' will have a different meaning: the interval of light between two successive nights, the time between sunrise and sunset; the time of light between one night and the next. For clarity when meaning 'day' in that sense, the word "daytime" may be used instead, though context and phrasing often makes the meaning clear. The word day may also refer to a day of the week or to a calendar date, as in answer to the question, "On which day?" The life patterns (circadian rhythms) of humans and many other species are related to Earth's solar day and the day-night cycle.

View More On Wikipedia.org
  1. Best photo of the day

    We love our president!
  2. Happy Birthday. Leo ni birth day ya Dr. Slaa.

    Leo ni birth day ya Dr Slaa. Nimeona katika internet. Ingawa yeye alitamka October 28 ndiyo birth day yake. Namtakia Dr. Slaa afya njema na mambo yote mema;yeye,familia yake na rafiki zake.
  3. S

    Tuifute Nyerere day ili nchi ipate mabadiliko ya kweli ya kiuchumi na kisiasa

    Nyerere alifanya jambo moja tu zuri ktk taifa hili, nalo ni kuondoa ukabila na ukanda, hivyo kuwafanya watanzania kuwa wamoja. Lakini mengine yote alikosea. Hivyo kuendelea kumuenzi mwalimu Nyerere ni sawa na kusema tuendelee kuyakumbatia mabaya yake yote. Ambayo ni:- 1. Muungano. Lengo...
  4. Vijana wa Rorya wamuenzi Baba wa Taifa kwa kushiriki katika Bonanza la Nyerere Day

    Katika kuenzi miaka 24 ya kifo cha baba wa Taifa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, Mkuu wa Wilaya ya Rorya, Juma Chikoka ameandaa bonanza la michezo mbalimbali kwa vijana wilayani hapo. DC Chikoka anasema kuwa lengo la bonanza hilo ni kuendeleza kutoa elimu na mwamko kwa vijana kukumbuka...
  5. Tupia picha za Aziz Ki Day hapa

    Mi naanza kwa kuweka picha za Aziz 🔑 🗝 🔐 day Uzi tayari
  6. Picha ya Aziz K na Skudu Makudubela

    Picha ya aziz k na skudu makudubela Mpiga picha ni huyo alipiga goti kapiga picha kalii sana yaani picha imetoka fresh kama imepigwa marekani
  7. Simba msibweteke na matokeo ya Simba day

    Wachambuzi wetu ni wadau muhimu kwenye mpira wetu, lakini Kuna wakati hawautendei haki mpira wenyewe kwasababu zisizojulikana au ushabiki wa timu. Simba Day umati wa mashabiki ulifurika uwanja wa Mkapa kuiona timu yao. Hii ilisababisha kocha wa Simba acheze mechi ya ushindani zaidi (must win)...
  8. The day I will never forget!

    It was July 2022, I woke up early in the morning the rays of sunlight was brightly shining like a pieces of broken glass exposed to the sunlight. Everything was silent as a desert cementry with expection of whispered from the trees.The birds were...
  9. World Cup Standouts Day 4: Luka Doncic, Austin Reaves come up big in wins

    Monday’s eight-game slate of the 2023 FIBA World Cup provided yet another impressive showing from players and teams looking to advance on the international stage. Take a closer look at some of the other top performers from games played on Aug. 28, including another big game from Luka Doncic, an...
  10. Lodge za 5000/'7000 per day Dar es salaam Pls

    Hi guys hope mko poa woteeeee rejea kichwa cha habari hapo juuu tunaomba mwenye kujua hili atupe direction pls ' kuna kazi dar tunawaleta mabinti kadhaa na makakaa wengi kidogo nahitaji .............maelekezo yenu ahsanteni isiwe mbali sana na jiji letu tukufu wale wachumi tumeelewana rgds Pdidy
  11. Robertinho hawezi kufika Nyerere Day kama kocha wa Simba kwa aina hii ya soka

    Kitakachomfanya asifike ni yafuatayo; 1. Kulazimisha Chama na Saidoo kucheza pamoja 2. Kumpanga Saidoo kwa dakika 90 huku akiwa hana uwezo huo kwa umri wake 3. Kumpanga mara kwa mara Kibu ambaye hana utulivu kabisa 4. Kucheza soka butua butua ambalo sio utamaduni wa Simba Sports
  12. Happy left handers day

  13. B

    CRDB yainyamazisha NMB tamasha la Simba Day

    Wakati maelfu ya Watanzania kutoka kila pembe ya nchi wakiacha shughuli zao na kuelekea Lupaso kushuhudia ‘Wenye Nchi,’ Klabu ya Simba ikiukaribisha msimu mpya kwa tamasha lililofana, kikosi cha timu ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB jana kiling’ara kwenye tamasha la Simba Day baada ya...
  14. Sold out ya mchongo imebumbuluka Simba Day

    Waliojinunulia tiketi kwa hela Yao walibaki nje ya uwanja na wenye tiketi za boss walikuwa ndani ya uwanja. Kuna swali tena hapo?
  15. H

    Hivi kuna nchi nyingine zenye matamasha kama haya ya Yanga na Simba day?

    Poleni na heka heka za weekend. Watu wengine watakuwa hoi bin taabani,wengine ndio kwanza kunakucha na safari za kurudi walikotoka baada ya tamasha la leo pa Simba tarehe 6 aug 2023. Kesho sijui kama kazi zitafanyika ni mwendo wa kusinzia tu maofisini na kuparaza paraza tu mafaili mradi muda...
  16. Mtazamo wangu kuhusu Simba day hasa dakika 90 za mchezo

    Timu zote mbili zimecheza vizuri sana. 1)Ukuta wa Chemalone+Inonga mmh ni balaa. Uyo Malone ana jicho haswa 2)Kwenye kiungo naona nafasi ya Ngoma dhidi ya Mzamiru 3)Mganga wa Baleke anafanya kazi nzuri kumweka benchi Moses Phiri. 3)Chama kwa uwepo wa Onana na kuongezeka kwa Ngoma mmmh...
  17. Tusidanganyane kuna Watu leo wataifuatilia Simba Day na Matukio yote Kiumakini kuliko hata wenye Simba SC yetu na tukio letu

    Hivi wanaachaje kwa mfano kufuatilia Tukio Kubwa la Simba Day ambalo Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu Samia Suluhu Hassan, kuna MC aliyekuwa Mtangazaji Nguli, Mahiri na Gumzo Salim Kikeke, Msanii Mkubwa na Dhahabu kwa Tanzania, Afrika Mashariki na Afrika...
  18. Simba Day 06 Aug 2023; Bahati Nasibu Kuchezeshwa Kwa Watakaowahi

    Kwa mashabiki 10,000 wa kwanza kufika uwanjani kesho katika #SimbaDay2023 watapewa fomu ambazo watazijaza na washindi watatu watapatikana kutoka kwenye droo ambayo itachezeshwa na Blueberry Travel Tanzania. 🛑 Mshindi wa kwanza atapata nafasi ya kutembelea Dubai. 🛑 Mshindi wa pili atapata nafasi...
  19. Sikilizeni CHADEMA hakuna aliewakataza kushiriki katika michezo

    Friends and our Weak Enemies, Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Siasa za Afrika ni Kwa waafrika, demokrasia ya waafrika ni Kwa waafrika, hawezi kuja muarabu,au muhindi,au mzungu eti aje aseme siasa zetu sisi au demokrasia yetu sisi ifanane na wao la hasha,na ndiyo Kwa maana unaona nchi...
  20. K

    Rais Samia usiende Simba Day utaumbuka

    Nimesikia kuwa Rais Samia atakuwa mgeni Rasmi kwenye kilele cha siku ya Simba Day. Namshauri asiende, anaweza kuaibika kwa kuwa kuna kakikundi ka watu nimesikia wanasema wamepanga kumuimbia wimbo wa kumkera; "Tunataka bandari zetu'. Mtakuja kuniambia. Pia soma: Rais Samia mgeni rasmi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…