day

  1. Mohamed Said

    Nyerere Day 2022: Nyumba ya Bi. Mwamtoro bint Chuma Mtaa wa New Street na Kariakoo

    NYUMBA ALIYOJENGA NA ALIYOISHI MWALIMU MTAA WA IFUNDA MAGOMENI 1958 Tulipomaliza mahojinao yetu nje ya nyumba ya Bi. Mwamtoro bint Chuma nyumba ambayo iko nyuma ya Ofisi Ndogo ya CCM tukaelekea Magomeni Mtaa wa Ifunda kwenye nyumba aliyojenga Mwalimu mwaka wa 1958 na akaishi pale kwa kipindi...
  2. Mohamed Said

    Nyerere Day 2022: Special branch na tasjila ya TANU

  3. Mohamed Said

    Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953

    Uchaguzi wa TAA Arnautoglo Hall 1953
  4. Mohamed Said

    Nyerere Day 2022: Mwalimu na Edouard Masengo 1958

    NYERERE DAY 2022: EDOUARD MASSENGO ALIPOKUTANA NA JULIUS KAMBARAGE NYERERE Jioni hii rafiki yangu moja kutoka Ulaya kanipitia kunijua hali na kaniletea CD ya muziki wa Edouard Masengo na Mwenda Jean Bosco. Ikawa kanikumbusha kuwa Masengo alipata kuja Dar es Salaam wakati akiwa katika kilele...
  5. Mohamed Said

    Nyerere Day: Julius Nyerere, Dossa Aziz na Ujenzi wa Chuo Kikuu Cha Dar-es-Salaam 1958

    NYERERE DAY: MWALIMU NYERERE NA DOSSA AZIZ WALIPOKUBALIANA KUJENGA CHUO KIKUU WAKIWA WAMEEGESHA GARI MLIMANI Viongozi wa TANU walikuwa na kawaida wakimaliza mkutano wa hadhara Mnazi Mmoja watakatiza barabara kwa miguu kuja Princess Hotel wakafanya tathmini ya mkutano, kula chakula na kunywa...
  6. J

    Nashauri kuwepo pia kwa Mkapa Day, ameifanyia hii nchi makubwa sana, isiwe mapumziko

    Tuna Nyerere Day kuenzi mambo makubwa aliyotufanyia Nyerere (legacy) kama vile Uhuru wa nchi yetu pamoja na umoja na mshikamano Lakini Nyerere pia alikuwa na mapungufu makubwa yaliyopelekea nchi kuwa na hali mbaya sana kiuchumi Mtu aliyechukua maamuzi yaliyofufua uchumi wetu ni Mkapa, mkapa...
  7. Mohamed Said

    Nyerere Day StBongo TV

    Nyerere Day STBONGO TV STARTIMES NYERERE DAY 2022 KEVIN LAMECK NA MOHAMED SAID Kipindi kitarushwa saa tatu kamili asubuhi leo na marudio ni saa nne kamili usiku.
  8. Mohamed Said

    Nyerere day 2022

  9. Mohamed Said

    Stbongo Tv Nyerere Day 2022

    BONGO TV NA NYERERE DAY Kevin Lameck wa Bongo TV leo asubuhi alinitembelea nyumbani kwa nia ya kufanya kipindi cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere kwa ajili ya Nyerere Day kesho. Bwana Kevin kanirushia maswali mazito moja akitaka kujua kama historia ya Mwalimu imekamilka...
  10. Mohamed Said

    Nyerere Day: Historia ya Baba wa Taifa kwa mukhtasari

  11. Mohamed Said

    Nyerere Day: Nyerere “Mtume” wa Afrika

  12. Mohamed Said

    Nyerere Day: Baba wa Taifa katika vitabu

  13. B

    October 12th: Fiesta Nacional, Spain’s controversial National Day

    October 12th: Fiesta Nacional, Spain’s controversial National Day October 12th marks the Fiesta Nacional of Spain, a national holiday that commemorates the exact date when Christopher Columbus first set foot in the Americas in 1492. Previously known as Día de la Hispanidad (or Hispanic Day)...
  14. sinza pazuri

    Tuungane kuiomba Serikali ifanye siku ya tarehe 02 Oktoba kila mwaka iwe Diamond Platnumz day

    Watanzania wote kwa pamoja bila kujali tofauti zetu za kimapato na uelewa. Tuungane kuiomba serikali ifanye siku ya tarehe 02 October kila mwaka tuwe tunapumzika kusherekea zawadi tuliyopewa kama taifa yani kijana wetu Diamond Platnumz. Hii siku adimu na adhimu ndio alizaliwa mwanamuziki huyu...
  15. wizodg

    Clip of the day

    😁😁
  16. shonkoso

    Azam TV, mnawadanganya watoto kuwa First day of the week ni Sunday Seriously?

    Huwa nafuatilia sana kipindi chenu cha watoto shanghai. Leo asubuhi nikamsikia host wa Kipindi akiwaamanisha watoto kuwa Saturday is the last day of the week and Sunday is the first day of the week and Monday being the second. That's cheating and not teaching.Waombeni radhi watoto wetu.
  17. Mr Antidote

    SoC02 Siku rahisi ni jana tu (the only easy day was yesterday)

    Kwa Majina wananiita bwana Kupata Majaliwa, mtoto wa tatu kuzaliwa katika familia ya watoto wanne inayoongozwa na mama pekee. Familia yetu haikuwa familia yenye uwezo wa kifedha lakini pamoja na hayo mama yetu alijitahidi kila mwanafamilia anapata mahitaji ya kimsingi hasa elimu. Pamoja na...
  18. Mathanzua

    USA’s angel of death and human misery, a modern day Josep Mengele, medical fraudster Anthony Fauci, won’t be around to torment humanity anymore

    More monster than man,Fauci pushed out or is he stepping down voluntarily? Weeks earlier in July, he said the following: “By the time we get to the end of the Biden (regime’s) term, I feel it would be time for me to step down from this position.” His newly announced exit is by yearend. His...
  19. beth

    Agosti 12: Siku ya Vijana Duniani (International Youth Day)

    Siku ya Vijana Duniani inaadhimishwa kila Agosti 12 kutambua na kupaza sauti kuhusu umuhimu wa ushiriki wa Vijana katika Masuala mbalimbali Siku hii inasisitizia Haki za Vijana kupata Elimu, Ajira, Huduma za Afya, Huduma za Kifedha na kushiriki katika Jamii CHANGAMOTO YA AJIRA KWA VIJANA Kwa...
  20. The Supreme Conqueror

    Sakata ya Simba Day

    Simba yakutana na malalamiko kutoka kwa chama cha wenye ualbino Tanzania.
Back
Top Bottom