Mhe Dkt. John Joseph Pombe Magufuli, mtoto wako kaunyea mkono "msamehe".
Mkurugenzi kafanya mengi
Kajenga Zahanati,
Kadhibiti mianya ya rushwa,
Kajenga shule za msingi
Kaongeza mapato ya halmashauri,
Kadhibiti nidhamu kwa watumishi wake,
Kadhibiti makazi holela,
Na mengine mengi mazuri jamani...