An academic degree is a qualification awarded to students upon successful completion of a course of study in higher education, usually at a college or university. These institutions commonly offer degrees at various levels, usually including bachelor's, master's and doctorates, often alongside other academic certificates and professional degrees. The most common undergraduate degree is the bachelor's degree, although in some countries there are lower level higher education qualifications that are also titled degrees (e.g. associate degrees and foundation degrees).
TCU kwanini vyuo vyetu havitoa degree za online.
Nina uhitaji mkubwa sana wa kusoma Degree ya Accounting online lakini sijaona chuo chochote kinachotoa kozi hiyo kwa njia ya online Tanzania.
Shida iko wapi.
Vyuo vyetu vimetangaza masomo ya umahiri kwa 2020/2021 na sifa zinazotakiwa ni hizo hapo chini. Njia moja ya kupata degree hizi ni by research na vigezo vyake nimeviwekea rangi. Utaona ya kuwa wenye vigezo ni wanafunzi wenye ufaulu mzuri wa kuanzia GPA ya 3.5 au wenye experience kubwa upande wa...
Dkt. Magufuli amewataka wananchi wa Makambako wamchague Mgombea Ubunge wa CCM Jah people kwa sababu kwenye ubunge hatuchagui degree bali mtu.
Dkt. Magufuli amesema Jah people salamu yake ni Kidumu chama cha mapinduzi hivyo wakimleta bungeni wataelewana ila wakimleta yule anayesalimia kwa alama...
Habari zenu wana JamiiForums.
Mimi ni kijana wa Kitanzania mwenye umri wa miaka 26, nimehitimu mwaka jana(2019) shahada ya ugavi na manunuzi.
Natafuta kazi au sehemu ya kujitolea, kwa aliyekua na msaada tafadhali share.
Asante.
Niko chuo mwaka wa pili naingia watatu kumalizia degree yang nimegundua kuwa niko napenda course nyingine tena, and I can’t stop thinking about it, kwa hyo nauliza kama kuna uwezekano wa kuanza course mpya kwa institute nyingine Uku namalizia hii?
Nafasi ya Cheti kwenye Ajira
Miaka ya 1980s kurudi nyuma, hali ilivyokuwa ni kwamba serikali ilikuwa ikihitaji watumishi wengi, lakini waliokuwa na sifa ambazo serikali ilikuwa ikizitafuta, walikuwa wachache. Wanafunzi waliokuwa wakihitimu kidato cha nne, walikuwa na fursa za kuajiriwa moja...
Hi JF members,
Mimi ni mvulana nipo mwaka wa mwisho moja ya vyuo vikuu hapa Tz. Nilipokuwa 4m 5 na 6 nilikuwa na mchumba ambaye nilimpenda sana naye alinipenda. Nilipokuwa chuo mwaka wa kwanza akapewa udaku naye akaamua kunipotezea
Basi nikamtongoza binti tuliyekuwa naye mwaka wa kwanza, japo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.