demokrasia

  1. M

    Zambia na Malawi kwenye Demokrasia ziko mbali sana, Tanzania tuko sawa na Burundi

    Amani na utulivu, Ndio kauli za viongozi wa Tanzania ambao wanahisi wanalinda amani na utulivu kumbe Watanzania ni waoga wa kudai haki zao za msingi. Angalia chaguzi za Zambia na Malawi utajua hao walistaraabika muda mrefu sana na katiba zao ni imara kuliko sisi wakumbatia ujamaa hewa...
  2. J

    Tanzania kuna Demokrasia ya kweli kwenye nchi za kidikteta Bavicha wasingeruhusiwa kulisogelea kaburi la Nyerere!

    Nenda kwenye nchi yoyote ya kidikteta halafu wasimulie kwamba vijana wa upinzani waliingia lilipo kaburi la hayati mwenyekiti wa chama tawala na wakacheza bao na kunywa maziwa, maandazi na samosa. Watashangaa sana. Tanzania tuna demokrasia pana!
  3. mwanamwana

    Getrude Mongella: Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki

    RAIS wa Kwanza wa Bunge la Afrika, Balozi Getrude Mongella amesema demokrasia ni ushirikishwaji wa kila mmoja na kwamba huwezi kutofautisha usawa wa binadamu na demokrasia. Amesema “Unapokuwa unaamini usawa wa binadamu ukiacha baadhi ya binadamu nje wewe ni mnafiki. Huwezi ukasimama hapa...
  4. CM 1774858

    Chama cha Mapinduzi champongeza Rais Samia kwa kuimarisha Demokrasia

    Chama cha Mapinduzi (CCM) kimempongeza na kumshukuru amiri Jeshi mkuu na Rais wa JMT Mama Samia Suluhu Hassan kwa Uzalendo wake kwa Taifa, Ushupavu na Ujasiri katika kulinda na kusimamia "Tunu za Taifa" letu kwa nguvu zake zote kwa akili zake zote na kwa moyo wake wote huku msingi mkuu wa...
  5. DaudiAiko

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo kinaendeshwa kwa fujo na vitisho baridi

    Wanabodi, Mnamo jana, naibu katibu mkuu wa Chama cha demokrasia na maendeleo Bw Benson Kigaila aliongea na vyombo vya habari ambapo aliezea mambo ambayo lazima yatekelezwe ili kama wana CHADEMA, waweze kushiriki vikao ambavyo msajili wa vyama vya siasa amepanga kufanya. Katika mambo ambayo...
  6. beth

    Eswatini: Jeshi na Polisi wapelekwa shuleni kuzuia maandamano

    Makundi yanayotetea demokrasia katika taifa la kusini mwa Afrika, Eswatini, yanaeleza kwamba serikali imepeleka wanajeshi na polisi katika shule ambazo wanafunzi wamekuwa wakiendelea na maandamano kwa wiki kadhaa wakitaka mageuzi ya kisiasa. Wanafunzi wa shule za msingi na sekondari katika...
  7. beth

    Facebook yashutumiwa kusababisha athari kwa watoto

    Mfanyakazi wa zamani wa Facebook, Frances Haugen amewaambia Wabunge Nchini Marekani kuwa App za Kampuni hiyo kuleta athari kwa Watoto. Facebook ni Mtandao wa Kijamii unaotumika zaidi duniani, ikiwa na watuamiaji wapatao Bilioni 2.7 kwa mwezi. Mamilioni ya watu pia hutumia WhatsApp na Instagram...
  8. M

    Demokrasia na Maendeleo ya Watu

    Utangulizi Mwanadamu ameumbwa na vionjo vya asili vya matamanio. Vionjo hivi humuongoza katika kubuni na kujenga mazingira kufikia matamanio yake. Kwa mujibu wa mwanasaikolojia Abraham Maslow, katika kanuni yake kuhusu mpangilio wa vipaumbele vya mahitaji ya mwanadamu, amebainisha kuwa mahitaji...
  9. Eliud Ambrose

    Uwajibikaji wa kidemokrasia

    Dhana za Tathmini Kwa maana ya jumla, kwa watu wengi duniani, demokrasia maana yake ni nguvu ya wengi katika kufanya maamuzi yanayohusu umma na kuweka usawa wa kisiasa katika matumizi ya nguvu hiyo (International IDEA 2008: 20-21). Demokrasia ni lazima iwape wananchi uwezo wa kujieleza na...
  10. Red Giant

    Demokrasia inatupotezea sana muda na nguvu

    Demokrasia imekuwa kitu cha hovyo sana kinachorudisha nchi nyuma, hasa nchi za kiafrika. Wanasiasa hawawazi tena maendeleo bali wanawaza jinsi ya kuingia madarakani na jinsi ya kubaki madarakani. Hakuna anayejali maslahi ya nchi. Kenya walianza kuongelea uchaguzi wa 2022 miaka 3 iliyopita. Rais...
  11. F

    Demokrasia ya Tanzania Ipanuliwe Yaanzishwe Majimbo ya Uchaguzi ya Vyuo Vikuu

    Taswira zote kwa hisani ya: https://www.google.com/intl/en/permissions/using-product-graphics.html Kwa kuzingatia historia ya utendaji wa bunge letu na mabaraza ya madiwani na jukumu la msingi sana la kizalendo ambalo kila mwanazuoni anajivika pale anapokuwa amehitimu mafunzo yake na kuapa...
  12. Mlolele Mnyilo

    SoC01 Mwenendo wa Demokrasia Tanzania

    Demokrasia ni mfumo wa utawala ambao watu wana sauti ya juu kabisa katika kuisimamia serikali yao wakati inatekeleza majukumu ambayo muhimiri wa madaraka unabebwa na nguvu ya umma kupitia wawakilishi. Tangu kuingia madarakani kwa serikali ya awamu ya tano 2015-2020 kumekuwa na ukiukwaji wa haki...
  13. Mystery

    Ni upotoshwaji kuita kuwa Demokrasia si sawa na kinywaji cha "coca-cola" bali demokrasia ina tafsiri moja tu Dunia nzima

    Kumekuwa na upotoshwaji mkubwa kutoka kwa wale wanazoziendesha nchi zao kiimla na kujitetea kuwa demokrasia siyo sawa sawa na kinywaji cha coca-cola ambapo radha yake itakuwa moja Dunia nzima. Tafsiri sahihi ni kuwa demokrasia ni moja Dunia nzima na ni serikali ya wananchi, iliyochaguliwa na...
  14. M

    Shaka Hamdu Shaka aisifu mahakama ya Tanzania kesi ya Freeman Mbowe

    Katibu wa NEC Itikadi & Uenezi CCM-Taifa Mhe Shaka Hamdu Shaka aisifu Mahakama kesi ya Freeman Mbowe, asisitiza Serikali ya Rais Samia ni ya kidemokrasia na inajali Uhuru wa Mahakama "Hakuna kama Samia" "Nimeona vibwagizo vya wenzetu huko mitandaoni kuwa wameruhusiwa kuingia mahakamani na...
  15. G

    SoC01 Hakuna haja ya kudai Demokrasia

    Jamani ili demokrasia iwepo lazima udikteta uwepo maana kama kwenye kuna demokrasia sasa tunakuwa tunadai nini? Udikteta au maendeleo. Na ubaya wa waafrika tunadai demokrasia badala ya kudai maendeleo maana Mimi naamini maendeleo na mabadiliko ya kimaisha yanamfanya mtu kusahau...
  16. Elitwege

    Rais Samia: Demokrasia siyo Cocacola

    Rais Samia Suluhu amewajibu wapinzani kuwa waache kukariri kwani demokrasia siyo Cocacola kwamba inafanana kila mahali duniani. Samia amesema demokrasia inatofautiana kutoka nchi moja kwenda nyingine kutokana na utofauti wa mila na desturi vya mahali husika hivyo demokrasia tuliyonayo sisi...
  17. L

    Wanaume wametutawala muda mrefu bila suluhisho la matatizo mengi, tumuunge mkono Rais Samia atatuvusha

    Tangu nchi yetu kupata uhuru tumekuwa chini ya utawala wa wanaume kama wakuu wa nchi, sasa mwanamke amechukuwa kwa mala ya kwanza. Kwakuwa tumekuwa na matumaini ya kuishi maisha bora bila mafanikio chini ya wanaume basi tumuunge mkono mwanamke tunaweza kuvuka vikwazo vilivyo dumaza maisha yetu...
  18. W

    PICHA: Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani Diamond Jubilee

    Mhe. Rais Samia Suluhu Hassan akishiriki katika maadhimisho ya siku ya Demokrasia duniani katika ukumbi wa Diamond Jubilee. Fuatilia kupitia Ikulu Mawasiliano Link. Saa 5.20 Inafuata Burudani kutoka TBC Saa 5.30 Kikundi cha watoto wa Mama.
  19. beth

    Siku ya Demokrasia Duniani: Mataifa yatakiwa kuheshimu Uhuru wa Kujieleza

    Siku ya Demokrasia Duniani huadhimishwa kila Septemba 15, ikitoa fursa ya kuangalia hali ya Demokrasia ulimwenguni kote. Miongoni mwa misingi muhimu ya Demokrasia ni kuheshimu HakiBinadamu. Umoja wa Mataifa (UN) umesisitiza Nchi kuheshimu na kulinda Uhuru Wa Kujieleza, Uhuru wa Habari pamoja na...
  20. Behaviourist

    Nielewesheni hili jambo Rais Samia kuzungumza na wanawake wa Tanzania siku ya Demokrasia duniani

    September 15 ni siku ya kimataifa ya demokrasia duniani ambapo nchi mbalimbali duniani hupata fursa ya kujadili demokrasia ya nchi zao na wadau husika wa demokrasia katika nchi hizo kama vile vyama vya upinzani. Sasa sielewi mantiki ya Rais Samia Suluhu Hassan kuitumia hiyo siku ya leo...
Back
Top Bottom