demokrasia

  1. D

    Biden alimfutia mtoto wake mashitaka; Trump kawafutia mashitaka mashabiki zake na kuwafukuza kazi wote waliomhukumu. Demokrasia ipo wapi?

    Wote wametumia nguvu ya uraisi. Tunajifunza nini' ikiwa huko ndo kioo Cha demokrasia Kila mtu anatolea mfano?!!
  2. S

    Vyama vya upinzani Tanzania vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na suala la kitaifa huwa wamoja na Chama tawala

    Vyama vya upinzani vijifunze ulaya na Marekani kunapokuwa na swala la kitaifa wamoja na Chama tawala Mfano nchi za ulaya na marekani wakiamua kuinyonya Africa au nchi ikishambuliwa vyama vyote tawala na upinzani huwa kitu kimoja Pia ikitokea mfano kuna mkutano mkubbwa wa kimataifa unafanyika...
  3. milele amina

    Pre GE2025 Hasara na Maumivu kwa CHADEMA Katika Msimamo wa "No Reform" No Election" October 2025!

    Kampeni ya "No Reform No Election" ya CHADEMA (Chama cha Demokrasia na Maendeleo) ina malengo mazuri ya kudai mabadiliko ya kisiasa na uchaguzi huru. Hata hivyo, ikiwa CCM (Chama Cha Mapinduzi) itashiriki uchaguzi wa 2025 bila kufanyia marekebisho mifumo ya uchaguzi, CHADEMA inaweza...
  4. M

    HITIMISHO:Mbowe ni zaidi ya Lissu hata kama Demokrasia imeamua.

    1.Mbowe ana uwezo wa kutumia mbinu tofautitofauti katika kupigania mabadiliko,Kwa kifupi hakuna kipya ambacho atafanya Lissu Mbowe hajakifanya,kama ni kugomea Uchaguzi Mbowe alifanya 2019,kama ni kuandamana Mbowe alishafanya,kama ni kuongea Mezani Mbowe alishafanya kwahiyo Mbinu nyingi zitakuwa...
  5. F

    Kuna umuhimu kwa CHADEMA kufanya matembezi ya mshikamano nchi nzima kuunga mkono uongozi mpya na demokrasia ndani ya chama

    Mabalishano ya uongozi yaliyotokea hivi karibuni CHADEMA yamepokelewa vizuri sana na wapenda demokrasia ndani na nje ya nchi. Kuna umuhimu kwa wanachama wa CHADEMA na wapenda demokrasia wote kupongeza juhudi hizi kwa njia iliyotukuka kupitia matembezi ya mshikamano nchi nzima.
  6. Moaz

    Noam Chomsky na Demokrasia katika nchi za dunia ya tatu

    Noam Chomsky ana mtazamo wa kina na wa kukosoa kuhusu demokrasia, hasa jinsi inavyotekelezwa na kuathiri nchi zinazoendelea. Kwa Chomsky, demokrasia mara nyingi haina maana halisi ya kuwa sauti ya watu, lakini badala yake inakuwa chombo cha kudhibiti tabaka la chini kwa masilahi ya tabaka...
  7. O

    Uchaguzi wa CHADEMA umetufundisha jinsi ya kutekeleza demokrasia kwa vitendo, kazi kwenu tume huru

    Tangu CHADEMA kutangaza mchakato wa kumpata Mwenyekiti, wagombea hawakulala, walitoa ya moyoni.Wengi walituhumu, wengine walitoa maneno ya kashifa ili kuvutia kura upande wao, Wenye Hekima na busara walivumilia. Mwisho wa siku uchaguzi umemalizika. Nilichojifunza katika uchaguzi huu ni kwamba...
  8. Mwamuzi wa Tanzania

    Bado nawaza akili za marehemu Magufuli. Yeye anazunguka Tanzania nzima kufanya siasa huku wapinzani akiwazuia na kusema wachape kazi wasifanye siasa

    Hivi yule Mzee alikuwa na matatizo ya afya ya akili? Miaka 5 anazunguka Tanzania nzima kujinadi halafu kipindi cha uchaguzi mkuu 2020 bado tena akawaminya kwa kutumia Dola. Mtu mwenye akili timamu asingeweza kuishi maisha Yale ambayo waliishi ma fascist wa karne ya 15.
  9. D

    CCM wana cha kujifunza kutoka CHADEMA kwa hii Demokrasia iliyokomaa wanayoionesha

    CCM ni udikteta tu kuanzia juu mpaka chini. Ukionesha una mawazo tofauti unaundiwa zengwe nanusipokuwa makinini unaweza kiuawa. CHADEMA imegraduate mpaka kuweza kushika nchi. Ni chama makini sana kinachojari uhuru na mawazo ya kila mmoja. CCM jifunzeni siyo kusomba hawa wasanii mbumbumbu...
  10. Father of All

    Uchaguzi mkuu mwaka huu, tutegemee tena ya Magufuli na uuaji wa demokrasia?

    Japo alipitishwa na chama kugombea nafasi ya urais baada ya marehemu Edward Lowassa na Bernard Membe kuvurugana, angalau alipitishwa kiushindani na demokrasia ndani ya chama. Kwa namna CCM ilivyotengeneza mzengwe na kumpitisha Samia Suluhu Hassan na Emanuel Nchimbi, kuna uwezekano uchaguzi ujao...
  11. G.Man

    Mtazamo wangu kuhusu Watanzania na Demokrasia

    Miongoni mwa sera bora kabisa kuwahi kusimamiwa na mgombea wa uongozi hapa nchini ilikuwa ELIMU ELIMU ELIMU. Binafsi nimeona mambo yafuatayo kuelekea kumjua Mwenyekiti wa CHADEMA kwa miaka mitano ijayo. 1. Watanzania hasa vyama vya upinzani ambao wana hubiri demokrasia mdomoni: ni watu...
  12. Tlaatlaah

    Kiwango cha rushwa kwenye uchaguzi wa CHADEMA taifa ni aibu na najisi kwa demokrasia na upinzani wa Tanzania kwa ujumla

    My friends, ladies and gentlemen! Rushwa inatembezwa kwa wajumbe wa mkutano mkuu wa Chadema Taifa kama njugu, bila aibu au kificho. Hakuna upande unaogombea uongozi, wa kukemea upande mwingine, kwasababu wote wanashiriki kwenye uovu huo unao chafua haiba ya chama chao na uelekeo wa misingi...
  13. D

    Hongera Rais kwa kuimarisha demokrasia nchini. Hakuna TV yoyote ingeruhusiwa kurusha mkutunano wa CHADEMA

    Kwa kweli Rais anastahili pongezi kuliokoa taifa hili. Kipindi kile upinzani ulikuwa kama uko ukimbizini. Jamaa alikuwa katili zodi ya Adolf Hitler. Nakumbuka mpaka akina Boni Yai walivuliwa Umeya kibabe kisa wapo upinzani ili wasalende. Hata Mwita naye akavuliwa kibabe Umeya kisa yupo CHADEMA...
  14. Webabu

    Dunia ijifunze nini kutoka demokrasia ya Marekani? Mgombea aliyekuwa na mashtaka ya uhaini na ubakaji kurudi madarakani

    Ni kawaida uongozi wa Marekani kuwafanyia nongwa viongozi wa nchi nyengine duniani wanaposhutumiwa kwa makosa mbali mbali hata yasiyothibitishwa na mahakama. Kinyume chake raisi Donald Trump aliyeapishwa leo kurudi ikulu ya Marekani ni kiongozi ambaye kwa miaka minne aliyokuwa nje ya Ikulu...
  15. Father of All

    CCM na Samia wameogopa nini hadi kupitisha mgombea na mgombea mwenza kibabe, na kinyume cha katiba yao wenyewe mbali na kukosa demokrasia?

    Kitendo cha CCM kupitisha wagombea wao kabla ya kipenga kupigwa na kinyume na katiba yao, kinatia shaka. Je kuna mgawanyiko na kutoelewana kwenye chama cha machawa? Je wamefanya hivyo kuogopa nini wakati tunaambiwa mama anaupiga mwingi? Je hii inazika ndoto za makada wenye ushawishi mkubwa...
  16. Genius Man

    Sisi kama nchi Tumetoka kwenye mfumo wa haki na demokrasia tumeingia kwenye mfumo wa udanganyifu uliovaa uso wa kidemokrasia

    Tumetoka kwenye ukweli na haki tumeingia kwenye mfumo wa udanganyifu ambao ni mfumo usiokuwa na maana yoyote hali inayopelekea nchi kuonekana kama ni ya kidemokrasia kwa nje lakini ndani yake sio kama inavyoonekana kuanzia kwenye vyama hadi kitaifa kwa ujumla. Watanzania wengi kama mimi wapo...
  17. R

    Yeriko Nyerere anachangia sana kuua demokrasia CHADEMA; amekuwa chachu ya kugawa watu hasa wanachama wanaopingana na mtizamo wake

    Kila anayepingana na mtizamo wa Yeriko Nyerere anaonekana kama siyo mwadilifu na hana nia njema na chadema. Yeriko anaamini anavyotambua yeye kampeni zilipaswa ziwe na elementi ya heshima kwa Mbowe. Anashindwa kutambua kwamba madaraka ya kisiasa siyo kubembelezana na kusifiana. Hata Mbowe...
  18. K

    Tuwe makini bila demokrasia tutakuwa na wahasi

    haya ni mawazo yangu. Nchi ambazo hazina demokrasia na wananchi wake wamekata tamaa kwamba hawawezi kuchagua mtu wampendao kuwakilisha mambo yao kuna hivi vinatokea Nchi za hivyo zinageuka kuwa na wahasi badala ya vyama. Mfano Rwanda kuna wahasi, Uganda kuna wahasi na nchi zote ambazo hazina...
  19. Mafyangula

    CCM ndicho chama kilicho na Demokrasia bora na yenye nidhamu kubwa kuliko vyama vya upinzani Tanzania

    Hakika nasadiki kusema hivyo kama kichwa cha habari kinavyojieleza! CCM wanasiasa bora sana na zenye demokrasia nzuri na sio kuchafuana kama walivyo wale wengine kila kukicha wao ni kupakazana matope huyu kafanye lile tena hata bila kuweka ushahidi. Yani siasa zisizo za adabu na zilizokosa...
  20. ChoiceVariable

    Kenya kupitisha sheria kali kwa wanaodhalilisha viongozi, kueneza chuki na mgawanyiko

    Kwa upande wa Tanzania sijui tunatafsiri vipi Demokrasia,kina watu tena viongozi wa siasa mara kadhaa wamesikika wakidhalilisha viongozi Wakuu wa Nchi,kueneza chuki za ubaguzi wa kikabila,Jinsia na ukabila sanjali na aina nyingine za manyanyaso ya kijinsia wakiachwa wanatamba na kuendelea kuleta...
Back
Top Bottom