NINA DENI LA MAISHA
Anaandika, Robert Heriel Tz
Leo upo Msiba wa Bibi yangu ambaye jina langu limetoka Kwa Mume wake(Babu yangu).
Wale waliotujua Kabla hatujajulikana, walitupa, wakatupa tukakosa cha kuwalipa. Hivyo ndivyo ilivyokuwa. Hatukuweza kufidia upendo wao. Hata ingepita Miaka Elfu...