Derby ( (listen) DAR-bee) is a city and unitary authority area in Derbyshire, England. It lies on the banks of the River Derwent in the south of Derbyshire, of which it was traditionally the county town. Derby gained city status in 1977, and by the 2011 census its population was 248,700.
Derby was settled by Romans, who established the town of Derventio, later captured by the Saxons, and later still by the Vikings, who made their town of Djúra-bý one of the Five Boroughs of the Danelaw. Initially a market town, Derby grew rapidly in the industrial era. Home to Lombe's Mill, an early British factory, Derby has a claim to be one of the birthplaces of the Industrial Revolution. It contains the southern part of the Derwent Valley Mills World Heritage Site. With the arrival of the railways in the 19th century, Derby became a centre of the British rail industry.
Derby is a centre for advanced transport manufacturing, being home to the world's second largest aero-engine manufacturer: Rolls-Royce. Bombardier Transportation has a production facility at the Derby Litchurch Lane Works while Toyota Manufacturing UK's automobile headquarters is located southwest of the city at Burnaston.
Wakulu wa nchito,
Naomba anaejua wapi kwa hapa Nairobi naweza angalia Derby ya Simba na Yanga anifahamishe hasa pande hizi za Westland maana wiki ya Derby imenikuta huku bila kutarajia.
Natanguliza shukrani
Refa akiwa Mwanamke yule Dada wa Singida ( ambaye ni mwana Simba SC lia lia ) kwa 100% Simba SC anashinda.
Refa akiwa Mwanaume ( hasa Aragija ) ambaye pia Kiuhalisia ni mwana Yanga SC lia lia kwa 100% Yanga SC inashinda.
Refa akiwa ni Mwanaume ( hasa Eli Sasi ) Mechi itaisha Sare kwakuwa huyu...
Ufundi kwenye mvua na tope ni kidogo kuliko nguvu.
Simba na Yanga kama mvua itaendelea hivi hadi siku ya mechi hakikisheni wanaopata nafasi ya kucheza ni wale wababe tu, aina ya Mzamiru, Mudathiri, Yao, Mzize, Kibu, Inonga, Gift, Aucho waonyeshane kazi.
Achana na types za Skudu, Nkane...
Kuelekea Mchezo wa Derby ya Kariakoo inayotegemewa kuchezwa jumapili Movembe 5, 2023
Hebu tuangalie Staili ya kucheza ya makocha hawa Miguel Gamondi wa Young Africans na Roberhno wa Simba
Tukianza na Kocha Gamondi Staili yake ya kucheza inamvutia shabiki yeyote ambaye anataka kutazama soka...
Ilikua zikutane leo Simba U20 na Yanga U20 Ila Simba wamegoma kuingia uwanjani kutokana na Yanga kutumia wachezaji ambao hawakusajiliwa.
Nisikuchoshe kiufupi Yanga hawana mchezaji waliemsajili kutumikia u20 kwa msimu huu.
Watangazaji wengi nasikia wakisema Derby ya Simba na Azam au Yanga na Azam. Acheni ubabaishaji, timu ya Azam ya mwaka wa 2000's ijenge Derby na timu za 1930's? ni dharau na uwelewa mfupi wa watangazaji.
Sina iyo kumbukumbu labda mwenye nayo atujuze, hat trick kwenye derby sio jambo la kitoto eti ni mpaka uwe Bora aswaa na uwe fiti kwa 100%.
Mchezaji aliyekamilika atapimwa kwenye mechi ngumu Kama hizi za Yanga na Azam, ama Yanga na Simba, maana ni mechi ambazo uwezi pewa nafasi na mpinzani...
Mwanamama Jonesia Rukya kutoka Kagera, ndiye atakayechezesha mechi ya Derby ya leo Mkwakwani, Tanga, akisaidiana na Mohammed Mkono-Tanga na Hamza Hamdani wa Mtwara.
Habari wanamichezo, ikiwa siku kadhaa zimesalia kuelekea ufunguzi wa pazia jipya la ligi kuu Tanzania bara. Ikiwa ni mechi ya vigogo wanne waliobora kwa Tanzania hapa nazungumzia Yanga, Simba, Singida na Azam. Hawa ndio waliong'ara katika ligi na katika Azam Federation cup kwa wao kuwa top 4...
Shirikisho la mpira wa miguu hapa nchini limetoa taarifa ya mapato ya Mchezo wa watani wa Jadi Simba na Yanga ambao ulifanyika jumapili iliyopita tarehe 16/4/2023, wadau mbalimbali wametoa maoni yao kufuatia timu mwenyeji (Simba)kuambulia sh 188,987,181.10 tu katika mapato yote yaliyopatikana...
derby
harufu
haya
makato
mapato
matumizi
mbaya
mechi
mechi ya simba
mgawanyo
milioni
milioni 100
ndani
serikali
simba
simba na yanga
simba sports club
simba vs yanga
sports
tff
tuwekeze
ufisadi
unyonyaji
uwanja
viwanja
yanga
JUZI kulikuwa na mechi ya watani pale Temeke. Simba na Yanga. Hadi wakati naandika makala haya sifahamu matokeo yalikuaje, lakini nafumba macho na kuvuta picha nzito ya pambano hili tangu nikiwa kijana mdogo.
Nyakati zimekwenda wapi? Kuna mambo yamebadilika na kuna mambo hayajabadilika. Tuanze...
Ni logic ndogo tu na ya kawaida, Simba wamechezeshwa mechi SAA 4 usiku kwa SAA Morocco siyo kwamba wamefanyiwa figisu ila ni kuheshimu tu mfungo wa Ramadhani.
Je TFF hawajaliona hili? wachezaji na mashabiki waliofunga wanafuturu SAA ngapi?
Mimi siyo mwislamu lakini najuwa adhana ikipigwa...
Mwamuzi wa kati Jonesia Rukya kutoka Kagera, ndiye atakayechezesha mechi ya watani wa jadi Simba vs Yanga itakayopigwa kesho Jumapili Aprili 16 katika dimba la Mkapa.
Wasaidizi wake watakuwa ni Mohamed Mkono na Janeth Balama.
Kwa mechi kadhaa nyuma, Yanga ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kushinda na makampuni ya kamari, lakini safari hii hali imekuwa tofauti.
Watu wakiamini Yanga ni bora kuliko Simba, watu wakiamini kuwa Yanga ina wachezaji wengi bora kuliko Simba lakini kwa makampuni ya kamari yamefanya uchambuzi...
Naona Fei kila ikikaribia game ngumu anaibuka kutoka mafichoni na kuwahadaa Yanga kwa kesi isiyo na mashiko wala haimpi faida yeye zaidi ya anguko lake kimpira.
Na sisi wana lunyasi ikitokea Fei kutoka machakani tunahamisha focus yetu nakuanza kushabikia hii kesi kama vile tunampenda sana Fei...
Habari zenu wakuu,
Leo katika pita pita zangu katika mtandao wa YouTube nikakutana na vipande vinavyoonesha mechi mbalimbali za Simba na Yanga. Nikiwa kama mdau ma mfuatiliaji wa soka la nyumbani mara nyingi huwa naona mechi zinazoikutanisha Miamba hii ya soka nchini huwa zinakosa mvuto...
1. Wachezaji wote wa Simba SC wapokonywe Simu zao.
2. Timu iweke Kambi sehemu ya Siri mno na Waandishi wa Habari wasiruhusiwe kufika.
3. Wachezaji wote wa Simba SC, Benchi la Ufundi na wale Makomandoo (watu wa maandalizi na kamati za kimkakati) walishwe Yamini ya Kiapo na Uaminifu.
4...
Nimecheki mechi ya leo na iliyopita huyu wa kuitwa Baleke ni surprise na si kitu kizuri akitumiwa effectively mechi ya jumapili.
Bado hajaweza kusomeka vizuri na huenda ana vitu extra ambavyo ndani ya muda mfupi bado hakuweza kuviweka, hii ni hatari mithiri ya adui anaetumia mkono wa kushoto...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.