Ufundi kwenye mvua na tope ni kidogo kuliko nguvu.
Simba na Yanga kama mvua itaendelea hivi hadi siku ya mechi hakikisheni wanaopata nafasi ya kucheza ni wale wababe tu, aina ya Mzamiru, Mudathiri, Yao, Mzize, Kibu, Inonga, Gift, Aucho waonyeshane kazi.
Achana na types za Skudu, Nkane...