MTU DHAIFU HUTAFUTA UPENDELEO; JE LISU ANAPAMBANA NA MTU DHAIFU?
Na, Robert Heriel
Kikawaida watu dhaifu hutafuta kupendelewa, hutafuta dezo kwa watu. Pia kikawaida watu dhaifu ndio hupewa upendeleo na huukubali huo upendeleo kwa kuwa wanajua hawastahili.
Hii ni tofauti na mtu hodari. Mtu...
Wananchaama na wafuasi wengi wa vyama vya upinzani ukiwa msema ukweli na mpinga ufisadi basi wanakuona wewe ni mpinzani na kwa upande mwingine si MWANA CCM kisa tu unasimamia ukweli.
Kama utakuwa mfuatiliaji wa hotuba mbali mbali na makemeo ya Mgombea wa CCM Jimbo la kawe utagundua ujasili...
Mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) jijini Dar es Salaam, Ombeni Alfayo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumkata mke wake kiganja cha mkono wa kulia kwa sime kwa madai ya wivu wa kimapenzi.
Nipashe
Ukiona Mwanaume yoyote anafanya 'Upumbavu' na 'Ushamba' huu jua...
Tunapoelekea kipindi cha kampeni tuna tegemea hoja nzito haswa kutoka kwa wagombea wa upinzani kuhusu serikali ya awamu ya tano kushindwa kuweka mifumo ambayo ingewezesha tume huru ya uchaguzi kuwepo. Lazima tufahamu kwamba Tume Huru ya Uchaguzi ni shirika linalo jitegemea pamoja na kuwa na...
Nimejaribu kufuatilia habari mbalimbali zinazotoka katika vyombo mbali mbali vya habari (Media) hapa nchini hasa katika kipindi hiki cha Msiba wa Mkapa.
Jambo la kusikitisha ambalo mimi binafsi nimegundua ni kwamba bado wapo mbali saana (nyuma) katika weredi wa jinsi gani ya kuandaa taarifa...
Mchungaji Msigwa alipata kusikika akitoa kauli nzito ambazo zingeweza kulimega taifa vipande vipande na hata kusababisha maandamano makubwa katika nchi yetu kama yele yaliyofanyika kule Marekani kwa kupigwa na kufariki dunia kwa Geoge Floyd.
Msigwa alipata kusikika kupitia mitandao ya kijamii...
Sasa Rais wangu unategemea kuanzia mwaka 2021 hadi 2025 tutapata wapi wenye uthubutu wa kuunga mkono juhudi?
Yani pamoja na juhudi, nguvu, ushawishi, mafweza, kupitishwa bila uchaguzi ndani ya chama, kuhakikishiwa ulaji hadi mwaka 2025 kweli tumeibuka na wale kina yakhe? Pamoja na kutoa ofa...
Kwa ndugu zangu wa damu CCM ukiondoa kutumia nguvu ya dola na ubabe wa kulazimishwa kupendwa kwa vitisho hawana hoja katika mizani ya siasa.
Kumshambulia mwenyejiti Mbowe kwa hoja za udikteta, ufisadi na mengine ni daliki ya kumwogopa tu kwa namna alivyoweza kuwa jiwe ktk kipindi ambacho...
Mahakama ya Hakimu Mkazi, Kisutu leo imewahukumu aliyekuwa Rais wa Migodi ya Pangea, North Mara Exploration na Bulyanhulu, Deodatus Mwanyika na wenzake wawili, kulipa fidia ya TSh1.5 bilioni baada ya kupatikana na hati ya kukwepa kodi.
Imetoka wapi? Soma TAKUKURU yawakamata aliyekuwa makamu wa...
Kuna baadhi ya mambo nikiyafikiria nakosa majibu.Kabla ya wakoloni wa kizungu na kiarabu kuja Afrika tulikua na mpaka leo tunayo mizimu yetu. Waafrika tangu wakiwa wadogo walifundishwa kuiheshimu mizimu. Mtu yoyote aliyeenda kinyume na mafundisho hayo aliadhibiwa vikali ikiwa ni pamoja na adhabu...
WATANZANIA, WAKENYA WASIWASUMBUE
Wiki hii toka jumatatu joto la kidiplomasia Kati yetu na Kenya limepanda Kiasi. Joto hili linasababishwa na vurugu za ugonjwa wa Corona. Nimejaribu kwa kiasi kuwaonyesha Watanzania sababu za kuendelea kukataa mchezo wa Kenya katika Uchumi wetu. Naelewa Sana...
Habari wana jamvi,
Nimefuatilia kwa muda mrefu jinsi mambo yanavyo endelea nchini mwetu katika nyanja mbalimbali, nimegundua kuwa tatizo ni kubwa mno hasa kwasababu linaanzia kwenye mfumo wetu wa Elimu. Mwishoni nitajitahidi kufafanua.
Kifupi ni kwamba waliotakiwa kuongozwa ndio wanatuongoza...
Ni jambo la kushangaza na kutia shaka kuona wataalam na wanasayansi wa Tanzania wanavyopinga uchunguzi wa Rais kwa hoja dhaifu.
Hii inatia shaka juu ya uwezo wa wataalam tulio nao hapa nchini.
Hebu tungalie hoja hizi zilizotumika kupinga Uchunguzi wa Rais kwa jinsi wataalam wetu walivyozitolea...
WanaJF,
Tanzania, kama nchi nyingine zote duniani zinapitia changamoto ya Coronavirus.
Hapa kwetu, kwa bahati ya pekee kabisa, tumepata nafasi ya takribani miezi miwili mitatu kujiandaa. Unategemea Serikali yenye wasomi kuwa na mpango wa kudhibiti tatizo hili na kulinda maisha ya raia wake na...
Jua kilichotokea kwa ufupi kisha ujisomee kiambatanisho na link iliyoko mwishoni
Hoja dhaifu kwamba Covid-19 imesababishwa na teknolojia ya 5G Ilianzishwa na Daktari mmoja wa Ubelgiji anayeitwa Kris Van Kerckhoven.
Alifanyiwa mahojiano na kazeti la kidachi la Het Laatste Nieuws tarehe 22...
Alipokuwa mchezaji wa Yanga, Simba walimsema ni bomu (dhaifu) na hana lolote.
Amejiunga na Simba, sasa Simba wanasema wamesajiri jembe la uhakika. Nao Yanga wanasema Simba wamechukua bomu ambalo litawalipukia.
Mchezaji mwenyewe alipokuwa Yanga, alisema yeye ni Yanga na Yanga ni yeye. Hata damu...
Nilishangaa sana nilipomuona Mwenyekiti wa Kamati ya PAC alipokuwa akitoa mashutuma kwa aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani Hon Kangi Lugola, hivi huu ni udhaifu na unafiki aliokuwa akisema CAG Assad hapo kabla.
Ninajiuliza:
- Kwa nini wametoa shutuma hizo baada ya yeye kutumbuliwa?
- Hivi ni...
1. MWENYEKITI - Freeman Mbowe
2. MAKAMU MWENYEKITI ZANZ - Said Issa Mohamed
3. MAKAMU MWENYEKITI BARA - Tundu A.Lissu
4. KATIBU MKUU - John John Mnyika
5. NAIBU KATIBU MKUU BARA - Benson S. Kigaila
6. NAIBU KATIBU MKUU ZANZIBAR - Salum Mwalim
WAJUMBE WA KAMATI KUU - TAIFA
1. John W. Heche
2...
Wanabodi,
Nimeiangalia hii picha ya wanawake hawa wa wenzetu, na age zao, nikajiuliza sana kuhusu sisi Tanzania na wanawake wetu katika nafasi za uongozi wa kisiasa, tatizo ni nini?.
Jee wanawake wetu Tanzania ni duni au dhaifu Kiongozi wa siasa?. Kama wanawake wetu si duni na si dhaifu na...
Teen boda boda rider shot dead by navy soldier in Mombasa
A 19-year-old boda boda rider was on Wednesday morning killed by a Kenya Navy soldier in Mtongwe, Mombasa.
Leonard Komora was gunned down at around 6.45am outside the Kenya Navy staff quarters under unclear circumstances.
The young man...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.