Wasalaam. Kifo ni ahadi ya wote. Mhubiri 7:2.
Aheri kuiendea nyumba ya matanga,kuliko kuiendea nyumba ya karamu.
Kwa maana huo ndio mwisho wa binadamu wote, naye aliyehai atautia moyoni mwake.
Walio hai wanajua ipo siku watakufa ila Mungu katupa kitu kusahau.
Kifo ni siri kubwa sana katika...