Moja, haonekani.
Pili, anatetewa na binadamu.
Tatu, hakuna ushahidi wa kisayansi.
Nne, anaenezwa kwa imani na vitisho siyo ufahamu.
Tano, wanaomhubiri wanatofautiana na kuchukiana.
Sita, anapewa sifa nyingi kuliko zinazojulikana. Mfano, mtu anasema utoe sadaka ili Mungu akubariki.
Saba...