diploma

A diploma is a certificate or deed issued by an educational institution, such as college or university, that testifies that the recipient has successfully completed a particular course of study. The word diploma also refers to an academic award which is given after the completion of study in different courses such as diploma in higher education, diploma in graduation or diploma in post-graduation. Historically, it can also refer to a charter or official document, thus diplomatic, diplomat and diplomacy via the Codex Juris Gentium Diplomaticus.The diploma (as a document certifying a qualification) may also be called a testamur, Latin for "we testify" or "certify" (testari), so called from the word with which the certificate begins; this is commonly used in Australia to refer to the document certifying the award of a degree. Alternatively, this document can simply be referred to as a degree certificate or graduation certificate, or as a parchment. The certificate that a Nobel laureate receives is also called a diploma.
The term diploma is also used in some historical contexts, to refer to documents signed by a King affirming a grant or tenure of specified land and its conditions (see Anglo-Saxon Charters and Diplomatics).

View More On Wikipedia.org
  1. zink

    Nisome ipi kati ya Diploma ya Famasia na Bsc ICT

    Habari wakuu wa jf ,nimechaguliwa UDOM - Diploma in pharmacy OPEN UNIVERSITY - Bachelor of science in information and communication technology ST JOSEPH - Bachelor of science with education in bios and chem. je nikasome kozi gani hapo kwa kuzingatia kigezo cha kujiajiri
  2. A

    Diploma ya clinical medicine ni miaka mingapi

    Hivi diploma ya clinical medicine ni miaka mingapi kwa f 6 Pia kuadvance hadi degree ya MD Jumla ni miaka mingapi
  3. K

    Ipi bora kati ya Diploma ya Sheria ya Chuo cha LUSHOTO na Diploma ya Biashara CBE Dodoma?

    Wadau, kuna kijana kachaguliwa kusoma Diploma Sheria ya Chuo cha Lushoto na pia kachagulia Diploma ya biashar aCBE Dodoma, kwa wazoefu wa hizo anga na maisha ya Kitanzania unamshauri wapi labda. Bahati mbaya siyo mjuzi wa hizo fani ukiachana na herasay
  4. Gordian Anduru

    Yanga ilishaachana na makocha wa diploma kitambo

    Siyo maneno yangu, kuna timu zina makocha MEMKWA.
  5. Engineer mussa ngelime

    Naomba kujuzwa namna ya kupata nafasi katika Engineering registration board (ERB)

    Wadau samahanini! Mimi ni graduate engineer hususan mambo ya ujenzi...nilikuwa napenda kujua ili upate nafasi ya seap ndani ya taasisi Fulani inakuwaje? Msaada tafadhali
  6. F

    Diploma selection

    Wale walioomba diploma za afya matokeo wanaangalia wapi?
  7. Justdr

    Diploma of primary education ya Open University

    Mwenye ufahamu kuhusu diploma in primary education inayotolewa open university ,naomba anisaidie kujua vifuatavyo *Namna jinsi kozi inavyotolewa *Ada na gharama zote kwa mwaka *Others Natanguliza shukrani
  8. R

    Kupokelewa MUHAS na Diploma ya clinical medicne as an entry qualification

    Najua unahitaji kuwa na GPA y 3.5 kupata sifa ya kujiunga na MD by TCU standards! Katika daily practice, kuna mwombaji aliyepokelewa MUHAS with this qualification? Nisaidieni information please. Vyuo vingine vya medicine wanawapokea na wanamaliza vema tu with flying colours.
  9. K

    Ombi: Vyuo vya Ualimu Kilimo vya Serikali kwa Diploma 2021

    Jamani naomba link ya kuniunganisha kuomba online vyuo vya Diploma ya ualaimu kwa Chemia na Biology au Vyuo vya kilimo. Nimeangalia NACTE sioni Link pakuomba. Mwanafunzi ana CEE ya CBG. Asanteni Sana
  10. 0

    Msaada: Napotuma maombi ya chuo namba ya uthibitisho (Verification number) inakataa

    Habari zenu , wapendwa mm naitwa elia,nmemaliza diploma ya ualimu secondary mwaka huu,sasa changamoto yangu ni wakati huu wa ku apply chuo kikuu ambapo kila nikitaka verification number inakataaa na napokea ujumbe kwamba sikuwa na vigezo vya kusoma Diploma. Kwa o level nilikuwa nna c tatu na...
  11. ngotho

    A Level iondolewe ili wanafunzi watoke Form Four moja kwa moja na kusoma kozi husika

    Bila shaka natumaini mpo salama wakuu. Moja kwa moja kwenye mada. imegundulika dhahiri shahiri kwamba wanafunzi wanaosoma advance na kujiunga na chuo kikuu wanakuw shallow sana ukicompare na wale waliotoka o levo na kujiunga na diploma. Kwanini hii levo ya advance isiondolewe ili wanafunzi...
  12. Meneja Wa Makampuni

    Inawezekana mwanafunzi wa Diploma kuhitimu mwaka huu nakujiunga na Degree mwaka huu?

    Habarini wataalam, Hivi inawezekana mwanafunzi wa diploma kuhitimu diploma mwaka huu nakujiunga na degree mwaka huuhuu.
  13. Michu99

    Msaada: Hatua za kuomba mkopo kwa Diploma

    Habari wakuu, Hivi zipi process za kuomba mkopo kwa Diploma ambao awana transcript yan maanisha ambao atújamalza semister ya mwisho. Msaada wakuu
  14. Violet Nkata

    Ipi bora kati ya kujiendeleza kwa degree baada ya ordinary diploma ya clinical medicine au kuanza na kufanya kaz kwa miaka kadhaa ndio ujiendeleze na

    Habar zenu Ningeomba ushaur hapo wakuu kuwa n vyema kuanza kaz baada ya diploma ya clinical medicine alaf ndio ujiendeleze au kujiendeleza immediately after diploma of clinical medicine
  15. Yoda

    Ajira zote za jeshi la polisi zianzie ngazi ya Diploma

    Ili kuboresha utendaji na weledi wa Jeshi la Polisi nchini ni vyema serikali ikaweka kigezo cha elimu kama kipaumbele kwa ngazi zote za polisi.Hii ni kutokana na umuhimu na unyeti wa kazi za ulinzi wa usalama wa raia na mali zao. Waajiriwe vijana waliomaliza diploma, digrii na masters tu katika...
  16. H

    Je, unaweza kuendelea na masomo ya Degree baada ya kuhitimu Diploma ya shule za msingi?

    Naomba kuuliza eti ukihitimu Diploma ya Ualimu wa shule za msingi unaweza kuendelea na degree ya shule ya msingi au secondary, Bila kupita Form Six?
  17. N

    Ushauri wenu juu ya kozi hii ya kijana wangu!

    Amechaguliwa kwenda kusomea kozi ya performing and visual arts (bado siajajua kama ni certificate au diploma. Mzazi mimi sina uelewa wowote wa masuala ya elimu, achilia mbali habari za vyuo na makozi yake. Kwa kozi kama hiyo, wadau naomba mnijuze na kunishauri; itamfanya awe nani? Msaada wake...
  18. Red Giant

    Hivi kuna Degree, Diploma au Certificate ya Digital Marketing?

    Siku hizi suala la Marketing limehamia mtandaoni, si Tv, magazeti, mabango, wala Radio zinazoweza kushindana na digital katika kutangaza. Nimekuwa natangaza biashara facebook/insta. Ni msitu mkubwa na changamoto ni nyingi. Na ili upate matokea yote inabidi kuielewa vizuri. Bado najifunza lakini...
  19. Mbaga Jr

    Nina Diploma in Film Production, natafuta kazi

    Inasikitisha sana wakuu
  20. Elisha Sarikiel

    Nafasi za mafunzo ya Ualimu ngazi ya Astashahada ya ualimu elimu ya Awali, Msingi na Stashahada ya Ualimu Elimu Sekondari mwaka wa masomo 2021/2022

    KUMBUKA KUZINGATIA UTARATIBU WA KUTUMA MAOMBI KAMA IFUATAVYO Wahitimu wa kidato cha nne waliohitimu kuanzia mwaka 2015 hadi 2019 wanaruhusiwa kutuma maombi. Waombaji wa Mafunzo ya Ualimu katika vyuo vya Ualimu vya Serikali wanatakiwa kujisajili na kufanya maombi kielektroniki kupitia tovuti...
Back
Top Bottom