A diploma is a certificate or deed issued by an educational institution, such as college or university, that testifies that the recipient has successfully completed a particular course of study. The word diploma also refers to an academic award which is given after the completion of study in different courses such as diploma in higher education, diploma in graduation or diploma in post-graduation. Historically, it can also refer to a charter or official document, thus diplomatic, diplomat and diplomacy via the Codex Juris Gentium Diplomaticus.The diploma (as a document certifying a qualification) may also be called a testamur, Latin for "we testify" or "certify" (testari), so called from the word with which the certificate begins; this is commonly used in Australia to refer to the document certifying the award of a degree. Alternatively, this document can simply be referred to as a degree certificate or graduation certificate, or as a parchment. The certificate that a Nobel laureate receives is also called a diploma.
The term diploma is also used in some historical contexts, to refer to documents signed by a King affirming a grant or tenure of specified land and its conditions (see Anglo-Saxon Charters and Diplomatics).
Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili, anaye hitaji kazi hii natakiwa awe anaishi Meru au mpakani mwa Arusha na Moshi au Wilaya ya Hai maeneo ya Bomangombe. Intern anahitajika mmoja au wawili katika fani hiyo...
Habari!
Naomba mnisaidie kupata kazi wana jf, nimehitimu diploma ya masomo ya banking and finance lakini sijafanikiwa kupata kazi, ninaweza kazi za bank, assistant accountant pia nimekuwa cashier Kwa wakala wa Mabasi yaendayo kasi DAR (DART)
Nipo DAR ES SALAAM naomba mnisaidie kupata kazi...
Wakuu Habari za muda huu!
Nimeitwa kwenye interview itakayofanyika Arusha siku ya ijumaa kwa kampuni binafsi.
Sasa siku hizi Kuna Swali common la candidate's salary expectations ambalo ndilo hutumiwa kuwachuja watahiniwa.
Naomba kufahamishwa range ya mshahara wa hii kazi kwa ngazi ya diploma...
Habari Ndugu Zangu,
Mimi ni binti mwenye umri wa miaka 24 nina ishi mkoa wa Dar es salaam.
Nilihitimu masomo yangu katika ngazi ya Diploma ya Komputa na Teknolojia ya Habari (Diploma in Computing and Information Technology) katika chuo xx.
Pia nina mafunzo na kuhitimu Kwa kuwa na...
Napitia hapa kazi za tra nimeona kuna kazi zinahitaji diploma, kiukweli diploma wanakuwaga wachache na hii inakuwa faida kwa wenye diploma maana nafasi hizi mtu aliepitia form 6 hawezi ku appy
Kimbembe kipo kwenye degree huku, ni shoida!! kuna rundo la vijana wengi mno wanaomaliza form 6 kila...
Hiv nduguni....hio GPA ambayo ni overall ndo wanacalculate kiaj yan kwa upande wa diploma
ni kwamba wanashika zote semista sita na kugawa kwa jumla ya GPA za semista zote au inakaaje msaada wadau.
Habari za ndugu zangu
Nimatumaini ya ni wazima,mimi ni muhitimu wa form iv 2014 (nifaulu kwa daraja la tatu) kwa alama ya phy C,chemistry E,math C,bio C,geo C,English B a mengine D yote...
Sasa mwaka huu nataka niende chuo nika apply nit first choice ordinary diploma auto...
Mke Wangu Amegraduate Chuo Cha Ualimu Tukuyu Diploma Yake Mwaka 2015 na Kupata GPA ya 3.0 kwa Mujibu wa Matokeo ya NECTA.
Mwaka 2017 Akataka Kujiendeleza Kwa Kusoma Digrii Yake OPEN UNIVERSITY Akapewa Sharti Atafute Uthibitisho NACTE Kwa Sababu Cheti Chake Hakikuwa na GPA .
Basi Tukalipia...
Tafadhali husika na mada tajwa. Mimi siyo mgeni Humu Ila nimejisajili rasmi Leo. Hali yangu ni mbaya mno, Kwa sasa Sina mengi ya kusema Ila naomba nisaidie kazi yeyote Ili niweze kupata Milo na malazi
WASIFU WANGU:
1. Nina miaka 25
2. Nina elimu ngazi ya higher diploma in project planning and...
habari za wakati huu ndugu zangu,kama kichwa cha huu uzi hapo juu kinavyojieleza,tafadhali kwa wenye uwelewa wa hii kozi ya DIPLOMA IN TROPICAL ANIMAL HEALTH AND PRODUCTION naomba kujuzwa kuhusu ajira zake baada ya kumaliza,kozi za kusoma degree,je inauhitaji kwenye soko la ajira kwa hali ya...
Habari wakuu...??
Kama kichwa kinavyosomeka ningependa kupata msaada wa kujuzwa kuhusu Mambo yafuatayo:-
1. Je Kuna kozi za postgraduate degree na Kama jibu ni yes zipi sifa za kujiunga nazo na minimum muda wa masomo ni miaka mingapi?
2. Upi utofauti wa hiyo postgraduate degree na...
Wakuu mwenye uelewa naomba anieleweshe,maana npo njia panda, maana mwanzon nlikuwa naelewa kuwa ili uwe mwalim wa chuo Cha ualim diploma ni lazma uwe umesoma BED!! Swali langu ni je hata BSC unaweza ukawa tutor?
Habar zenu wapendwa,
Kulingana na title hapo juu inavyojieleza ni kwamba kwa yoyote anayejua upatikanaj wa notes za Ordinary Diploma in Clinical Medicine either iwe n kwa njia ya magroups au online research.
Naombeni msaada kwa ambao wameshapita hii stage na kwa ambao wapo kwenye hii stage.
Habari za Leo wakuu,
Naomba kufahamishwa katika hili.
Mitihani ya supplementary chuo cha ustawi wa jamii ngazi ya diploma inaanza mwezi wa ngapi na gharama ni sh. ngapi.
Ndugu wadau, kunakijana kapata admmsiion mbilihadi sasa,, 1.BSC with Education--St Johns University-Dodoma na 2. Diploma in Nursing and Mildwife-Kibondo school of nusring
Huyu binti alimaliza CBG na division 3 ya EEC. Jamana kwa uzoefu na hali ya maisha ya sasa na kwa uzoefu wa kozi hizo...
Mara nyingi idara za serikali hulipa mishahara kwa ngazi husika kulingana na elimu ya muajiriwa. Mfano Tgs A huwa ni form four. Tgs B huwa ni wahitimu wa vyeti walioajiriwa.
Sasa jambo la ajabu mahakama inawalipa Tgs B watumishi inaowaajiri kwa ngazi ya diploma. Hii ni ubaguzi mkubwa sana. Na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.