doctor

  1. Jamii Opportunities

    Medical Doctor at Peking Health Care Limited May, 2023

    Peking Healthcare limited’ Anewly growing company located in Ilala-Dar es Salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala-Dar es Salaam. Currently there is one(01) vacancy to be filled. If you...
  2. J

    Natafuta mchongo wa Medical Doctor (MD)

    Nipo full registered medical board na nina Active License. Nipo Dar kwa sasa ila popote nakuja, part time or full time.
  3. Hemedy Jr Junior

    Daktari anamiliki "pharmacy" dawa anaiba hospitali halafu anadai ajira inalipa

    Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo. Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na...
  4. Pang Fung Mi

    Tuliosoma nao wakishakuwa Madaktari wa Falsafa(PhD) wanajikuta sana. Hivi inawasaidia nini?

    Wasalaam JF, Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina...
  5. F

    Kwa mujibu wa Vyuo Vikuu Duniani, watu waliyopewa Udaktari wa Heshima wasitambulishwe kama ‘Doctor’

    Ndio maana hatukusikia ‘Doctor Julius Nyerere’ japo alikuwa na doctorate za heshima zaidi ya sita. Kwa mujibu wa wanataaluma na mapokeo ya vyuo vikuu duniani wale waliopewa doctorate za heshima hawapaswi kuitwa doctors kama wale waliosomea PhD. Soma hapa: Should Recipients of an Honorary...
  6. MakinikiA

    Doctor wa heshima na umeme wa mgao

    Kwangu Mimi angesubiri kwanza miaka mitano ili nimpe marks Ila kwa sasa naona ana 45% tu kwenye utendaji. Labda kwa kuruhusu watu kulamba asali na wengine kuangalia kwa macho ndio heshima yenyewe. Umeme changamoto bado, mfumuko wa bei, japo maji ametatua baada ya kelele nyiiiiingi .
  7. D

    Kumbe Doctor of Letters (honorary) Ina hadhi kubwa kuliko PhD?!

    Nimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD). Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.
  8. Etugrul Bey

    Good doctor!

    Ilikuwa inakaribia saa sita na nusu usiku,nimetoka wash room tayar kwenda kulala,,,,mara mdogo wangu ananigongea mlango na kusema "broo chakula hakikai tumboni na kibaya Zaidi najisikia kutapika Mda wote lakini nikienda wash room hakuna kinachotoka hii Hali inaniumiza Sana". Nikajisemea Moyoni...
  9. Jamii Opportunities

    Medical Doctor - Obstetrics & Gynaecology at CCBRT

    Vacancy: Medical Doctor(s) with Experience in Obstetrics & Gynaecology Ref: 2022-37 Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa and serves as healthcare social enterprise and through...
  10. kajekudya

    Haji manara ni Spin Doctor Konki

    Ni hayo tu wakuu. Kazi kwenu mchague kuendelea na mjadala wenu wa pekeji au mhamie kwa Manara na Jambo lenu liwe limekamilika hivo.
  11. Da'Vinci

    Doctor Strange in the Multiverse of Madness film

    Hello y’all Shuleni tulifundishwa kwamba kazi ya fasihi ni kufundisha, kuonya, kuburudisha na kukosoa, lakini pia kuna phrase moja inasema kwamba “Literature doesn’t exist in Vacuum” . kwamba fasihi haiwezi kutokea kwenye sehemu ombwe, sehemu isiyokua na kitu wala watu. Hivyo ili fasihi itemize...
  12. BLACK SUPERMAN

    Doctor Strange 2 imeshatengeneza $42M kama mauzo ya tiketi ya mapema kabla ya Mei 6

    Marvel's Doctor Strange in the Multiverse of Madness tayari ameingiza dola milioni 42 kabla ya mauzo ya tikiti kabla ya kutolewa Mei 6, Filamu inayokuja sio tu muendelezo wa Doctor Strange wa 2016, lakini ni muendelezo wa Loki na Spider-Man: No Way Home. Filamu ya Doctor Strange pia itaendeleza...
  13. Jamii Opportunities

    Medical Doctor - Re-Advertised at Maternity Africa

    RE-ADVERTISED MEDICAL DOCTOR Maternity Africa (www.maternityafrica.org) is a Christian-based, charitable, non-governmental organization registered in Tanzania. It is devoted to making childbirth safe by providing access to good maternity services and treatment of obstetric fistulae and other...
  14. Jamii Opportunities

    Medical Doctor (1 Position) at Médecins Sans Frontières (MSF)

    Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people based on need, irrespective of race...
  15. Chimunguru

    Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

    Habari JF Doctor na wana jamii wote. Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini hatujafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizo lake. Kwa ufupi ni kwamba alianza tu kuwashwa jichoni, macho...
  16. M

    Namwombea Mshahara zaidi 'Spin Doctor' wa Siasa za Tanzania na Matukio yote Muhimu ya Kihisia

    Ameshatufanya tusahau Sakata la Mbowe, Ugaidi na Makomandoo wake na sasa tujikite zaidi katika Sakata la wana CCM wanaopendana akina Polepole, Nnauye na Bulembo lakini wenye Akili fupi tunafurahia na kudhani wana Ugomvi ( a.k.a ) Bifu. Na hapa ndipo ninapoisifu Idara ya Mpare ya pale Makao...
  17. Sky Eclat

    Meet Nigerian doctor, Richard Okoye who built multi-million dollar empire after rejecting 20M dollars offer

    Nigerian doctor, Dr. Richard Okoye rejected an offer of 20 million US dollars from a corporate group in Dubai in 2012 who wanted to take over his “Save A Life” mission in 2012 and yet went on to build a multi-million dollar empire. His amazing story is not only a motivation to African youths...
  18. Bryan audax

    Nina tatzo la uume wangu katikati ya kutolea mkojo kuna kinyama kimejitokeza kidogo, sijui nini shida

    Dr habari za kazi aisee Nina tatzo la kujitokeza kinyama katikati ya uume wangu n kadogo Sana kapo sehemu unapotokea mkojo sijui nn shida msaada wako na tiba yake nini? Samahani kwa hiyo picha.
  19. J

    Mtoto wa miezi 9 kushindwa kukaa kwa kujitegemea

    Msaada jamani😒 Nina mtoto wa miezi 9 na week 3 sasa hawezi kaa kwa kujitegemea kwa muda mrefu akikaa kidogo anaanguka ijapokuwa yupo active kuanzia mikono kushika shika vtu na miguu kuitupa na kuikunja ndio zaidi NB:alichelewa kukaza shingo nikajithd na mazoez niliyoelezwa ila nikaambiwa akifika...
  20. sudan iii

    ushauli kuhusu kusoma medical doctor

    Habari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8. Chem-B Phy-B Bio-D Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
Back
Top Bottom