Peking Healthcare limited’ Anewly growing company located in Ilala-Dar es Salaam which offers high level quality health services is looking for competent candidates to join the team at one of her dispensaries located in Ilala-Dar es Salaam. Currently there is one(01) vacancy to be filled. If you...
Ukiona mtu anasifia kuajiriwa mchunguze sana, wengi wapigaji! Ona mfano mdogo; mwalimu hana posho au marupurupu ndo maana kila siku analalamika. Mapolisi nao, hivyo hivyo.
Kuna mambo mengi sana kwenye ajira, ukiona mtu anasema anapata milioni 5 mshahara matumizi yake bei gani kwa siku? Na...
Wasalaam JF,
Bila wivu ila ukweli usemwe, hawa jamaa tuliosoma nao primary, secondary na vyuo, akishapata udaktari wa Falsafa yaani PhD au uprofessa wanajikuta sana, wanajiona kama elimu yake ni uboss wakati elimu ni yake na maisha ni yake, kama wewe ni Frank, Anna, Rachel , Juma hilo ndio jina...
Ndio maana hatukusikia ‘Doctor Julius Nyerere’ japo alikuwa na doctorate za heshima zaidi ya sita.
Kwa mujibu wa wanataaluma na mapokeo ya vyuo vikuu duniani wale waliopewa doctorate za heshima hawapaswi kuitwa doctors kama wale waliosomea PhD.
Soma hapa:
Should Recipients of an Honorary...
Kwangu Mimi angesubiri kwanza miaka mitano ili nimpe marks Ila kwa sasa naona ana 45% tu kwenye utendaji.
Labda kwa kuruhusu watu kulamba asali na wengine kuangalia kwa macho ndio heshima yenyewe.
Umeme changamoto bado, mfumuko wa bei, japo maji ametatua baada ya kelele nyiiiiingi .
Nimesikia kwa Mkuu wa Chuo Kikuu Dare salaam kuwa Udaktari wa heshima ndio una hadhi kuliko Udaktari wa kusoma na utafiti wa falsafa (PhD).
Embu mwenye uelewa atupe tuition kidogo.
Ilikuwa inakaribia saa sita na nusu usiku,nimetoka wash room tayar kwenda kulala,,,,mara mdogo wangu ananigongea mlango na kusema "broo chakula hakikai tumboni na kibaya Zaidi najisikia kutapika Mda wote lakini nikienda wash room hakuna kinachotoka hii Hali inaniumiza Sana".
Nikajisemea Moyoni...
Vacancy: Medical Doctor(s) with Experience in Obstetrics & Gynaecology
Ref: 2022-37
Comprehensive Community Based Rehabilitation in Tanzania (CCBRT) aims to be the leading provider of accessible specialized health services in Africa and serves as healthcare social enterprise and through...
Hello y’all
Shuleni tulifundishwa kwamba kazi ya fasihi ni kufundisha, kuonya, kuburudisha na kukosoa, lakini pia kuna phrase moja inasema kwamba “Literature doesn’t exist in Vacuum” . kwamba fasihi haiwezi kutokea kwenye sehemu ombwe, sehemu isiyokua na kitu wala watu. Hivyo ili fasihi itemize...
Marvel's Doctor Strange in the Multiverse of Madness tayari ameingiza dola milioni 42 kabla ya mauzo ya tikiti kabla ya kutolewa Mei 6, Filamu inayokuja sio tu muendelezo wa Doctor Strange wa 2016, lakini ni muendelezo wa Loki na Spider-Man: No Way Home.
Filamu ya Doctor Strange pia itaendeleza...
RE-ADVERTISED
MEDICAL DOCTOR
Maternity Africa (www.maternityafrica.org) is a Christian-based, charitable, non-governmental organization registered in Tanzania. It is devoted to making childbirth safe by providing access to good maternity services and treatment of obstetric fistulae and other...
Médecins Sans Frontières (MSF) is an international, independent, medical humanitarian organisation that delivers emergency aid to people affected by armed conflict, epidemics, natural disasters and exclusion from healthcare. MSF offers assistance to people based on need, irrespective of race...
Habari JF Doctor na wana jamii wote.
Mdogo wangu wa kiume (23yrs) ana tatizo la kuwashwa mwili mzima tokea mwaka 2002. Nimezunguka naye takribani hospitali zote kubwa hapa Dar lakini hatujafanikiwa kupata ufumbuzi wa tatizo lake.
Kwa ufupi ni kwamba alianza tu kuwashwa jichoni, macho...
Ameshatufanya tusahau Sakata la Mbowe, Ugaidi na Makomandoo wake na sasa tujikite zaidi katika Sakata la wana CCM wanaopendana akina Polepole, Nnauye na Bulembo lakini wenye Akili fupi tunafurahia na kudhani wana Ugomvi ( a.k.a ) Bifu.
Na hapa ndipo ninapoisifu Idara ya Mpare ya pale Makao...
Nigerian doctor, Dr. Richard Okoye rejected an offer of 20 million US dollars from a corporate group in Dubai in 2012 who wanted to take over his “Save A Life” mission in 2012 and yet went on to build a multi-million dollar empire.
His amazing story is not only a motivation to African youths...
Dr habari za kazi aisee Nina tatzo la kujitokeza kinyama katikati ya uume wangu n kadogo Sana kapo sehemu unapotokea mkojo sijui nn shida msaada wako na tiba yake nini?
Samahani kwa hiyo picha.
Msaada jamani😒
Nina mtoto wa miezi 9 na week 3 sasa hawezi kaa kwa kujitegemea kwa muda mrefu akikaa kidogo anaanguka ijapokuwa yupo active kuanzia mikono kushika shika vtu na miguu kuitupa na kuikunja ndio zaidi
NB:alichelewa kukaza shingo nikajithd na mazoez niliyoelezwa ila nikaambiwa akifika...
Habari zenu wadau na mdogo wangu kapata div one point 8.
Chem-B
Phy-B
Bio-D
Anataka kusomea udactar je atapata na aombe vyuo gani ili afanikish ndoto yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.