TANZANIA RED CROSS SOCIETY
The Tanzania Red Cross Society (TRCS) is a voluntary humanitarian organization established as an independent National Society (NS) by the Act of Parliament No. 71 of December 1962 and amended by the Parliament of Tanzania in 2019. Tanzania Red Cross Society was...
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano.
Nimetafuta historia ya huyu mtu mwenye akili nyingi sijaipata kikamilifu.
Naomba kwa mwenye kujua walikozaliwa wazazi wake anijulishe tafadhali.
Nikiangalia sura yake naona inafanana kiasi fulani na Paul Kagame au inafanana na watu wa Rwanda.
Habarini ndugu,
Kwa anayejua mtu anayeanza chuo mwaka wa kwanza kwa ngazi ya degree ya medical doctor kuna umuhimu wowote wa kuwa na laptop? Kama jibu ni ndio je kitu gani kingine anachotakiwa kuwa nacho kama sehemu ya kumsaidia kwenye masomo yake?
Msaada kwa hili.
Habari za uzima, Ndugu zangu, kuna mtoto wa dada yangu nimemfanyia application ndoto zake kubwa ni kusoma udaktari na aya ndio matokeo yake ya O-LEVEL (NI BINTI)
O LEVEL
Civics..........B
History.......D
Geograph..B
Kiswahili....B+
English.......B+
Physics.......C
Chemistry...C
Biology.......B...
Leo nimeingia website ya Tamisemi na ghafla nikakutana na heading inayosema "Dkt Gwajima: Watanzania wanafahamu na kumiliki mafanikio ya sekta ya Afya ya Msingi".
Moyo wangu kidogo utokee mbavuni nikijiuliza hee huyu bwana Gwajima ame advance mpaka sasa yupo ndani ya website ya Tamisemi? Lakini...
Dr Chour de Garang Alier
[Dar es Salaam] Dr Chour de Garang Alier, a South Sudanese national who was groomed at Muhimbili University of Health and Allied Sciences (MUHAS) has been named number one rising star among black students studying in the United Kingdom.
Aged 35, Dr Chuor, who is...
Ukianzia na Bunge, UVCCM na baadhi ya makundi ya watu wachache hasa wanaccm wako mstari wa mbele kabisa kupaza sauti na kupambana Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ibadilishwe ili tu kuweza kumpa Magufuli nafasi ya kuongoza kwa kipindi cha zaidi ya miaka mitano.
Wengi wa wanaodai...
Charles Liebar is a Doctor and chair of Harvard University’s Department of Chemistry and Chemical Biology.
He is believed to have created the deadly Corona Virus with other Chinese Nationals through a post that virally, occupied the internets’ search engine and social media.
Through a fact...
Kuna tangazo radioni nilisikia chuo fulani wakitangaza kozi za clinical medicine kama Udaktari ngazi ya diploma. Baadhi ya watu wakaingia kwenye mabishano juu ya hilo.
Navyoelewa mimi Kozi yao inaitwa "Clinical medicine" yaani (Utabibu wa tiba ya kitaalam)
Ambapo anaesomea kozi hiyo kwa ngazi...
German Chancellor Angela Merkel is in quarantine at home after coming into contact with a doctor who tested positive for coronavirus, her spokesman said Sunday.
Source: Bloomberg
Chinese probe finds coronavirus whistle-blower doctor was punished 'inappropriately'
Dr Li Wenliang, one of a group of doctors in Wuhan who shared posts on social media warning of a Sars-like virus spreading in the city in December, was reprimanded by police for sharing the information.PHOTO...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.