dp world

DP World is an Emirati multinational logistics company based in Dubai, United Arab Emirates. It specialises in cargo logistics, port terminal operations, maritime services and free trade zones. Formed in 2005 by the merger of Dubai Ports Authority and Dubai Ports International, DP World handles 70 million containers that are brought in by around 70,000 vessels annually. This equates to roughly 10% of global container traffic accounted for by their 82 marine and inland terminals present in over 40 countries. Until 2016, DP World was primarily a global port operator, and since then, it has acquired other companies up and down the value chain.

View More On Wikipedia.org
  1. B

    LIssu: Bandari zote bara, DP World kauziwa

    Hoja hupingwa kwa hoja: Bandari zote bara zimeuzwa! Kama ni kwa manufaa yetu, kwa nini siyo za Zenji?
  2. Mparee2

    Kwenye Mkataba wa DP world Watanzania wanapotoshwa!

    Nafikiri huu mkataba ulichokosa ni Schedule of amendment au kikomo cha mkataba, mengine yanaongeleka
  3. Mwl.RCT

    Video | Serikali ya Djibouti yavunja mkataba na DP World kuhusu uendeshaji wa bandari ya Doraleh

    Muhtsari Serikali ya Djibouti yavunja Mkataba wa Bandari ya Doraleh na DP World Sababu za kuvunja Mkataba ni kutokuwepo kwa maslahi kwa Taifa la Djibouti na rushwa iliyotolewa na mkuu wa bandari Serikali ya Djibouti yaishtaki DP World kwa madai ya ukiukwaji wa Mkataba Serikali ya Djibouti...
  4. B

    Dk. Slaa: Mkataba wa DP World kama Taifa - Tumeuzwa!

    Hoja hupingwa kwa hoja: Ukweli mchungu: "Mkataba wa DP World ni mmoja akiita jiwe hata mwenda wazimu hawezi kuusaini." Heshima kwake Dk. Slaa.
  5. N

    Suala la DP World nahisi bado naota. Ni kweli kabisa Viongozi wetu waliukubali mkataba wa hovyo kama huu?

    Habari wakuu, Hapa nipo nimekaa namtafakari Rais wetu, Waziri Mkuu wetu, Mawaziri wetu na wabunge wetu. Ni kweli kabisa walikubali kuuchukua huu mkataba na akili zao au Kuna kitu kipo nyuma yake? Bado naona Kama naota, maana mkataba wenyewe hata mtoto wa Darasa la Saba ukimpa ausome anaukataa...
  6. D

    Rais Samia, usiwasikilize sana washauri wako kuhusu Mkataba wa Bandari

    Mama, usiwasikilize sana washauri wako hasa kuhusu Mkataba wa DP World. Tumia akili yako wewe mwenyewe kutoa maamuzi ya mwisho kuhusu Mkataba wa DP World. Kwa ufupi kabisa, na kwa maoni yangu, kuna kila sababu kuusitisha kwanza mkataba huu mpaka pale utakapokuwa umeeleweka vizuri kabisa kwa...
  7. B

    Raia Samia asikie ya kuambiwa: DP World inatupeleka kubaya

    Yamesikika ya wasomi (nguli kwa mapoyoyo), chawa, wajinga na hata werevu: Kwani kuna haja ya kuliacha suala hili kuendelea mno? "Labda kwa kusubiria dodo kwenye mnazi." Ushauri wa bure tunaelekea kubaya
  8. Zanzibar-ASP

    UTATA: Majadiliano na DP world bado, lakini serikali yetu inajivunia faida za DP world!

    Huenda labda ni kuchanganyikiwa au kutokujipanga kwa viongozi wa Tanzania katika kutetea mkataba wa uwekezaji wa bandari baina ya DP world na Tanzania. Kumekuwa na kauli za kukinzana na kuvuruga kutoka kwa viongozi watetezi wa sakata hili ili kujibu shutuma za Bandari yetu kutolewa bure na...
  9. Mukulu wa Bakulu

    Mwaka 2015 inadaiwa Kikwete alisaini mkataba kama wa DP World usio na exit clause na Symbioni ya Marekani, tumeishia kuwalipa Bilioni 350 ya fidia

    Naomba tukumbushane, mwaka 2015 Kikwete alisaini mkataba wa kichief mangungo kama huu wa DP World na kampuni Symbioni ya Marekani, mkataba ambao haukua na exit clause, mkataba uliowapa Symbion haki zote na upendeleo wote walioutaka. Mwaka 2016 Magufuli alipoona mkataba kati ya serikali na...
  10. Sildenafil Citrate

    Mohamed Salum: Mkataba wa DP World unahusisha upangishaji na uendeshaji pekee, sio uuzaji wa Bandari

    Mwanasheria Mohamed Salum amesema Bandari ya Dar es Salaam haiuzwi wala kubinafsishwa, bali inapangishwa kwa DP World huku Serikali kupitia TPA ikiendelea kusimamia. Kwa mujibu wa Sheria za Tanzania, TPA ndio wanayo mamlaka ya kumiliki na kuendesha Bandari zote za Tanzania. Amewataka watu...
  11. Sildenafil Citrate

    Mohamed Salum: Nchi zenye Mitaji Mikubwa ya Uwekezaji Duniani kwa sasa zipo Uarabuni

    Mwanasheria Mohamed Salum amesema Nchi zenye mitaji ya uwekezaji mkubwa duniani kwa sasa zipo Uarabuni. Waarabu hawa wamewekeza kwenye nchi nyingi duniani ikiwemo Ulaya. Kwa DP World wana mtaji mkubwa wa kifedha, hakuna nchi inayofanya biashara bila kuruhusu sekta binafsi. Amesisitiza kuwa...
  12. R-K-O

    Ogopa Teknolojia: Nimeweka mkataba wa bandari kwenye Chat-GPT, Imejibu kwamba bandari zitakuwa za DP World Milele!

    Kwa wale ambao hamuijui Chat GPT, hii ni teknolojia ya Artificial Intelligence (Akili Bandia), Kumekuwa na vuta nikuvute ya huu mkataba, wapo wanaosema mkataba huu ni halali wakiongozwa na spika wa bunge Tulia Ackson na msemaji Gerson Msigwa... Upande wa pili ndio hawa wanaofanya ishu itrend...
  13. R

    Msigwa akiulizwa swali gumu kuhusu DP World anajibu watu wajifunze uwezo wa kusikiliza na kukatisha watu kutoa maoni

    Kwenye Mjadala wa Wazi wa Bandari Club House unaoendeshwa na chaneli ya Msemaji Mkuu wa Serikari sasa hivi mambo yamekuwa moto. Msigwa akipigwa swali gumu tu anamwambia aliyeuliza ajifunze kuwa na uwezo wa kusikiliza, halafu anamkatisha muuliza swali kwa kusema kitu anachotaka kusikia yeye...
  14. Sildenafil Citrate

    Mohamed Salum: Serikali haiwezi kupokea Maoni ya Mtu mmoja mmoja kutoka Nchi nzima kwenye Suala la Bandari

    Bunge ndio sehemu ya wawakilishi wa wananchi, Serikali haiwezi kupokea maoni ya mtu mmoja mmoja kutoka nchi nzima kuhusu suala hili la Bandari. Kwenye kujadili mkataba, ni wajibu wa Mbunge kupata maoni ya watu wake kwa kuwa ndiye muwakilishi wao, na Bunge hukaribisha maoni kabla ya kupitisha...
  15. Sildenafil Citrate

    Kauli ya Kusema DP World watamiliki Maeneo yote ya Bandari za Bahari, Maziwa na Nchi kavu ni kama posa tu, Mchumba mwenyewe atajulikana baadae

    Mwanasheria Mohamed Salum amesema kuwa Kauli ya Kusema DP World watamiliki Maeneo yote ya bandari za Bahari, Maziwa na Nchi kavu ni kama posa tu, lakini mchumba mwenyewe atajulikana wakati wa kusaini mikataba midogo ya makubaliano itakayokuja baadae. Amebainisha kuwa hilo ni jina tu...
  16. Nyendo

    Anachokifanya Msigwa kwenye mjadala kaniongezea wasiwasi mara 100 zaidi ya niliokuwa nao

    Msigwa anaonekana kabisa kaandaa mjadala huu wa Bandari kimkakati, yupo kipropaganda, hataki kukosolewa anataka watu waongee anachotaka. Haruhusu maswali yanayomchallenge na yakiulizwa anayajibu kisiasa anaingia anatoka kama mchwa kwenye kichuguu mwisho hujui hata kajibj nini, kifupi hana...
  17. Sildenafil Citrate

    Kaimu Mkeyenge: Faida inayopatikana Bandarini ni ndogo, lazima tutafute watu wenye Misuli

    Kaimu Mkenyenge ambaye ni Mkurugenzi Mkuu wa TASAC amesema Serikali imekuwa inawekeza fedha nyingi bandarini kila mwaka lakini faida inayopatikana ni ndogo. Amebainisha kuwa uchumi wa sasa wa kidunia unapaswa kushirikisha sekta binafsi, na lazima watu wenye uzoefu watafutwe ili wasaidie wakati...
  18. Sildenafil Citrate

    Mohamed Salum: Utekelezaji wa Masuala ya Bandari hauhusu Muungano

    Mwanasheria Mohamed Salum amesema Zanzibar haijahusishwa kwenye Mkataba wa DP World kutokana na masuala mbalimbali ikiwemo ugumu wa utelekezaji wa suala hili upande huo. Salum amesema japokuwa Bandari ni suala la Muungano, Utelekelezaji wake sio wa kimuungano kwa kuwa Zanzibar wana mamlaka zao...
  19. Analogia Malenga

    Bandari haziwezi kuendeshwa kimuungano

    Akijibu maswali ya wadau kuhusu suala la Bandari kuwa la Muungano lakini mkataba wa DPW ni wa Tanzania Bara, msemaji wa TASAC amesema suala la bandari haliwezi kuendeshwa kimuungano imeshashindikana Akijibu swali kwenye Clubhouse amesema, suala Zanzibar haihitaji uwekezaji kwa wakati huu kwa...
  20. Sildenafil Citrate

    Gerson Msigwa: Serikali imewaleta DP World nchini ili vijana wapate ujuzi

    Msemaji Mkuu wa Serikali Gerson Msigwa amesema sio lazima kwa sasa kuwapekeka vijana nje kujifunza ujuzi unaohusu uendeshaji wa Bandari. Amesisitiza kuwa Unaweza kuwapeleka vijana huko, lakini njia nzuri ni kuwaleta DP World hapa ili vijana wengi wapate uwezo na nafasi ya kujifunza wakiwa hapa...
Back
Top Bottom