dstv

  1. Replica

    Nehemiah Mchechu aula DSTV, ateuliwa mkurugenzi wa bodi

    MultiChoice Tanzania imemteua Nehemiah Kyando Mchechu kuwa mkuu wa bodi ya wakurugenzi uteuzi ulioanza rasmi Agosti 1, 2022 Multichoice wamesema wana imani kubwa na uwezo na uzoefu wake uliomfanya kuwa moja ya wakurugenzi mahiri hapa nchini. Pia, soma=> BAJETI: DStv yaunga mkono TOZO ya...
  2. BARD AI

    Kenya 2022 Multi Choice pekee kuchukua matangazo ya uapisho wa Rais Mteule Ruto na kusambaza kwa wengine

    Timu ya Mawasialiano ya Rais Mteule imezuia vyombo vya habari vya nchini humo kurusha hafla ya kuapishwa kwa William Ruto na kutoa haki za kipekee za utangazaji kwa Multichoice Kenya Ltd. Tangazo hilo limepokelewa kwa hisia tofauti na wanahabari wa ndani na mashirika ya habari, huku gazeti la...
  3. Frumence M Kyauke

    Ufafanuzi juu za shutuma ya DStv kurusha vipindi vinavyohamasisha ushoga

    Tafadhali tuwekane sawa, DStv haijihusishi na kurusha maudhui yasiyofaa katika jamii. Malalamiko haya yanatakiwa kupelekwa moja kwa moja kwenye channel husika. DStv wanarusha channels tofauti, sio kosa lao pale yanapotokea mambo ambayo yanahusiana na maudhui mabaya. Kinachotakiwa kufanyika...
  4. Jidu La Mabambasi

    Ujumbe kwa TCRA: DStv wanarusha vipindi vya kuhamasisha ushoga kwa watoto?

    TCRA Please take note. Kuna ujumbe wa malalamiko kuwa kuna vipindi wanavyovipenda watoto vya NICKELODEON, vinavyorushwa na DsTV, vimeleta taharuki kwa wazazi. TCRA kama mhusika tafadhali chukua hatua. Ujumbe: Dear Parents/Guardians. This is to bring to your notice that the cartoon channel...
  5. Wand

    SI KWELI DStv wapandisha gharama za vifurushi kwenye king'amuzi kutokana na tozo za Serikali

    Imeripotiwa tozo za Serikali kwenye ving'amuzi itaanza rasmi Septemba 1 kwa DStv kutangaza gharama mpya ya vifurushi.
  6. Greatest Of All Time

    DStv wadaiwa kupandisha bei za vifurushi kisa tozo

    Wakati tozo za benki zikiwa bado moto, tozo za ving'amuzi inaanza rasmi Septemba 1 kwa Dstv kutangaza gharama mpya ya vifurushi. Hakika hatupumui. PIA SOMA - BAJETI: DStv yaunga mkono TOZO ya king'amuzi. Yataka 'Free chanels' zisiwepo ili Serikali ikusanye zaidi --- DStv Wapinga na kutoa...
  7. Mbaga Jr

    Dstv wanaweza kurudisha pesa kama umenunua kifurushi mara mbili?

    Inasikitisha sana wakuu
  8. Teko Modise

    Ukali wa Maisha: Wananchi waiomba Dstv ipunguze vifurushi vyake

    Kupitia ukurasa rasmi wa Dstv huko Instagram, wananchi wengi ambao ni wateja wa Dstv wameomba kupunguziwa gharama hasa kwenye vifurushi kutokana na ukali wa maisha. Wengine wakaenda nbali zaidi, kuwa wanatumia king'amuzi cha Canal hivyo hawako tayari kunyonywa na gharama kubwa za Dstv. Wakati...
  9. R

    Kwanini Orijino Comedy Dstv haina wafuatiliaji wengi?

    Habari wana JF, Hivi kwanini Orijino comedy dstv haina wafuatiliaji wengi ,Shida ni nini? Kukosekana kwa Joti? Muda uliowekwe kwa ajili ya hicho kipindi? Kwa kifupi hata viewers wa clips zao kwenye mitandao ni wachache shida nini? Maana waigizaji wapo tena wazuri, kwa mnao fuatilia shida ni...
  10. Replica

    BAJETI: DStv yaunga mkono TOZO ya king'amuzi. Yataka 'Free chanels' zisiwepo ili Serikali ikusanye zaidi

    Jana kwenye bajeti iliyopendekezwa na Serikali, wamependekeza tozo ya shilingi 1000-3000 kwenye ving'amuzi kulingana na kifurushi mtu ananunua. Serikali tayari inakusanya kodi kwenye haya makampuni na pia inakusanya VAT kila mteja anaponunua king'amuzi au kifurushi, kumuongezea tozo itakuwa...
  11. Linguistic

    Waziri Nape Alitudanganya Local Channels Kuonekana Kwenye King'amuzi Cha DStV?

    Wakuu kuuliza Sio Ujinga . Niliwahi sikia kupitia Kwa Waziri Mmoja akijinasibu Kwamba local Channel Zote za Tz zimerudishwa kwenye Decoder ya DStv. . Na Hata Kama Kifurushi chako kikiisha zile local channels zinaendelea kuonekana. . Lakini Cha ajabu kifurushi chako Cha DStv kikiisha na kama...
  12. Dr Matola PhD

    Je, ni sahihi kwa DSTV kuziweka ITV, EATV, Clouds TV na Channel Ten kwenye chaneli za kulipia?

    Huenda mimi ndio sielewi basi nielimishwe, lakini kwa upeo wangu mdogo ninavyojua mimi hizo channel ITV, eatv, clouds na channel ten ni FTA channels sasa inakuwaje kifurushi cha Dstv kikiishia wanakuachia Tbc peke yake? Mimi nina king'amuzi pia cha Star times hawa air time ikikuishia free...
  13. bafetimbi

    Hatimaye DSTV wakongwe wa digitali waachia local channels

    Habari waungwana..... Huu ndiyo muda muafaka wa kuwahama azam na kwenda kwenye full hd DSTV maana kifurushi cha Azam cha bei ya juu TSH 35,000 channel zake hazifikii kifurushi cha DSTV cha TSH 21,000. Kwaherini Azam mlinifaa Sana kwa kipindi nilichokuwa nanyi na huu ndiyo muda rasmi wa...
  14. George Betram

    Hivi hawa DSTV wanatuchukuliaje Watanzania?

    Salaam WanaJF! Hivi hawa jamaa wa DSTV (Multichoice) wanatuchukuliaje Watanzania!? Kwamba wanatuchukulia tupo vizuri sana kiuchumi, ama wanatuchukulia sisi washamba sana au inakuwaje!? Kila siku wanafanya kuzichezesha chaneli zao ndani ya DSTV, sio kitu cha ajabu kukuta chaneli yako pendwa...
  15. blogger

    Dstv wamekata moto!?

    Walikuja kwa moto sana wakidai wamerejesha channels za bure! Kumbe ilikuwa nguvu ya soda, wamenyofoa zootee!!! Kwako Nape
  16. M

    Dstv kumbe hamna kitu, ni hovyo.Hongera Azam.

    Kwa gharama za vifurushi vyao kuacha kuonesha mechi kali kama za leo(kutoka Afrika) za kufuzu world cup ni kutothamini wateja. Congo vs Morroco Cameroon vs Algeria Ghana vs Nigeria Mechi kama hizi hamuoneshi mnabaki kuonesha mi mbio ya baiskeli, jirekebisheni.
  17. Replica

    DSTV yaondoa chaneli za Urusi kwenye king'amuzi chake Afrika

    Naona Western Bloc wanataka kubaki peke yao wanapiga propaganda vita ya Urusi na Ukraine ambapo Multichoice Afrika maarufu kwa kisimbusi chake cha DSTV imeiondoa chaneli ya Urusi ya Russia Today(RT) ambapo kwenye tamko lake wakisema hatua hiyo wamelazimika kuichukua kutokana na vikwazo...
  18. Program Manager

    Hatimaye chanel za ndani zaanza kuonekana kwenye kisimbuzi cha DSTV bila kifurushi chochote

    Wapenda bure kilio chetu kimesikika na hatimaye chanel za ndani zimeanza kupatikana/kuonekana bila kujali una kifurushi au la. Mimi kwangu nabadili tu chanel mara clouds sijakaa sawa chanel ten kidogo eatv nk Nipeni mrejesho Wapenda bure wenzangu Uzi tayari
  19. S

    Waziri Nape waelekeze DSTV na AZAM TV Waweke option ya kulipia kwa match unayotaka kuangalia

    Kichwa cha habari kinajieleza, nchi nyingine wanaruhusu kulipia kwa match ama kuchagua movie unayotaka unalipia, ama pay per View, why not do the same ? Nawasilisha -----‐-------- Hawa DSTV tatizo lao wanataka faida kubwa kwa haraka, wenzao AZAM TV japokuwa hawaweki pesa kubwa lakini wana...
  20. Mchochezi

    Ni ipi tofauti ya visimbusi vya Dstv na Gotv?

    Nimeona kama Gotv ina ufanano sana na Dstv, je ni ipi tofauti ya visimbuzi hivi viwili? Naona sana Gotv ipo kenya, uganda, Nigeria nk Swali la nyongeza, mbona Gotv haipo Tanzania?
Back
Top Bottom