dua

  1. M

    Uchaguzi 2020 Dua ya kuombea Uchaguzi Mkuu mwezi Oktoba 2020

    Wana ukumbi habari zenu, Ama baada ya salamu, nlikua nina Ombi kutoka kwenu kwa ajli ya nchi yetu. Ama kwa ombi lenyewe ni kuomba Dua kwa aliyetuumba, atujaalie uchaguzi wa safari hii uwe wa huru na wa haki tumuombe pia. Aliyetuumba kutupa Subra katika kila jambo na mwenye nia mbaya ya nchi...
  2. Pascal Mayalla

    Tukidhani ni Binadamu wenzetu, kumbe ni mashetani! Mtu unaombeaje mwenzako afe kwa Corona? Can't believe this wickedness! Huu sio utu, ni ushetani!

    Wanabodi, Mtu unachokiandika, ndicho unacho kiwaza!, kuna watu, tunaishi nao, tunakula nao, tunalala nao, tukidhani ni binaadamu wenzetu, kumbe ni machoni tuu ndio kama watu, lakini mioyoni ni mashetani wakubwa!. Mtu unaombeaje binaadamu mwenzako afe kwa Corona?!. Can't believe this wickedness...
  3. R

    Wazanzibari wa kijliwe cha Jaws Corner wasoma dua kumuombea Sultan Qaboos wa Oman

    Je wa oman nao huwa wanawaombea viongozi wa zanzibar publicly namna hii?
  4. J

    Wiki ya Maulidi: Viongozi wa BAKWATA watembelea miradi ya Maendeleo ya Serikali

    Viongozi wa BAKWATA walioko Jijini Mwanza ikiwa ni katika wiki ya maulidi ambayo kitaifa sikukuu itafanyika jijini humo wamempongeza na kumshukuru Rais Magufuli kwa maendeleo anayotuletea. Viongozi hao wamekaguwa miradi mbalimbali inayotekelezwa na serikali ikiwemo ujenzi wa meli mpya za...
Back
Top Bottom