Hello,
I’m observing the trends of some O-level graduates ditching A-level selections for NACTVET.
Some have 9 A’s. What went wrong in A-level ?
Shouldn’t the MoE scrap A-level subjects or merge it somewhere in NACTVE and University curriculum?
Major reason has been ‘That level is a wastage...
Wakuu GT.. nawasalimia sana.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
1. Utangulizi
Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi...
Salaam wanajukwaa,
Hii nchi imejaa usanii mtupu vyuo vikuu vinacheza na serikali na donors hasa wadau wa maendeleo.
Mpwayungu aliwavagaa walimu leo imeenda huko vyuo vikuu wanatengeza mitaala kwa kukaa maofisini, wanabuni masomo kwa hisia zao kihuni tu, hawafuati hatua stahiki, malecturers...
Habari za saa wakuu,
Je, kwa wale wenye vyeti vya early childhood education kwenye mfumo wa tamisemi na nyie mnapata options kama zangu kwenye masomo ya kufundisha maana mimi naandikiwa all primary subjects sasa sijajua nyie wenzangu inaandikaje?
Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila...
Imekaaje hiki cheti cha Diploma ni Dhahabu wakati cheti cha Advanced level ni Mkaa .Serikali ianze kuleta ubunifu kutoa kipaumbele cha Ajira kwa wenye Advanced Certificate.
Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist, Enterpreneur, Lecturer) na School Drop- Out
Don't Let Schooling interfere with your Education.......
Ni...
Dear President Dr. Samia Suluhu,
I hope this letter finds you in good health and high spirits. I am writing to bring to your attention a critical issue that affects the future of our country, namely, the high rate of unemployment among high-education graduates. Despite their impressive...
Habari waungwana,
Poleni na hongereni kwa majukumu ya kulijenga Taifa, niokoe muda ili nisiwachoshe ndugu zangu, kitaaluma mimi ni mwalimu na tayari nina diploma ya physical education ambayo nilisoma nikiwa tayari nimeajiriwa lakini mpaka sasa haijanipa kile nilichokitaka.
Kwasasa nataka...
Using English as the language of instruction at all levels of education in Tanzania would bring many benefits to students, teachers, and the country as a whole.
Firstly, using English as the language of instruction would improve access to international knowledge and resources. English is widely...
Howzit! Sawubona!
Kipindi nakua, kidato cha pili, nakumbuka siku moja tumetoka shule nilikuwa nikimsikiliza rafiki angu wa kishua njiani analalamika kuwa kwao huwa wanabishana kuhusu hospitali waliyompeleka mzee wao mgonjwa wa kisukari. Kama ni nzuri au wamhamishe.
Alikuwa TMJ walitaka...
Here you get Kiswahili version to start with followed by English version
KISWAHILI VERSION
TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) INAFANYA BIASHARA YA ELIMU NA VITABU KWA MTINDO WA DAWA YA KULEVYA. BIASHARA YA VITABU (TEXTBOOKS) NDIYO KAZI YAO KWA KISHERIA YA TAASISI HII?
Kwanza kabisa TET...
Wana JF naomba msaada wa mawazo yenu. Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha sita mwaka huu na kwa sasa yupo jeshini kwa mujibu wa sheria.
Kabla hajaondoka alisisitiza sana nimsaidie kuomba chuo katika kozi ya BACHELOR DEGREE WITH EDUCATION IN ADULT EDUCATION AND COMMUNITY DEVELOPMENT sikupata...
"our beloved Hon. President John Joseph Magufuli has passed away" after this statement all national flag started flying at a half-mast. Who has power to order the use of this national symbol?
A. Prime minister
B. Vice president
C. Speaker
D. The president
E. Chief secretary
I wait for your well...
Habari wanajamii
Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile
Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani...
habari zenu wakuu , moja kwa moja kwenye mada , siku ya jumapili nilipata nafasi ya kumtembelea mzee mmoja mstaafu maarufu sana hapa Iringa . Mzee huyu yeye alikuwa mwalimu ambaye enzi za utumishi wake alipata nafasi ya kufundisha katika shule mbali mbali hapa Iringa kama vile kleruu , mawelewe...
Job Overview
Position: Physical Education & Swimming Teacher
Arusha
Kennedy House International School
Kennedy House School is one of the top primary school in Tanzania for international pupils aged 2-13 years old.
We are looking for a well qualified and enthusiastic P.E and Swimming teacher...
ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA
Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa maisha “ ila Watanzania wengi hupotea kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu ulioekwa na serikali ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.