Habari wadau.
Najua wengi tunaikumbuka hii Debate Topic "Is Education Better Than Money?
Kipindi tunashiriki hii debate tulikuwa wadogo na wategemezi. Nina imani sasa tumekuwa na tumeona mengi kwenye maisha.
Je wewe kama mzazi unaona lipi litamfaidisha sana mwanao akifikia umri wa...
Habari walimu!
Nimeona nitengeneze ajira kwa walimu wa secondary na chuo kikuu kwa kutengeneza APP ambayo mwalimu anaweza kuuza ebook (electronic book) kwa kutumia simu au laptop yake akiwa sehemu yoyote ndani ya Tanzania.
Nadhani hii itasaidia kupunguza unemployment rate kwenye upande wa...
Digital Education Coordinator
Kigoma
Save the Children
The Save the Children Fund, commonly known as Save the Children, was established in the United Kingdom in 1919 to improve the lives of children .
Save the Children has been working in Tanzania for more than 30 years. We are working with...
Hapa Abraar Education Centre tunatoa mafunzo yafuatayo kwa vitendo...
1) Mafunzo ya kuunda vifaa vya ujenzi (masonry).
2) Mafunzo ya ujenzi (masonry).
3) Mafunzo ya lugha ya Kingereza (Engloish language).
4) Mafunzo ya ya Lugha ya Kiarabu (Arabic language).
Na hivi karibuni mafunzo ya...
Eligible Applicants
This position is advertised open to Group 1, Group 2, if applicable and external applicants.
Procedures and Eligibility
Interested applicants should consult the Administrative Instruction on Recruitment and Assignment of Locally Recruited Staff (RALS).
Duties and...
Katika muendelezo wetu wa kubuni vifaa vya ujenzi vya kipekee vyenye ubora wa hali ya juu na gharama nafuu, sasa tuna pavers paving bloks za kipekee Tanzania (kama sio duniani).
Pavers zetu hizi tunaziita Abraar Massage Stepping Stones. Kwanza jioneneezi zilivyo, halafu tutaendelea kuwaelezea...
Habari za muda huu wanajamvi.
Naomba kufahamu zaidi kuhusu elimu tajwa hapo juu.
Mimi ni muhitimu wa kidato cha sita mwaka huu 2022,nimesoma tahasusi ya HKL.
Hivyo naomba mwenye ufahamu anipe dondoo kuhusu elimu hii.
Ahsanteni.
Multiple Positions at Mkwawa University College of Education (MUCE) June, 2022
The Mkwawa University College of Education is a constituent college of the University of Dar es Salaam in Iringa, Tanzania. The College was established in 2005 following the upgrading of the former Mkwawa High School...
Ufaulu wangu wa kidato cha 4 ni B Kiswahili, zilozobaki zote D isipokuwa Math na Phys ni F na Chem D
Nishaurini nikasome kozi gani ngazi ya Ufaulu wangu wa kidato cha nne.
Aga Khan Education Service, Tanzania (AKES,T ), is a private, not for profit, service company registered under the Companies Act and operates three schools in Tanzania offering the International Baccalaureate PYP/ Diploma Programme, Pre IGCSE at grades 7-9, IGCSE at Grades 10 and 11 and the...
Institute of Adult Education was established in 1975 by Parliamentary Law No. 12. It is one of the leading educational institutions under the Ministry of Education, Science and Technology (Moist). Currently, the Institute is looking for civil servants who are willing to join by transferring to...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T. S/he will ensure effective risk management as well as compliance with AKES, T policy and professional...
Chief Finance Officer
Aga Khan Education Services
The position
Position Summary
The CFO Tanzania will provide leadership in finance, ICT, procurement and general administration in AKES, T. S/he will ensure effective risk management as well as compliance with AKES, T policy and professional...
Serikali isubiri utekelezaji wa Competency Based Education kenya wazazi,walimu na wanafunzi hawautaki
Baadhi ya vyama vimeweka kama Agenda ya uchaguzi kuwa wakishika madaraka hup mfumo wa Competent based wataufuta sababu walimu hawautaki,wazazi hawautaki na wanafunzi hawautaki na wanashangiliwa...
Sisi Wakenya tuna uthubutu, tulikusanya wazawa wazalendo wa nchi hii kutokea kwa washika dau wote wanaohusiana na elimu, wakafumua mtaala uliokuwepo na kuunda upya herufi kwa herufi kwa kuzingatia mifumo ya kisasa, mahitaji ya soko la ajira, uzalishaji kwenye uchumi na suala lote la kijamii...
Siku ya Kimataifa ya Elimu huadhimishwa kila Januari 24. Kwa mujibu wa Takwimu za Umoja wa Mataifa, hivi leo Watoto na Vijana Milioni 258 hawaendi Shule.
Vilevile kwa mujibu wa Shirika la UNESCO, Watoto na Vijana Milioni 617 wanaoenda Shule hawawezi kusoma na kufanya Hesabu za kawaida. Wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.