education

  1. C

    Why not the government just abolish A-level education?

    Hello, I’m observing the trends of some O-level graduates ditching A-level selections for NACTVET. Some have 9 A’s. What went wrong in A-level ? Shouldn’t the MoE scrap A-level subjects or merge it somewhere in NACTVE and University curriculum? Major reason has been ‘That level is a wastage...
  2. Wazo makini: 'BlackBox Education' ni mtego wa kifo cha Tanzania na Africa

    Wakuu GT.. nawasalimia sana. Niende moja kwa moja kwenye mada. 1. Utangulizi Hapana shaka kuwa kiwango cha maendeleo ya nchi au bara hutegemea ubora wa raslimali watu katika nchi/bara husika. Ubora huu wa raslimali watu ndo hutofautisha nchi na nchi, bara na bara katika maendeleo ya kiuchumi...
  3. Mradi wa HEET (Higher Education for Economic Transformation) ukiacha UDSM vyuo vingine zimamoto. Kwako Waziri wa Elimu Prof. Mkenda

    Salaam wanajukwaa, Hii nchi imejaa usanii mtupu vyuo vikuu vinacheza na serikali na donors hasa wadau wa maendeleo. Mpwayungu aliwavagaa walimu leo imeenda huko vyuo vikuu wanatengeza mitaala kwa kukaa maofisini, wanabuni masomo kwa hisia zao kihuni tu, hawafuati hatua stahiki, malecturers...
  4. L

    Kwa wenye vyeti vya early childhood education

    Habari za saa wakuu, Je, kwa wale wenye vyeti vya early childhood education kwenye mfumo wa tamisemi na nyie mnapata options kama zangu kwenye masomo ya kufundisha maana mimi naandikiwa all primary subjects sasa sijajua nyie wenzangu inaandikaje?
  5. Msaada juu ya Kozi ya Business Administration with Education

    Habari wanajamvi! Kuna mdogo wangu ni Mwalimu wa ngazi ya Diploma katika Shule ya Msingi. Ameajiriwa miaka ya karibuni. Anataka kujiendeleza kielimu Open University katika kozi ya Bachelor of Business Administration with Education huku masomo ya kufundishia yakiwa ni Bookeeping na Commerce . Ila...
  6. Cheti cha advanced education kipewe heshima inayostahili

    Imekaaje hiki cheti cha Diploma ni Dhahabu wakati cheti cha Advanced level ni Mkaa .Serikali ianze kuleta ubunifu kutoa kipaumbele cha Ajira kwa wenye Advanced Certificate.
  7. Don't Let Schooling interfere with your Education

    Baada ya kuona baadhi ya watu wanadharau shule na wengine kuona kwamba shule ndio kila kitu hadi kujipachika Sifa za Kuelimika nimeona tukumbushane Qoute ya Mark Twain; (Writer, Humorist, Enterpreneur, Lecturer) na School Drop- Out Don't Let Schooling interfere with your Education....... Ni...
  8. An Open Letter to President Dr. Samia Suluhu: Proposal for the Establishment of a High Education Graduates Bank (HEGB)

    Dear President Dr. Samia Suluhu, I hope this letter finds you in good health and high spirits. I am writing to bring to your attention a critical issue that affects the future of our country, namely, the high rate of unemployment among high-education graduates. Despite their impressive...
  9. Nishaurini, nisome nini?

    Habari waungwana, Poleni na hongereni kwa majukumu ya kulijenga Taifa, niokoe muda ili nisiwachoshe ndugu zangu, kitaaluma mimi ni mwalimu na tayari nina diploma ya physical education ambayo nilisoma nikiwa tayari nimeajiriwa lakini mpaka sasa haijanipa kile nilichokitaka. Kwasasa nataka...
  10. There are several benefits that Tanzania would gain if it were to use English as the language of instruction at all levels of education

    Using English as the language of instruction at all levels of education in Tanzania would bring many benefits to students, teachers, and the country as a whole. Firstly, using English as the language of instruction would improve access to international knowledge and resources. English is widely...
  11. The fact that we are still arguing about food, health and education is mind boggling

    Howzit! Sawubona! Kipindi nakua, kidato cha pili, nakumbuka siku moja tumetoka shule nilikuwa nikimsikiliza rafiki angu wa kishua njiani analalamika kuwa kwao huwa wanabishana kuhusu hospitali waliyompeleka mzee wao mgonjwa wa kisukari. Kama ni nzuri au wamhamishe. Alikuwa TMJ walitaka...
  12. M

    DOKEZO Tanzania Institute Of Education (TIE) does the textbooks business in a "cocaine style". Is that the core job of the institute?

    Here you get Kiswahili version to start with followed by English version KISWAHILI VERSION TAASISI YA ELIMU TANZANIA (TET) INAFANYA BIASHARA YA ELIMU NA VITABU KWA MTINDO WA DAWA YA KULEVYA. BIASHARA YA VITABU (TEXTBOOKS) NDIYO KAZI YAO KWA KISHERIA YA TAASISI HII? Kwanza kabisa TET...
  13. S

    Je, mhitimu wa kozi ya “Education with Religious Studies” anaweza kufanya kazi gani?

    Ufafanuzi
  14. Adult Education ni nini?

    Wana JF naomba msaada wa mawazo yenu. Nina mdogo wangu amehitimu kidato cha sita mwaka huu na kwa sasa yupo jeshini kwa mujibu wa sheria. Kabla hajaondoka alisisitiza sana nimsaidie kuomba chuo katika kozi ya BACHELOR DEGREE WITH EDUCATION IN ADULT EDUCATION AND COMMUNITY DEVELOPMENT sikupata...
  15. Solving questions for civic and moral education

    "our beloved Hon. President John Joseph Magufuli has passed away" after this statement all national flag started flying at a half-mast. Who has power to order the use of this national symbol? A. Prime minister B. Vice president C. Speaker D. The president E. Chief secretary I wait for your well...
  16. D

    Nikasome ipi kati ya masters ya education au nitafute bachelor ya kitu kingine

    Habari wanajamii Nimekuwa katika wakati mgumu baada kumaliza masomo yangu level ya bachelor degree tangu mwaka 2015 kwani sijawahi pata ajira yoyote ile Kwa sasa nina miaka 32, nauona uzee huu hapa unasogea ikiwa sina mali, mke wala kitu cha thamani ninachomiliki na mbaya zaidi naishi nyumbani...
  17. hivi kwanini njia (under ground ways ) cha chini kwa chini za shule sekondari mkwawa (kwasasa mkwawa college of education ,muce ) zilifungwa ??.

    habari zenu wakuu , moja kwa moja kwenye mada , siku ya jumapili nilipata nafasi ya kumtembelea mzee mmoja mstaafu maarufu sana hapa Iringa . Mzee huyu yeye alikuwa mwalimu ambaye enzi za utumishi wake alipata nafasi ya kufundisha katika shule mbali mbali hapa Iringa kama vile kleruu , mawelewe...
  18. J

    Habari wataalam wa Mambo naomba mwenye kujua faida za kusoma course ya Postgraduate diploma in Technical and Vocational education teacher ya Open

    Mimi Ni mwanafunzi nasomba PGD in Technical and Vocational education teacher ya Open University ! Je hi Ni PGD in education ipi ni bora zaidi?
  19. Physical Education & Swimming Teacher at Kennedy House International School

    Job Overview Position: Physical Education & Swimming Teacher Arusha Kennedy House International School Kennedy House School is one of the top primary school in Tanzania for international pupils aged 2-13 years old. We are looking for a well qualified and enthusiastic P.E and Swimming teacher...
  20. SoC02 Euthanated Education

    ELIMU YA KITANZANIA NI TIKETI YA KWENDA DUNIA MPYA Tanzania ni kati ya nchi hapa Africa ambazo zinapigana kukuza elimu yake ila bado ina changamoto nyingi. Wengi husema “Elimu ndio ufunguo wa maisha “ ila Watanzania wengi hupotea kwa sababu ya mfumo mbovu wa elimu ulioekwa na serikali ya...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…