epl

  1. Greatest Of All Time

    Kocha yupi kati ya hawa alikuvutia zaidi katika EPL?

    Zama huja na kuondoka. Lakini legacy hubaki. Hapa kuna makocha wanne tofauti ambao kwa nyakati tofauti waliongoza vilabu vyao kutwaa mataji kadhaa ya EPL. Kila kocha alikuwa na rekodi zake pamoja na mbinu zake. Ni yupi unamkubali zaidi? 1. Sir Alex Ferguson - Man Utd Huyu ametwaa mataji 13 ya...
  2. 2 of Amerikaz most wanted

    Mafanikio ni maandalizi

    Tuwaandae watoto wetu, ndugu, jamaa na marafiki katika kutimiza ndoto na malengo yao Vinginevyo au basi.
  3. Greatest Of All Time

    Orodha ya Kocha Bora wa Msimu EPL, unamchagua nani na kwanini?

    EPL imetoa orodha ya makocha sita wanaowania tuzo ya kocha bora wa msimu. Makocha hao watapigiwa kura na mmoja wao ataibuka kidedea na kutangazwa hapo baadae. Wewe ungemchagua nani? 1. Pep Guardiola - Man City 2. Mikel Arteta - Arsenal 3. Eddie Howe - Newcastle Utd 4. Roberto De Zerbi - Brighton...
  4. GENTAMYCINE

    Mayele anaweza Kucheza bila Shida Vilabu Vidogo EPL atakayebisha awahi Wodini Milembe Hospital

    Nafuatilia sana Ligi Kuu ya Uingereza EPL kuna baadhi ya Wachezaji nawaona kabisa hawana Uwezo alionao Fiston Kalala Mayele na hivyo GENTAMYCINE kwa Kujiamini kabisa nasema hapa kuwa zipo Timu Ndogo EPL Mayele anaweza Kucheza tena kwa kuingia moja kwa moja katika First Eleven yao / yake. Uzi...
  5. MAWEED

    Ban ya mwaka 1 kama Man City akifungwa na Arsenal leo

    Sina haja ya kusalimia, Kama Manchester City tukifungwa na Arsenal naomba nipigwe ban ya mwaka mmoja. WE ARE CITIZENS. Moderator Moderator Mkuu @Mexence Melo Active naomba mnizingatie.
  6. Cannabis

    Graham Potter afukuzwa kazi na klabu ya Chelsea

    Klabu ya Chelsea imetangaza kufikia maamuzi ya kumfukuza kocha Graham Potter. Nafasi ya kocha huyo itachukuliwa na Bruno Salter. Klabu hiyo ya jijini London imemshukuru kocha huyo kwa mchango alioutoa ikiwa ni pamoja na kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika michuano ya klabu bingwa ya...
  7. The Boss

    EPL first eleven

    Tutaje fist eleven ya EPL... 1. Alison 2. Tripier 3. Silva 4. Botman 5. Dias. 6. Caicedo 7. Salah 8. Debrune 9. Halland 10. Kane 11. Ivan Toney... Ukiweza weka na mfumo kama ni 44 2 au 433..nk.
  8. Christopher Wallace

    Weekend bila EPL ni inaboa sana

    Nipo sehemu nimekaa napata kinywaji huku tukipiga story na washkaji. Yaani kila saa tunajisahau na kumwambia meneja aweke Super Sport 223 tuangalie mechi za EPL. Hii wiki ya International break kwakweli inaboa sana na kuchukiza kwa sisi wapenda kabumbu la EPL. Kwakweli sijawahi kuwa muumini wa...
  9. Shujaa Mwendazake

    Itakuwa ni aibu na fedheha kwa wanasoka kama Arsenal hii itachukua ubingwa EPL

    Tangu kuongoza kwa ligi na matokeo waliokuwa wakiyapata, kuna kina sisi ambao tulikuwa tunaona ni dharau sana kwa haka katimu kukalia usukani. Anyway EPL ni mbio ndefu sana, tunategemea katakaa mahali panapostahili siku zote( Nafasi ya 3 ,4 au ya 5) Arsenal hii siyo ya kuchukua ubingwa na kama...
  10. Mwl Athumani Ramadhani

    Ushauri: Azam Media unganeni na Canal Sports mrushe EPL kuleta ushindani

    Kama azam ikaingia UBIA na canal Sports KWA baadhi ya Chanel's za mpira wa ulaya itapata soko zaidi kuliko sasa. Kwa soko la Tanzania DStv inawaumiza wapenzi wa soka KWA gharama kubwa Sana hivyo inapaswa ipewe ushindani Ili wananchi wapate huduma Bora. Azam wanaweza pandisha vifurushi hadi...
  11. OKW BOBAN SUNZU

    Bigirimana wa EPL ataka 700M kuvunja mkataba Yanga

    Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za...
  12. Greatest Of All Time

    Napata wasiwasi, Arsenal anaweza akatwaa EPL kiutani utani

    Wakuu wa jukwaa heri ya mwaka mpya. Mnauonaje mwendo wa Arsenal kwenye mbio za ubingwa pale EPL. Arsenal kama utani, anakimbiza mwizi kimya kimya, ligi ilivyoanza tukasema hafiki krisimasi atakuwa kashatoka kileleni. Krisimasi pamoja na mwaka mpya umefika, naona kasi yao inazidi...
  13. Munguwetu

    Niaminini mimi, Asernal hachukui ndoo hata ya maji EPL

    Msindikizaji Sana huyu dogo. Anasindikiza baadae wanachukua wengine.
  14. M

    Ronaldo wa kombe la dunia kama mchezaji wa ureno anaonekana ni tofauti kabisa na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U: Hii imekaaje?

    Pamoja na ukweli kuwa R7 kwa sasa hana kasi yake ile ya zamani lakini Ronaldo wa kwenye kombe la dunia ameonekana kuwa tofauti sana na yule Ronaldo wa EPL kama mchezaji wa Man U. Jana R7 kaibuka man of the match (mchezaji bora kwenye mechi)!!. Mchango wake kwenye mechi ulikuwa mkubwa sana...
  15. D

    CR7 afikisha mabao 700 ya timu za klabu

    Sporting Lisbon - Mabao 5 Real Madrid - Mabao 450 Juventus - Mabao 101 Man United - Mabao 144 🐐Goat🙌
  16. Dong Jin

    Pitso Mosimane ateuliwa kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa Bournemouth ya EPL

    Aliyekuwa kocha wa Mamelodi Sundowns na Al ahly ameteuliwa na klabu ya Bournemouth kuwa mkurugenzi wa ufundi. Awali ilisemekana "Mlete mdhungu fc" wana mpango wa kumleta kocha huyo mwenye CV iliyotukuka zaidi katika mpira wa bara hili 🤣🤣🤣 baada ya timu hiyo kumtimua kocha wao wa dunia Zolan...
  17. D

    EPL kusitishwa wikiendi hii kisa kifo cha Malkia Elizabeth

    The Premier League have announced that all of this weekend's matches have been postponed to honour Queen Elizabeth II following her death at the age of 96 on Thursday. The FA confirmed all football across the country would also be called off, including the EFL and opening games of the new WSL...
  18. The Boss

    Orodha ya makocha EPL waliofukuzwa baada ya kufungwa na Liverpool

    Mourinho kafukuzwa mara mbili na Liverpool...jumla wanafika 6 sasa...hatari sana 1. Jose Mourinho -chelsea, Man U 2. Marco Silva - Everton 3. Fransesco Guidolin - Swansea 4. slaven bilic -west ham 5. slavisa Jokanovic -Fullham 6. scott Perker -bournemouth... Hii list itaongezeka Tu Nani...
  19. JanguKamaJangu

    EPL: Chelsea, Spurs zatoka sare ya 2-2, Harry Kane apiga bao dakika ya 90+

    Goli la dakika 90 mfungaji akiwa ni Harry Kane wa Tottenham limekatisha furaha ya Chelsea ambapo limesababisha mechi baina ya timu hizo kumalizika kwa sare ya 2-2 katika Premier League, leo Agosti 14, 2022 kwenye Uwanja wa Stamford Bridge. Kalidou Koulibaly na Reece James ndio waliofunga...
  20. JanguKamaJangu

    Man United mambo magumu EPL, yapigwa tena 4-0 Agosti 13, 2022

    Mambo yanazidi kuwa magumu kwa Manchester United, ndivyo ilivyo kwa kocha mpya wa timu hiyo, Erik ten Hag, ni baada ya kukubali kichapo cha magoli 4-0 dhidi ya Brentford, leo Agosti 13, 2022. Huo unakuwa ni mchezo wa pili mfululizo kwa timu hiyo kupoteza katika Premier League msimu huu, ambapo...
Back
Top Bottom