erick kabendera

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mwanahabari Huru

    TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

    Mama mzazi wa mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019. Amefariki akiwa Hospitali ya Amana alikokuwa akip Soma pia: - Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae - Mwanahabari Erick Kabendera...
  2. beth

    Hatma ya Erick Kabendera bado ipo kwa DPP, Kesi yaahirishwa hadi Januari 2, 2020

    Upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera bado haujakamilika. Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la kutakatisha Sh173milioni katika Mahakama ya Hakimu ya Hakimu Mkazi Kisutu. Hayo yameelezwa leo Jumatano Desemba 18...
  3. Erythrocyte

    Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

    Verdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye. Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika...
  4. beth

    Mwandishi wa habari za Kiuchunguzi, Erick Kabendera ataka kuongea na DPP ili kumaliza kesi yake

    Jebra Kambole, wakili wa mwandishi wa habari nchini Tanzania, Erick Kabendera ameijulisha Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa mteja wake anataka kujadiliana na mkurugenzi wa mashtaka (DPP) namna ya kumaliza kesi inayomkabili. Ameeleza hayo leo Ijumaa Oktoba 11, 2019 mbele ya Hakimu Mkazi...
  5. Papaa Mobimba

    Kisutu: Erick Kabendera afikishwa mahakamani, upelelezi dhidi yake haujakamilika

    Wakili Mwandamizi wa Serikali, Wankyo Simon ameieleza Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kuwa upelelezi wa kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili Mwandishi wa Kujitegemea wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera bado haujakamilika Kabendera anashtakiwa kwa Makosa matatu ikiwemo kukwepa Kodi kiasi cha...
  6. kipara kipya

    Ukweli wa Erick Kabendera ndio huu

    Kwanza kabisa niwape pole familia ya Kabendera, wengi wanaogopa kusema ukweli na makosa ya Kabendera kwa upande wake,kwa kuwa wataonekana hawana ubinaadamu. Lakini kama nchi, Kabendera aliikosea sana akaangalia maslahi yake akamtukana Rais atakavyo akainanga serikali atakavyo eti leo hii kuna...
  7. Roving Journalist

    Kisutu: Erick Kabendera ashtakiwa kwa Kujihusisha na mtandao wa uhalifu, ukwepaji kodi na kutakatisha fedha haramu

    Mwandishi wa Habari za uchunguzi, Erick Kabendera amefikishwa Mahakama ya Kisutu leo Anashtakiwa kwa makosa matatu chini ya sheria uhujumu Uchumi ambayo ni... 1. Kujihusisha na mtandao wa uharifu, 2015-2019 katika maeneo ya Dar Es Salaam aliongoza kundi la uhalifu kwa lengo la kupata faida au...
  8. BAK

    Free Erick Kabendera

    No end in sight as Tanzania’s ruling party CCM goes for ‘dissenters’ Saturday July 27 2019 Tanzania's President John Magufuli delivers a speech during a political rally on July 14, 2015 in Dar es Salaam. Ruling party CCM typically supports a sitting president’s bid for a second term. PHOTO |...
  9. Zitto

    Mmoja wa Mawakili wa Erick Kabendera aeleza kinachoendelea

    TAARIFA KUHUSU KUKAMATWA, KUWEKWA MAHABUSU NA KUHOJIWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA UCHUNGUZI ERICK KABENDERA Tarehe 29 Julai 2019, majira ya saa 11 jioni, watu wasiojulikana na waliovaa kiraia, walifika nyumbani kwa Erick Kabendera eneo la Mbweni Mpigi Dar, wakitaka kumkamata. Hata hivyo...
  10. D

    Polisi wakagua nyumbani kwa Erick Kabendera, waondoka na hati yake ya kusafiria na nyingine za ndugu zake

    Idara ya Uhamiaji nchini Tanzania imefanya ukaguzi katika makazi ya mwandishi wa habari za uchunguzi, Erick Kabendera na kuchukua vitu mbalimbali ikiwamo paspoti saba za kusafiria. Ukaguzi huo ulifanyika jana Jumatano Julai 31, 2019 nyumbani kwa Kabendera, Mbweni jijini Dar es Salaam nchini...
  11. K

    Uandishi wa Erick Kabendera 2014/2015 ulikuwa chini ya kikosi Cha Kinana

    Nimejaribu kupitia maudhui ya kazi ya kijana Erick kujua kama anahusiana na timu ya wazee iliyotingisha chama juzi Kati na kubaini kuwa mtajwa Kuna viashiria kwamba alifanya kazi na chama Tena kwa uhaminifu 2015. Labda yawezekana baada ya hapo aliamia kufanya shughuli zake binafsi na mashirika...
  12. Informer

    Kamanda Mambosasa: Mwandishi Erick Kabendera anahojiwa uraia wake

    Kamanda Mambosasa anasema: Erick Kabandera alikamatwa nyumbani kwake baada ya kukataa wito halali wa Jeshi la Polisi Awali aliandikiwa barua ya wito ajili ya mahojiano lakini alikaidi kutii wito halali wa Polisi Jeshi la Polisi likimwita mtu kwa hiari akikaidi, sisi tunamwezesha atii Baada...
  13. Roving Journalist

    Mwanahabari Erick Kabendera akamatwa na Polisi nyumbani kwake; yadaiwa anaendelea na Mahojiano

    Mwandishi wa habari za uchunguzi Erick Kabendera anadaiwa kuvamiwa na 'watu wasiojulikana' nyumbani kwake Mbweni jijini Dar es salaam baada ya watu kadhaa wakiwa na magari kuvamia na kuzingira nyumba na kuzuia watu kuingia. Namba ya gari lililomchukua imetajwa ni T746DFS. Erick Kabendera, a...
Back
Top Bottom