ethiopia

  1. IAfrika

    Ethiopia Starts Filling Grand Renaissance Dam

    ADDIS ABABA (Reuters) - Ethiopia has started filling the Grand Renaissance dam, a giant hydroelectric project it is building on the Blue Nile, its water minister said on Wednesday, a day after talks with Sudan and Egypt on the issue became deadlocked. “The construction of the dam and the...
  2. Tabutupu

    Tanzania has what it takes to be ‘African economic giant'

    East Africa’s sleeping giant is finally awakening. Right in the middle of the global Corona virus pandemic, Tanzania has provided a rare piece of good news — on 1 July 2020, the country achieved its middle-income vision five years ahead of schedule. As a coastal economy bordering eight...
  3. LangatKipro

    Kenya vs Tanzania vs Ethiopia statistics

    This video compares some of the countries in Eastern Africa using their GDP Nominal, GDP Per Capita and their total Population. This video is based on data gotten from World bank, Imf and Wikipedia from 1960 to 2020.
  4. tzkwanza

    Maajabu ya Mungu: Kijana ataka kuzamia Ulaya kwa kujificha kwenye injini ya ndege

    Hapa ni Mungu tu aliyemuokoa huyu dogo. Sisi tuliosoma Physics japo ya St. Kayumba tunajua nini kingemkuta huyu dogo baada ya Injini kuwashwa. Kwa kifupi hata unywele wasingeambulia ndugu zake.
  5. CORAL

    Binti wa miaka 12 aokolewa na Simba baada ya kutekwa kwa lengo la kuozwa kinguvu nchini Ethiopia

    Wanaume wapatao 7 walivamia nyumba moja katika kijiji kimoja nchini Ethiopia na kumkwapua binti wa miaka 12 ambapo mmoja wa watekaji alitaka kumuoa bila ridhaa yake wala kibali cha wazazi wake. Walipokuwa njiani wanaenda naye kwao huku wakimburuza kwa nguvu na kumpiga huku akilia walikutana na...
  6. Geza Ulole

    Apparently COW Ethiopia's Army has tried to shoot down another Kenyan aircraft in Somalia

    Ethiopian Troops In Somalia Shoot At Another Kenyan Plane Another Kenyan plane was shot at today allegedly by Ethiopian troops in Qansahdere, Bay Region in Somalia, sources have told Kahawa Tungu. The plane was carrying humanitarian aid when it caught fire mid-air after the shooting. Photos...
  7. Miss Zomboko

    Sanamu ya Mwl. Nyerere kujengwa katika Makao makuu ya Umoja wa Afrika, Ethiopia

    Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo kwa kushirikiana na Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inaratibu ujenzi wa Sanamu ya Mwalimu Julius Kamabarage Nyerere katika viwanja vya jengo la Amani na Ulinzi la Julius Nyerere lililopo katika Makao Makuu ya Umoja wa...
  8. nyangau mkenya

    Ethiopia imepima watu 842 kwa masaa ishirini na nne na kugundua kesi 4 za covid19 : 17th April

    96 cases total
  9. Ngwanakilala

    Balozi wa Tanzania nchini Ethiopia amerudishwa nyumbani kwa tuhuma za Upotevu wa Fedha Ubalozini

    Nimemsikia Mh Rais leo alipokua anapokea ripoti ya CAG na TAKUKURU huko chamwino Dodoma akisema amemrudisha nyumbani balozi wa Tanzania nchini Ethiopia kupisha uchunguzi wa upotevu mkubwa wa fedha Utafiti unaonyesha balozi huyu ni mama Naimi Hamza Azizi Na suala hili lilianza kuchunguzwa tangu...
  10. naliwe

    Rais Magufuli yuko sahihi kabisa baada ya muda tutakuwa kama Ethiopia

    ukiangalia video hii utagundua kua uchumi wa ETHIOPIA umekua kwa kasi hadi kufikia kuitwa CHINA YA AFRICA kutokana na miradi mikubwa kama anayoifanya Rais wangu mpendwa Mgufuli
  11. Mag3

    Pompeo to make 1st trip to Africa in a bid to reassert US as a leading partner The secretary of state will visit Senegal, Angola and Ethiopia

    After nearly 22 months in office, the US Secretary of State Mike Pompeo will make his first trip to sub-Saharan Africa on Saturday, in a bid to reassert the U.S. as the leading partner to the world's youngest and likely to be most populous continent amid strong Chinese influence and a growing...
  12. Analogia Malenga

    Ethiopia yahitaji msaada wa chakula

    Ukame mkali wa mara kwa mara unaoikumba nchi ya Ethiopia umepelekea watu takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Baraza la uratibu wa majanga nchini Ethiopia limearifu kwamba watu milioni 7 katika nchi hiyo wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1. Katika taarifa hiyo iliarifiwa...
  13. Kingsmann

    FAO: Tusipowadhibiti nzige wanaoikabili Ethiopia, Kenya na Somalia watasambaa

    Shirika la Umoja wa Mataifa la chakula na kilimo FAO limeonya kwamba nzige walioivamia Ethiopia, Kenya na Somalia sasa ni wimbi kubwa kuwahi kushuhudiwa hivi karibuni na lisipodhibitiwa kuna uwezekano wa kusambaa katika nchi nyingine za Afrika Mashariki. Wimbi kubwa la nzige walionekana...
  14. beth

    Misri, Ethiopia, Sudan zakubaliana matumizi ya Mto Nile

    Misri, Ethiopia na Sudan wamefikia makubaliano ya awali ya kujaza maji na shughuli nyingine kwenye bwawa kubwa linalojengwa Mto Nile. Taarifa ya pamoja iliyotolewa na nchi tatu, pamoja na Marekani na Benki ya Dunia, imesema kwamba washiriki wanaojadiliana wamekubaliana kujaza bwawa la Grand...
  15. Analogia Malenga

    Mhitimu wa Chuo Kikuu anayejikimu kimaisha kwa kusafisha viatu Ethiopia

    Chekole Menberu, mwenye umri wa miaka 27,alikuwa na matumaini makubwa ya kupata ajira mara baada ya kumaliza shahada yake ya uhandisi wa kemikali(chemical engineering) miaka miwili iliyopita nchini Ethiopia. Ulikuwa ni wakati wa ukombozi, akiangalia miaka aliyoteseka kufikia kiwango hicho cha...
  16. Neter

    Ethiopia has just launched its first satellite into space

    Ethiopia has Just Launched its First Satellite into Space Ethiopia has just launched its first observatory satellite into space. The rocket launched was aired live on Ethiopian Broadcasting Corporation Though it was launched from China its command and control center is based at the Entoto...
  17. Analogia Malenga

    Abiy Ahmed wa Ethiopia akabidhiwa tuzo ya amani ya Nobel

    Waziri mkuu wa Ethiopia Abiy Ahmed ametunukiwa tuzo ya amani ya Nobel mjini Oslo akitoa wito wa kuwepo umoja huku machafuko ya kikabila yakiitikisa nchi yake na juhudi za suluhu pamoja na Eritrea zikionyesha kukwama. Abiy Ahmed mwenye umri wa miaka 43 ameshinda tuzo ya amani ya Nobel...
  18. Superbug

    Waziri Mkuu wa Ethiopia apokea tuzo ya Nobel

    Ni jambo jema na kubwa sana Mwafrika mwingine anaongezwa kwenye tuzo yenye heshima sana duniani ya Alfred Nobel. Mpaka aasa Waafrika ninaowakumbuka ambao wamepata hii tuzo ni: - Nelson Mandela - Desmond Tutu - Mathai Wangari Waziri Mkuu huyu wa Ethiopia sasa anaingia katika orodha ya watu...
  19. Mekatilili

    LAPSSET: Lamu Port and South Sudan Ethiopia Transport: News & Photos

    Summary: The project will involve the following components:[2] A port at Manda Bay, Lamu Standard gauge (1,435 mm (4 ft 8 1⁄2 in)) railway line to Juba and Addis Ababa, the South Sudanese and Ethiopian capitals respectively. Road network Oil pipelines (South Sudan and Ethiopia) Oil refinery at...
  20. Kingsmann

    Misri na Ethiopia walumbana kuhusu Mto Nile

    Ethiopia inajenga bwawa kubwa linalojulikana kama Renaissance, ujenzi huo unatarajiwa kumalizika mwakani Bwawa kubwa la 'Renaissance' ni kivutio kikubwa nchini Ethiopia Bwawa hilo linalojengwa Ethiopia linatarajiwa kuwa kituo kikubwa zaidi cha kuzalisha umeme barani Afrika. Ujenzi huo...
Back
Top Bottom