euro

  1. Greatest Of All Time

    Mkasa wa timu ya taifa ya Denmark na bahati ya mtende katika michuano ya Euro 1992

    Ulishawahi kusikia bahati ya mtende au ngekewa? Au mtu baada ya kuharibu anapewa second chance! Ndio kilichowakuta Denmark mwaka 1992 katika michuano ya Mataifa ya Ulaya. Michuano ya Uefa Euro mwaka 1992 ilipangwa kufanyika katika majira ya joto huko nchini Sweden. Ilikuwa ni michuano ambayo...
  2. Execute

    Zidane anaichukua timu ya taifa ya Ufaransa kama kocha, nawatabiria ushindi wa Euro 2024 na world cup 2026

    Yule mchezaji na kocha mwenye bahati zaidi duniani anaichukua timu ya taifa ya Ufaransa kama kocha kuanzia January 2023. Ninatarajia ataenda kubeba Euro 2024 na kombe la dunia mwaka 2026. Ufaransa wanavyo vipaji vya kila aina ikiwemo kijana machachari Mbappe. Muda utatupatia majibu.
  3. IamBrianLeeSnr

    Car4Sale Gari aina ya Daf XF Euro 5 inauzwa, kibini ipo separates na chesesi

    Gari aina ya DAF XF EURO5 engine ya paccar inauzwa ipo separate kibini pamoja na chesesi, Engine inahitaji matengenezo. TAJIRI anahitaji milioni kumi na tano(15) kwa mawasiliano piga namba +255 763 363 536, +255 683 067 976 Gari inapatikana DAR ES SALAAM, TANZANIA Kibini ipo sawa kabisa ni...
  4. Roving Journalist

    Ujerumani yaisaidia Tanzania Euro mil 10 sawa na TSH Bil 23.7 kwa ajili ya Mradi wa kukabiliana na migongano kati ya wanyamapori na binadamu

    Serikali ya Tanzania na Serikali ya Shirikisho la Jamhuri ya Ujerumani zimetiliana saini mkataba wa msaada wenye thamani ya Euro milioni 10 sawa na shilingi bilioni 23.7 kwa ajili ya utekelezaji wa Mradi wa kukabiliana na migongano kati ya wanyamapori na binadamu, Mradi wa kuwezesha upatikanaji...
  5. Sheffer95

    Anguko la Euro; Je, ni fursa au hasara kwa nchi za kiafrika?

    Habari wakuu nawasalimu, Siku za hivi karibuni kumeshuhudiwa pesa ya ulaya ikipoteza thamani na kuwa sawa na dola ya kimarekani. Huku Urusi wakiendelea kupokea malipo yote kwa pesa yao, na India wakitaka kuanza kufanya miamala yote kwa pesa yao(rupee). Je, hili linatafsiri gani kwa nchi za...
  6. M

    Ruble ya Urusi inazidi kuchanja mbuga kwa kuongezeka thamani

    Leo ijumaa pesa ya Urusi Ruble imezidi kupaa kwa thamani ikilinganishwa na fedha zingine kama dola na Euro. Kwa sasa dola moja ni ruble 57.67. Ikumbukwe kuwa kabla ya vita dola moja ilikuwa sawa na ruble 82, na mwanzoni mwa vita baada ya Urusi kuwekewa vikwazo lukuki vya kiuchumi, fedha yake...
  7. Econometrician

    Mfumko wa bei wagonga rekodi mpya katika kanda ya Euro

    Mfumko wa bei umegonga rekodi mpya katika nchi 19 za ukanda unaotumia sarafu ya Euro. Hali hiyo imesababishwa na ongezeko kubwa la bei ya mafuta kufuatia vita nchini Ukraine. Katika mwezi huu wa Aprili, mfumko wa bei umefikia asilimia 7.5 kiwango ambacho ni kikubwa zaidi kuwahi kurekodiwa tangu...
  8. Miss Zomboko

    Ujerumani imepata Tanzania msaada wa Euro milioni 71, sawa na takriban Sh190.5 bilioni

    Ujerumani imeipatia Tanzania msaada wa Euro milioni 71, sawa na takribani Sh190.5 bilioni kwa ajili ya kutekeleza miradi kadhaa ikiwemo maji, uendelezaji wa maliasili na utalii, afya ya mama na mtoto pamoja na mapambano dhidi ya ukatili wa kijinsia. Taarifa iliyotolewa na kitengo cha...
  9. H

    Euro bus simulator 2

    Habari zenu wana Jf, Husika na kichwa cha uzi hapo juu naomba mwenye link ya Game la Euro bus Simulator 2 anisaidie au kunielekeza namna la kulidownload free. Nawasilisha.
  10. The Boldly

    Msaada:Jinsi ya 'ku-skip" device verification kwenye Euro Truck Sim 2(android)

    Wakuu, Naomba kwa mwenye uelewa wa jinsi ya kuskip ule ujumbe wa "device verification" kwenye game la euro truck simulator 2 kwenye simu
  11. Mechanical

    Wood Euro truck joystick

    Habari wana members wa jamii forum, mimi ni mtengenezaji wa joystick za kuendeshea magali aina ya truck na Buss (SCANIA, DAF, IVECO,UTONG..... etc) natengeneza joystick kwa material ya mbao hili kuifanya kuwa imara na kudumu kwa kipind kirefu, tofauti na zile za dukan zenye material ya plastick...
  12. Miss Zomboko

    Michezo ya Euro yaongeza maambukizi ya Covid19. Visa vyakadiriwa kufikia 100,000 kwa siku

    Thousands of jubilant England fans gave up on wearing face masks and caring about social distancing in the fight against Covid last night as they poured out of Wembley following the Three Lions’ nail-biting Euro 2020 semi-final victory over Denmark. More than 66,000 people packed the stands in...
  13. M

    England vs Darnmark: Kawaida ya Euro 2020, timu bora lazima iage mashindano leo!

    Kuna mapinduzi makubwa kwenye soka la kileo kama ilivyodhihirika kwenye mashindano ya Euro 2020 mwaka huu. Timu bora si lazima ishinde na mara nyingi timu bora imekuwa ikizidiwa mbinu na kutupwa nje ya mashindano. Jana timu bora sana ya Spain ilizidiwa mbinu na Italia na kutupwa nje!! Hali...
  14. Petro E. Mselewa

    Euro 2020: Kweli lilikuwa kundi la kifo

    Yalipopangwa makundi ya michuano ya Euro 2020, kuna kundi liliitwa la kifo. Lilijumisha mabingwa wa dunia Ufaransa; mabingwa wa Ulaya watetezi Ureno; mabingwa wa kihistoria wa ulaya na dunia Ujerumani na Hungary. Baada ya michezo ya makundi, Hungary akauwawa. Wakapona Ufaransa, Ujerumani na...
  15. M

    Euro 2020: Upigaji wa penati ni tatizo. Mpaka sasa zimetolewa penati 11 na zaidi ya nusu goli halikufungwa!

    Mpaka sasa kuna penati 11 zimetolewa, lakini upigani wa penati bado ni tatizo sugu!! Zaidi ya nusu ya penati hizo hazikufungwa. Tatizoni nini? Je kikwazo ni umahiri wa magolikipa au ni mbinu mbovu za wapigaji wa penati? tujadili! Ukiangalia jkubwa wa majina ya wapiga penati usingetazamia wengi...
  16. M

    Ureno watafanikiwa kutetea Euro Cup, Sioni wa kuwazuia

    Timu ya Ureno chini ya nahodha Ronaldo itafanikiwa kutetea ubingwa wa mataifa ya Ulaya. Japo waliteleza kwa kujifunga mabao mawili dhidi ya Germany na yakawachanganya hadi kupoteza mechi hiyo, lakini kikosi chao kimekamilika sana. Dalili kuwa watabeba kikombe itaonekana watakapocheza na kinara...
  17. Numero Uno

    Naipa nafasi England kushinda Euro2020 dhidi ya Italia

    Kati ya Italia na Uingereza nikiambiwa nichague nani atatwaa ndoo ya euro moja kwa moja ni uingereza nampa nafasi.
  18. Mutaitina

    Kenya to rebase GDP after new Euro bond: What does this mean?

    Economists, what does this mean? That Kenya is reviewing the size of the economy later in the year. Does it mean the GDP will jump to 150 - 200B? More loans more project? ======== Treasury to rebase GDP after new Eurobond tap Kenya has kicked off its fourth Eurobond offer with a promise to...
  19. kiwatengu

    Michuano ya Euro 2020: Ufaransa yaichapa Ujeruman 1-0

    Usiku mzuri huu, Saa chache zijazo kitapigwa kipute cha haja. France Line Up!
  20. Greatest Of All Time

    Euro 2020 - Special Thread | Pata kujua yanayojiri katika Michuano hiyo

    Salama wakuu, Michuano ya Euro 2020 inategemewa kuanza hapo Juni 11 takribani wiki tatu kutoka sasa. Michuano hii ilitakiwa ifanyike juni mwaka jana 2020 ila ilihairishwa kutokana na Corona. Hivyo Uefa ikaamua michuano hiyo ifanyike mwaka huu lakini iendelee na jina lilelile la Uefa Euro 2020...
Back
Top Bottom