euro

  1. U

    Serikali ya Ubeligiji Yaipatia Serikali Ya Tanzania Euro Milioni 4 Kwa Ajili ya Mradi wa Maji Mkoani Kigoma

    Fedha hizo zimetolewa na Serikali ya Ubelgiji kama nyongeza ya fedha zacawali zilizotolewa ambazo no Euro Milioni 8, hivyo kufanya jumla ya fedha zote kuwa Euro milioni 12 sawa na tshs 33 bilioni Malengo ya msaada huo ni kusambaza maji katika Wilaya zote 6 za Mkoa wa Kigoma Katibu Mkuu wa...
  2. kcamp

    Fahamu jinsi ya kuinstall Mods kwenye Euro trucks simulator 2

    Kama Title ya thread inavyosema. Hii ni simple tutorial ya kuonesha jinsi gani utaweza kutumia modes mbali mbali katika game yako ya ETS 2. Sometimes inafika stage kwenye hili game unakua kama umechoka zile barabara zake, magari yake, limitations pia katika kununua trucks hadi kufikia level...
  3. Lord denning

    Kamati ya Mambo ya Nje ya Umoja wa Ulaya (EU) wataka kujua msaada wa Euro Mil. 27 za COVID-19 kwa Tanzania uliahidiwa kwa vigezo gani?

    Amani iwe nanyi tena wadau! Nimetoka kutazama mjadala mzito unaoihusu Tanzania katika Kamati ya Mambo ya Nje Bunge la EU. Napenda tu kusema yafuatayo 1. Tanzania tuna hali mbaya sana. Wajumbe wa kamati hii wameijadili vibaya sana Tanzania na wengine kupendekeza hatua kali zaidi zichukuliwe...
  4. dosama

    Shilingi ya Tanzania yazidi kuporomoka dhidi ya US Dollar, Euro na Paundi

    Kwa rate ya leo ya kuuza na kununua fedha hizo za kigeni ni kama ifuatavyo 1. USD inauzwa kwa shilingi 2317 na kununuliwa kwa shilingi 2354 2. Euro inauzwa kwa shilingi 2580 na kununuliwa kwa shilingi 2700 3. Paundi unauzwa kwa shilingi 2854 na kununuliwa kwa shilingi 2974
  5. Tycoon_Master

    Product keys za Euro truck Truck 2 Version 1.35.1.31

    Wazee wa magame Naombeni product Key ya Euro Truck 2 VERSION 1.35.1.31 niactivate game hapa.
  6. FRANC THE GREAT

    EURO 2020: Kundi la kifo, Kundi F kuzikutanisha Ufaransa, Ujerumani na Ureno

    Habari! Tayari baadhi ya timu zimekwisha kupangwa katika makundi kwa ajili ya mashindano ya 'UEFA EURO 2020', droo iliyofanyika mjini Bucharest nchini Romania ingawa bado haijakamilika huku Kundi 'F' likitajwa kama "Kundi la Kifo" litakaloyakutanisha mataifa matatu 'vigogo' wa soka barani Ulaya...
Back
Top Bottom