fani

Fani Chalkia (Greek: Φανή Χαλκιά, [faˈni xalˈca], born February 2, 1979), also transliterated as Halkia or Khalkia, is a retired Greek hurdler.Chalkia was born in Larissa, and represented Olympiacos. She won the gold medal in the women's 400m hurdles at the 2004 Summer Olympics in Athens. During the semifinals Halkia set an Olympic record of 52.77 seconds.
On August 16, 2008, during the 2008 Summer Olympics in Beijing it was announced that she tested positive for the banned substance methyltrienolone. Chalkia denied she has taken any banned substance, and asked for her 'B' sample to be tested, which also tested positive the next day. On December 12, 2008, the IAAF announced that she would be banned from the sport for two years.
On February 19, 2016, Fani Halkia was unanimously acquitted of all charges for the use of banned substances. The Court of Appeal ruled that the former champion had fallen victim to a circuit of adulterated drugs. Along with her, her trainer Giorgos Panagiotopoulos was also acquitted, who was facing charges of supplying banned substances.

View More On Wikipedia.org
  1. Robert S Gulenga

    Kama umemaliza shahada ya uzamili katika fani ya Uchumi (Master of Arts in Economics/ MAAE) hivi karibuni nitafute

    Kama umemaliza hiyo fani kwa miaka ya karibuni na hesabu zinapanda vizuri, tafadhali nicheki. 1. Uwe unaishi Dar 2. Uwe huna ajira ya kudumu au kama unaweza tenga muda japo saa mbili kwa siku kufanya kazi haina shida 3. Uwe unajua hesabu vizuri. Urgent. Tuwasiliane. +255 676 377 400 au...
  2. Jidu La Mabambasi

    RC mstaafu, Engineer Robert Gabriel kujiita Local Fundi ni fedheha kwa fani ya uhandisi

    Engineer Ribert Gabriel kwa sababuzisijojulikata, amejiita Local Fundi. Huyo amajiita LOCAL FUNDI katika MRADI wa Ujenzi wa Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Mkoa wa Geita Eng. Robert Gabriel ambaye amewahi kuwa MKUU wa MIKOA ya GEITA, MWANZA na MARA ktk kipindi cha Awamu ya Tano chini ya...
  3. N

    Jinsi kuchelewa kwa matokeo ya TRA kunavyochelewesha utumishi kuita interview kwa fani za uhasibu na Manunuzi kwa MDAs na LGAs

    Habari wana JF! Kama mnakumbuka mwezi July 2023 utumishi walitoa nafasi za ajira kwa kada mbalimbali zikiwemo za uhasibu na manunuzi kwa MDAs na LGAs. Mwezi huu tarehe 4 kuna kada waliitwa interview isipokua uhasibu na manunuzi, na sababu inasemekana wanasubiri TRA wamalize mchakato ili...
  4. Robert Heriel Mtibeli

    Siku hizi kila Fani na Cheo vinadharauliwa kwa sababu hii

    SIKU HIZI KILA FANI NA CHEO KINADHARAULIWA KWA SABABU HII Anaandika, Robert Heriel. Mtibeli Siku hizi hata uwe Mfalme, sijui Waziri, sijui Hakimu, sijui Rais, sijui Kuhani, sijui Mwalimu, sijui Mwanasheria, sijui Mwanajeshi, sijui polisi, au hata uwe Nabii. Kote Huko Kwa kizazi hiki...
  5. M

    Profesa Assad: Hakuna bandari inayouzwa, ni uelewa mdogo wa watu

    Points Muhimu kwenye mahojiano ya Profesa Assad pale Channel Ten kwenye kipindi cha Dira ya Uchumi 👉🏾 Hakuna Bandari Inayouzwa, ni uelewa mbaya tu wa watu. (Sikiliza zaidi) 👉🏾 Ukomo hauwekwi kwenye IGA, bali kwenye mikataba ya chini (Projects Agreements). (Sikiliza Zaidi) Profesa Assad ametoa...
  6. UtdProfile_

    Ikitokea ndugu yako yupo kijijini, na hana fani, hana elimu, we mwambie ukweli tu

    Huku mjini ni kugumu sanaa wazee, sio kuzuri kuja pekupeku aisee, utahaibika 😂😂😂😂
  7. Yohana Ezekiel Kanyamala

    Natafuta kazi ya kuwa Katibu Muhtasi

    Naitwa Yohana Kanyamala, natafuta Kazi katika fani ya Secretary (Katibu Muhtasi) Nina ujuzi mbalimbali pia, kama kutumia kompyuta na nyinginezo
  8. Crocodiletooth

    Wenye fani zenu za kisiasa,watanzania hawaitaji mikutano yenu,simamisheni tufanye kazi!

    Nimestaajabishwa Sana na baadhi ya mwanasiasa kufikia kukodi helikopta kupita kijiji kwa kijiji kana kwamba tupo kwenye kampeni za ugombea nafasi za uongozi wa kitaifa,sioni mantiki ya jambo hili kufanyika kwa wakati huu kwani sio muda wake,nashauri kwa weakness AMBAYO baadhi ya taasisi...
  9. Pascal Mayalla

    IGA ya DPW imetusaidia mambo mengi. Kwanza kuonyeshea tuna wanasheria wa aina gani, pili kuidogosha fani ya sheria na sasa kila mtu ni Mwanasheria?

    Wanabodi Hii IGA ya DPW Imetusaidia sana kujua mambo mengi, sio tuu imetusaidia kutuonyesha matundu kwe paa la nyumba yetu kwa kutuonyesha panapovuja, pia umetufungua macho kuona tuna wanasheria wa aina gani, wenye uwezo gani, ndio maana tunaingia mikataba ya hovyo!, tukishtuka, tunavunja hiyo...
  10. African Geek

    Faida zipi na hasara zipi anaweza kukumbana nazo mtu mwenye fani nyingi na mtu mwenye fani moja

    Akili ya binadamu ina uwezo mkubwa wa kujifunza mambo, japokuwa kuna wanaoziruhusu akili zao kujifunza vitu vingi au fani nyingi. Watu wengi hupendelea kujifunza fani moja, kisha wasiendelee kujifunza fani nyingine tofauti na fani waliyokuwa nayo awali. Hii ina faida zake na hasara zake. Pia...
  11. mgt software

    Watoto waanza kumjibu Diamond, wamwambia asisubiri July mpaka January wao wako mgongoni mwake mpaka akimbie Fani

    Wana JF Ukisikia mtu kushuka kunaanzaga kwa visingizio. Diamond hana hit song na zilizopo za kawaida sana. Utajiri tu ndio unambeba. Ona vijana wanavyomjibu
  12. kipara01

    Natafuta kazi katika fani ya Kilimo

    Habari za wakati Wana JF, mimi ni muhitimu wa SUA katika FANI ya horticulture nipo natafuta nafasi ya kazi KATIKA FANI husika(kilimo) naishi mkoa wa songwe ila nipo tayari kufanya kazi mkoa wowote Tanzania Natanguliza shilukrani Napatikana kupitia email yangu: yitzhakedward@gmail.com
  13. Billal Saadat

    Wenye fani ya sheria acheni mihemko, wengi mnapotosha mengi mchana kweupe

    Suala hili linapotoshwa sana bwana Peter Madeleka ni mwanasheria asiyejua kwamba Dubai ni Kati ya state tano zinaunda muungano wa UAE, Nyingine ni Abu Dhabi, Sharjah, Ajman, Umm Al-Quwain, na Fujairah! Kwa muktadha inaruhusiwa kuingiwa kama The emirates of Dubai. Ni kama later on EAC...
  14. Equation x

    Fani yako inakusaidiaje katika kutatua Kero za Jamii?

    Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano: Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu. Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi. Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo...
  15. M

    Kozi ipi nzuri kwenye soko la ajira?

    Habari wana jukwaa.. Natumai mko poa, niende moja kwa moja kwenye dhumuni la uzi huu. mimi ni mwalimu niliyehitimu katika shahada ya ualimu mwaka 2015 katika masomo ya chemistry na mathematics ambae bado sijapata ajira. Nahitaji kubadili fani kwenda kusomea kati ya kozi zifuatazo; 1. Diploma in...
  16. Meneja Wa Makampuni

    Ni kwanini serikali imeshindwa kuwaajiri wahitimu wa fani za mafuta na gesi pamoja na uchache wao?

    Fani za mafuta na gesi zilianza kufundishwa Tanzania mwaka 2013. Mara serikali ikaanzisha shahada ya kwanza ya kemia ya petroli (BSc. Petroleum Chemistry) (wanafunzi 25), Shahada ya kwanza ya uhandisi wa petroli (BSc. Petroleum Engineering) (Wanafunzi 25) na Shahada ya kwanza ya jiolojia ya...
  17. I

    Nchi 5 zilizo juu katika fani ya uhandisi duniani

    Hii hapa ni orodha ya mataifa 5 zenye kutamba katika fani ya uhandisi duniani. Ebu iangalie vizuri uone nchi yako ni ya ngapi katika orodha hiyo. === 5 Countries That Produce the Best Engineers in the World In this article, we discuss the 5 countries that produce the best engineers in the...
  18. Andrew Timotheo3105

    Natafuta kazi ya kufundisha fani ya uhazili

    Naitwa Andrew Timothy natafuta nafasi ya kazi ya kufundisha fani ya Secretarial. Nina uzoefu wa miaka miwili katika ufundishaji katika masomo ya Shorthand, Hatimkato, Secretarial Duties, Office practice, Typing Lakin pia Enterpreneurship Education and training..! Niko DSM Email...
  19. T

    Kwa ulimwengu huu wa sasa Fani ya Procurement bado inafundishwa vyuoni kwa sababu gani?

    Baadhi ya vyuo Duniani vimekuwa vikifanya mabadiliko ya mitaala na kufuta ama kuachana na fani ambazo haziendani na wakati. Bado najiuliza, kwa Dunia ya sasa fani ya Procurement inafundishwa vyuoni kwa sababu gani? Ni fani ambayo haina umuhimu wowote kwa karne hii ya 21. Mtoto akisoma...
  20. Stroke

    Hongereni sana Law School of Tanzania kwa kulinda ubora wa fani ya sheria hapa Nchini

    Kwa moyo wa dhati nipende kuwashukuru watendaji wote wa Law School of Tanzania (shule ya sheria ) kwa kuzingatia weledi katika kufundisha na hatimaye kutoa wanasheria ambao watatumika serikalini pamoja na sekta binafsi. Napenda nikiri wazi kabisa kwamba shule hii ni moja wapo ya taasisi chache...
Back
Top Bottom