fani

Fani Chalkia (Greek: Φανή Χαλκιά, [faˈni xalˈca], born February 2, 1979), also transliterated as Halkia or Khalkia, is a retired Greek hurdler.Chalkia was born in Larissa, and represented Olympiacos. She won the gold medal in the women's 400m hurdles at the 2004 Summer Olympics in Athens. During the semifinals Halkia set an Olympic record of 52.77 seconds.
On August 16, 2008, during the 2008 Summer Olympics in Beijing it was announced that she tested positive for the banned substance methyltrienolone. Chalkia denied she has taken any banned substance, and asked for her 'B' sample to be tested, which also tested positive the next day. On December 12, 2008, the IAAF announced that she would be banned from the sport for two years.
On February 19, 2016, Fani Halkia was unanimously acquitted of all charges for the use of banned substances. The Court of Appeal ruled that the former champion had fallen victim to a circuit of adulterated drugs. Along with her, her trainer Giorgos Panagiotopoulos was also acquitted, who was facing charges of supplying banned substances.

View More On Wikipedia.org
  1. King 999

    Fani ipi kati ya hizi ina fursa za kupiga pesa?

    Salaam wadau, Moja kwa moja kwenye maada husika Mimi ni kijana mwny umri wa mid 20’s. Nina mpango wa kwenda VETA ili kujifunza ujuzi niweze kujipatia kipato. Lengo langu nikasomee kimojawapo kati ya udereva au ufundi simu+computer. Udereva nilioulenga ni Basic driving + ADVANCED DRIVERS GRADE...
  2. Hasa

    Msaada katika uchaguzi wa fani

    Habari wapambanaji Naombeni mwenye uelewa kati ya fani hizi mbili ni ipi bora Kwa wakati wetu huu kuisoma Procurement and supply management Marketing
  3. ndege JOHN

    Kada ya Udereva ni fani ya maana sana ofisi za Serikali

    Pamoja na kwamba wengi hufikiria dereva anadharaulika katika utumishi na kuchukuliwa Kama kibarua fulani lakini linapokuja suala la upataji wa posho madereva wako vizuri huenda kuliko watumishi wengine katika maofisi kwa sababu kila safari ya kazi ya kutoka nje ya kituo cha kazi lazima dereva...
  4. L

    UDSM Kuna nini kwenye fani ya ununuzi na ugavi?

    Leo nimekutana na tangazo la ajira kutoka UDSM wanahitaji Procurement Specialist. Nikajiuliza maswali yafuatayo. 1. Je, UDSM haina wataalamu wa Ununuzi ? 2. Na kama wataalamu wapo, Je, hawana sifa zinazokidhi matakwa ya hiyo kazii? 3. Je UDSM haiwaamini wataalamu wake walioko kwenye sekta ya...
  5. clinton gidioni

    Naomba kujitolea kujifunza kazi yako, unilipe pale nitakapoweza baadhi ya majukumu

    Habari wapendwa poleni na majukum. Naomba kujitolea kujifuza nipo tayari kuwekeza MDA AKILI NA NGUVU. Mimi ni kijana wa kiume miaka 28 mkazi wa dar Elimu kidato cha nne. Tadhali wapendwa naomba kujitolea kujifunza sichagui fani au kazi ya kujifunza ila naomba pale nitakapo jifunzia ndio nije...
  6. Mung Chris

    Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili

    Anahitajika Afisa Mikopo elimu iwe diploma au degree, intern pia katika fani ya microfinance anahitajika mmoja au wawili, anaye hitaji kazi hii natakiwa awe anaishi Meru au mpakani mwa Arusha na Moshi au Wilaya ya Hai maeneo ya Bomangombe. Intern anahitajika mmoja au wawili katika fani hiyo...
  7. Equation x

    Ukosefu wa ajira unatokana na kusoma fani zisizokuwa na tija

    Tujifunze kusoma fani zinazotuachia ujuzi ili tuweze kujiajiri na pia kutengeneza ajira kwa wengine. Mfano mdogo tu, jaribu kutangaza nafasi ya fundi wa kushona mavazi; inaweza kuchukua wiki, miezi hakuna mtu aliyeomba. Hii inatafsiri, wenye hiyo fani wako bize na mambo yao na hawaitaji...
  8. Superbug

    Mwalimu Nyerere alipika Majasusi na yeye alijiimarisha kwenye fani

    Mnapoisifu idara ya Usalama ya leo mjue waliowarekruit wa leo wote walitengenezwa na Mwalimu. Kuanzia mzena et Al. Uzi upo humu. Kumbuka huwezi kuwa mwalimu mkuu bila wewe mwenyewe kubobea kwenye ualimu. Huwezi kuwa jenerali wa jeshi bila wewe mwenyewe kuwa jenerali (hata Kama hujaenda field)...
  9. Equation x

    Vijana, someni fani zinazowaachia ujuzi

    Vijana,someni fani zinazowaachia ujuzi, haya mambo ya kuchagua fani ambazo ni ngumu kujiajiri ni sawa na kupoteza fedha zako. Chukulia mfano, labda umesoma mambo ya historia au fani zenye uelekeo huo mpaka ukafikia labda uprofesa; kwa fani hiyo, usipoajiriwa utaonekana ni sawa na mtu ambaye...
  10. D

    Uhandisi ndiyo fani pekee duniani inayotoa majibu halisi kwa walaji tofauti na udaktari ambao umeshindwa kuichambua chanjo ya COVID-19 ieleweke

    Tofauti na fani za wahandisi ambao majengo na mitambo yao huwa wanatuonesha maelezo yaliyobaya/michoro yenye uhalisia wa ndani (interior design) ambazo hujibu kiu ya watumiaji kiuhalisia na kitaalam! Janga la corona limekuja kuweka ombwe katika sekta ya afya kwa mabingwa wetu kuonekana bado...
  11. malunde_mc

    Natafuta Ajira fani ya Kilimo

    Habari wana JF Nina Diploma in General Agriculture natafuta kazi katika fani hiyo.Mshahara maelewano.
  12. namriny

    Tanzania tuamue kubaki na fani ya Ualimu na Udaktari

    Habari, Yaani kitu ambacho nimekiona kwa nchi yetu ya Tanzania, ajira zikitangazwa, utasikia tunaongeza walimu na wataalamu wa afya, ni mara nyingi sana matamko yanakuwa hivi. Sasa ina maana hawajui kama Tanzania kuna watu waliosomea fani mbalimbali, na je, wao hawana haki ya kuajiriwa na...
Back
Top Bottom