fanya

Agafangel (Russian: Агафа́нгел) is an old and rare Russian Christian male first name. The name is derived from the Greek name Agathangelos, which in turn derives from the words agathos—meaning kind, good—and angelos—meaning bearer of news, messenger.The diminutives of "Agafangel" are Aga (А́га), Fanya (Фа́ня), and Agafangelka (Агафа́нгелка).The patronymics derived from "Agafangel" are "Агафа́нгелович" (Agafangelovich; masculine) and "Агафа́нгеловна" (Agafangelovna; feminine).

View More On Wikipedia.org
  1. Sky Eclat

    Makosa tunayo fanya wazazi kwa watoto wetu ni kutowapa ufahamu wa kutosha tangu wakiwa wadogo

    Ufahamu wa mtoto tangu akiwa mdogo anaanza kuongea ni kama bank account, unachohifadhi ndicho unachovuna. Watoto wakianza kuongea wanakua na maswali mengi, hii ni asili yao ya kutaka kufahamu dunia. Usichoke kumfahamisha mazingira anayo ishi. Ukiamka asubuhi akikuuliza unakwenda wapi mueleze...
  2. Notorious thug

    Zingatia mambo haya ukiwa gerezani

    Gerezani ni sehemu ngumu sana na isiyoelezeka kwa mambo yaliyopo kule ili kupunguza makali ya gerezani unaweza fanya haya mambo. 1-Mfungwa hachagui gereza ni kweli ila unaeza kuchagua gereza wengi wanapohukumiwa huingia gerezani hapa unaeza kutambua gereza ulilopo ni la...
  3. itakiamo

    Fanya hivi kwa mdogo wako

    Kama una mdogo wako amemaliza chuo miaka ya hivi karibuni jaribu kumtia moyo kwa kumtumia 30,000 au 40,000 bila sababu, yaani mtumie tu, yaani Fanya surprise, ikiwezekana rudia Mara kwa Mara , atakushukuru sana na kipato chako kitaongezeka maradufu
  4. luangalila

    Mturuki anaye fanya PVC windows installation pale Goba

    Wadau Hawa waturuki waliopo mbezi Goba Wana sikika Sanaa Je huduma zao NI kweli nzuri Kwa yeyote aliyewahi kupata huduma zao
  5. Robert Heriel Mtibeli

    Atajitahidi lakini watega mitego na wacheza Amapiano 2025 wamedhamiria

    Kwema wakuu! Kila nikijitahidi kumtetea naona inakataa. Kila nikijaribu kuona Kama itawezekana naona haiwezekani. Anaweza fanya mazuri kuliko waliopita lakini jicho langu kutoka nyota ya Tibeli halimuoni kama atakubalika na wacheza Amapiano. Sapoti ni Kama itaanza kuyeyuka Sirius kuanzia...
  6. Jidu La Mabambasi

    Rais Samia wewe fanya kazi, usiwasikilize wanasiasa kama Ndugai

    Mama Samia kama Rais ameanza kuchukua hatua zake mwenyewe kuona maendeleo ya nchi yanasonga mbele. Kimsingi, Mama Samia kaweka utu wa Mtanzania mbele, na kuhakikisha hakuna maonezi ya kubambikwa kesi za kughushi ili konea mtu na kupora mali zake. Masalia ya Awamu ya 5 yapo. Miluzi ni mingi na...
  7. TODAYS

    Waziri Aweso fanya maamuzi haya ili ubaki kwa kumbukumbu nzuri

    Pamoja na baadhi ya Watanzania kuona kuna madudu yanafanyika pmus kuwanyonya kutokana na baadhi ya viongozi kuingia kwenye siasa kwa mgongo wa wazee wao, bado mnaweza kuwaachia watanzania legacy ya kuwakumbuka hata msipokuwepo. MAJI; Nchi yetu imekuwa na janga la uhaba wa maji kwa miongo kadhaa...
  8. NguoYaSikuKuu

    Usiamini chozi la Mwanamke kamwe. Fanya maamuzi kwa akili yako

    Kama umemkamata mwanamke wako ana mapichapicha akaanza kutoa chozi na kulia isiwe kigezo cha kusamehe. Mwanamke hata akitoa machozi jaba zima ni namna yao ya kuku"fool mwanaume umuonee huruma kwa utopolo wake. "Oooh nilimkamata na nanii akaanza kulia sana ikabidi nimsamehe" ukaanza kusema "...
  9. Suley2019

    Fanya haya kulinda Nywila (Password) zako

    NAMNA YA KULINDA NYWILA (PASSWORD) YAKO 1) Usitumie Nywila (Password) moja kwenye kurasa zako zote za Mitandao ya Kijamii. Hakikisha kila mtandao unatumia #Password yake 2) Hakikisha Nywila yako ina jumla ya herufi/alama zisizopungua 16 au na zaidi (Mfano: M1m1$%678abc@£+#) 3) Usitumie maneno...
  10. U

    Naomba kama kuna mtu aliwahi fanya Interview Elim Tech Foundation kada ya Research and Statistics

    Habari zenu wakuu kama mada inavyojieleza apo juu naomba msaada nataka kujua maswali yao na vitu vingine navoweza kitana nayo hii ndio interview yangu ya kwanza. Nimetumiwa text message nimeambiw nijibu yes or no km ntakua available j3, kingine anasema inaweza kuwa physically au through Zoom...
  11. AA TANCH TRADING COMPANY

    Bidhaa 9 zinazoongoza kununuliwa zaidi mitandaoni/online. Fanya uchaguzi sahihi

    Kitendo cha mtu kuanza kuagiza bidhaa. Kwa kupitia tovuti mbali mbali zinazofanya biashara online. Ni kitendo ambacho kinatakiwa kiwe cha urahisi na uhakika. Bidhaa zinazouzwa kwa kupitia mitandao kama. Mitandao ya kijamii, Application za simu, na tovuti. Huwa zina pendwa Zaidi kutokana na kuwa...
  12. Maleven

    Hisia za mapenzi zinaweza kumfanya mtu asiweze kufanya kazi?

    Mdogo wangu yuko katika kilele cha balehe, sasa hakwenda shule, jana niliambiwa anaumwa, leo najuzwa kua ni ashki zimemshika sana kiasi cha kuona kuumwa. Kwakua ni mambo ya kike, na siwezi ongea nae moja kwa moja wala yeye hawezi kuniambia mimi ila nawaza huu sio ugonjwa kweli au ni kawaida kwa...
  13. OMOYOGWANE

    Mke akikufumania fanya yafuatayo ili akusamehe

    Habari wakuu, Leo nawaletea mbinu ya kivita ambayo unaweza kuitumia kwa mkeo ili akusamehe kiulaini, mfano kama kakufumania, kakukuta na SMS za michepuko, au kosa lolote kubwa ambalo limeleta ugomvi na linatishia uhai wa ndoa au mahusiano yako, Tumeambiwa Tuishi nao kwa akili, Njia nzuri ya...
  14. TheDreamer Thebeliever

    Ni aina gani ya gari zuri kwa kuvimba nalo hapa mjini?

    Habari wadau. Ebu tupeane ushauri ni aina gari ya gari ambayo nikiwa nayo nitavimba hapa mjini?
  15. Matendo Andrew

    Fahamu haya kulinda ndoa yako

    Ulimwengu huu umezungukwa na vishawishi vingi mno yaani hata ukiwa mlokole kiasi gani Kama ni mwanamme lijali ukipita mtaani kunawakati unajikuta unakodolea macho mwanamke mpaka unakuja kushituka watu wanakushangaa MITANDAO ya kijamii nayo inachangamoto Sana jinsi ya kuepuka vishawishi. Kama...
  16. K

    SoC01 Fanya haya kama kila unachotaka kukianzisha hakimaliziki/hakifanikiwi

    Changamoto za maisha /mafaniko katika maisha zinatufanya kuanzisha vitu vingi lakini tunashindwa kuona mwisho wake au matunda yake/mafaniko kwa mawazo yetu Vitu vingi au mawazo mengi yanakufa kabla hatujaona mafaniko yake au mwisho wake mwema kwa mfano unaweza waza kuanzisha biashara lakini...
  17. Marjo Mlekwa

    SoC01 Ushauri: Zingatia mambo haya utafanikiwa haraka

    Nadhani makala hii haitawahusu vijana wavivu ambao wao wanawaza kuamka nakukaa vijiweni wakipeana mbinu za kupora nakuiba mali za watu. Hii itawahusu vijana na watu wazima ambao bado wangali kwenye mapambano yakujikwamua nakufikia bango lenye nembo ya mafanikio. Zipo siri nyingi sana zenye...
  18. Tomaa Mireni

    SoC01 Ukitaka kufanikiwa katika Biashara ya Maduka ya Vyakula fanya hivi na utakuja kunikumbuka

    Heshima kwenu wasomaji na wapiga kura. Leo nataka niwape vijana fursa ambayo kwa miaka imedharaulika. Biashara ya maduka ya vyakula inaweza kumtoa mtu yeyote yule lakini inategemea na eneo na moyo wako wa kuifanya. UMUHIMU WA KUFANYA UTAFITI KWANZA Kuna maeneo yanayotifautina sana...
  19. MC RAS PAROKO

    Fanya hivi kunufaika na ongezeko la tozo katika miamala ya simu (M-Pesa, Tigo Pesa, Halo Pesa)

    Ni matumaini yangu mu buheri wa afya, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. kwa kuwa kam tujuavyo kumekua na kilio kikubwa kutoka kila kona nchini kutokana na ongezeko la gharama za kutuma na kutoa pesa kupitia simu zetu (Mobile Money Transactions). Nikiwa ni muhanga...
  20. G

    Fanya haya ili uweze kuchagua kozi sahihi chuoni

    Binafsi nimebahatika kusoma chuo kwa Tanzania kilicho na kozi nyingi za Bachelor Degree kuliko vyuo vingine, Chuo kikuu cha Dodoma, Nilikuwa nasoma Shahada ya kwanza ya Ualimu katika ndaki ya sayansi asilia pamoja na hesabu(CNMS), Hivyo nimebahatika kula, kuishi, kujadili, kuongelea na kulala...
Back
Top Bottom