Agafangel (Russian: Агафа́нгел) is an old and rare Russian Christian male first name. The name is derived from the Greek name Agathangelos, which in turn derives from the words agathos—meaning kind, good—and angelos—meaning bearer of news, messenger.The diminutives of "Agafangel" are Aga (А́га), Fanya (Фа́ня), and Agafangelka (Агафа́нгелка).The patronymics derived from "Agafangel" are "Агафа́нгелович" (Agafangelovich; masculine) and "Агафа́нгеловна" (Agafangelovna; feminine).
Cheti kikubwa kuliko chote ni cheti cha F.4 hiki wengi hawajui. Kimsingi cheti cha F.6 hakina ishu kabisa labda kwa wale wanaopenda mambo ya afya zaidi maana hiki cheti kina matter sana huko.
Hakikisha F.4 unakung'uta Div 1 kali ajabu somewhere around point 7, 8, 9 na kuishia 14.
Then, nenda...
Mko poa?
Salaam,
Jikoni kuna wakati yanatukia matukio jikoni wakati unapika mpaka unatamani unashangaa, mwenzenu nilimwaga mboga wakati napika ugenini kisa kapita panya na sikuwa najua kama nyumba ina panya.
Nimeaza kupika ile naipuka mboga Panya kakatiza nikaona mkia tu nikadhani nyoka...
Nimeandika uzi huu baada ya suala la Haji kutamalaki.
Ni hivi kuchapiwa mke most of the time huwaga ni laana ya familia, ukoo au hata kabila.
Ndio maana ukijaribu kufuatilia kwa ukaribu kuhusu wanaume wanao chapiwa utagundua kwamba katika familia au ukoo wa mwanaume huyo kuna historia ya...
Moja ya njia unayotumiwa na waalifu Duniani Kwa sasa nikuzichungulia fedha zinazotolewa na serikali au taasisi bila kulipwa kwenye akaunti husika. Kwa nchi nyingi za Afrika malipo ya fedha nyingi za kuendesha Ofisi yamewekwa kwenye safari na vikao; wakati mwingine mataifa corrupt ulazimisha hata...
Mama, hawa ndio wanadamu, ulikopa ili mzigo wa Kodi usiwe mkubwa kuhudumia maendelea, angalau uu-suspend kwa muda au Kwa vijikodi vidogo vidogo, tuhudumie mikopo ya muda mrefu, kuliko kutulima Kodi ya ghafla.
Wenye nongwa wakaongea ooohhh, tuna hela nyingi, mbona sijui nini,nchi yetu tajiri...
Tafuta tu popote pale Picha ya Lionel Cognizant Messi akiwa ameshika Tuzo yake ya Golden Ball na ile ameshika Kombe la Dunia alizoshinda zote leo kisha muonyeshee tena kwa Kumringishia kabisa Christiano Ronaldo utaona atakavyokuwa Mpole na hata Kukuamkia Shikamoo kama ambavyo sasa anamuamkia...
Wadau, moja kwa moja kwenye mada:
1. Utangulizi.
Maendeleo ya teknolojia huenda yamewafikia panya wasumbufu na waharibifu majumbani mwetu. Siku hizi wanakwepa mitego, wanatambua na kukwepa sumu na huku wamezidisha chokochoko na kujengeana hasira. Mtu ukiwa na bunduki waweza jikuta unamfyatulia...
Nunua ardhi ya bei nafuu Leo katika eneo ambalo baadae litakuwwa dili sana na sasa linapuuzwa. Mfano:
1. Eneo LA Makurunge kule Bagamoyo njia ya Saadani. Ile barabara inaandaliwa kujengwa kwa kiwango cha lami itokezee Pangani, itakuwa shortcut kwenda Tanga hivyo magari mengi yatapita. Mbele yake...
Siku chache baada ya tajiri mkubwa duniani kukamilisha ndoto yake ya kumiliki mtandao wa twita wengi wetu ambao hizo namba tunaona ni pesa za kawaida ila sio hivyo kwani tukija mezani unagundua hiyo pesa ya twita tu mwamba Elon musk akiamua tumia bilioni kila siku kwenye matumizi yake, kula...
Simama pale posta,kariakoo na maeneo yenye foleni kubwa ya magari na bango lako nakuhakikishia hii style itakupa kazi fasta kuliko kulala ndani na kusubiri ugali wa shikamoo,kuna kipindi ikifika kwenye maisha hakuna kuogopa Chochote zaidi ya kujitoa tu
Korea kaskazini imekana kuwa haimpi mrusi siraha wala haina mpango huo baada ya ripoti ya marekani kuwa korea ambaye ni mshirika wa karibu wa urusi imeombwa na urusi kumpa siraha.
=========
North Korea says it has never sold weapons to Russia and has no plans to do so in the future, following...
Nipo nafanya maombi yangu ya mkopo wa elimu ya juu kwenye tovuti ya bodi ya mikopo ya elimu ya juu.
Nimefika sehemu ya mdhamini, kila nikijaza taarifa za mdhamini na kusave napata hiyo shida kwenye picha. Je sababu ni nini.
Nimepanda treni ya Kigoma - Dar mwaka 2021, na nilijisemea sitakuja kupanda tena kwa namna treni hii ilivyo na huduma mbovu na za aibu.
Ninatumia usafiri wa ndege Air Tanzania mara kwa mara kwa safari zangu za ndani ya Tanzania. Kuna kipindi hata namba zao za huduma kwa mteja hazipatikani...
Habari wadau.
Kwanini tusifanye harambee kuboresha shule zetu ili vizazi vyetu vipate elimu bora na kupata taifa la wenye akili.
Kuna uzi humu kanisani kijitonyama milioni 300 ya kununua nyumba ya mchungaji ilichangwa nusu saa tu.
Nikawaza watoto wanaosali hapo kanisani je wote wanapata elimu...
Wengi tumezaliwa katika mazingira flani ambayo mzazi sio mtu wa karibu saaana zaidi ya kuheshimiana Kama baba na mtoto tu.
Nilipokuwa nasoma nilipanga nje na rafiki yangu mmoja yeye alikua anampigia simu mzee wake wanaongea masaa hata matatu hadi manne, Mimi inaweza pita miezi hata 3 au 4 bila...
1. Heshimu wengine,wakubwa kwa wadogo.Ukitaka heshima toa heshima.
2. Epuka kuwa mmbeya,fanya mambo yako.
3. Heshimu sheria na taratibu zilizowekwa maeneo mbalimbali.
4. Kuwa jirani mwema. Hujui leo na kesho.
5. Fikiri kabla ya kuongea chochote mbele za watu.
6. Jizuie kuweka ahadi ambazo...
Nenda youtube,
Andika 'Sanura audio' na wimbo utauona chini ya Makondeko Group Musika tayari kwa kuenjoy. Mimi nimeshindwa kuupandisha humu.
Aisee ni bonge la wimbo, jamaa alikuwa anajua sana bahati mbaya tu dunia haikuwa upande wake.
R.I.P Tongolanga.
Wadogo zangu ambao mnaosoma huu Uzi ambao mpo katika harakati za kutafuta kazi ukiona umefika umri wa miaka 30 hujapata kazi nakushauli achana na mambo ya kutafuta kazi na anza kufanya plan b kama ni kilimo,ufugaji,biashara uanze kutengeneza maisha yako badae mapema usisubili time its too late...
Kwanza natanguliza salam kwenu ndugu zangu wa JF wote.
Sasa bila kupoteza muda ndugu zangu, hayo chini ni baadhi ya mambo ambayo ukiyafanya, katu moyo wako hautapata maumivu ya aina yoyote katika hii dunia japo kuna changamoto ndogo ndogo za hapa na pale ambazo zitakupitia, lakini kwa muda...
Tanzania tuna hifadhi ya gesi iliyofikia ujazo wa Trilion 57 cubic f.
Kwa mujibu wa hotuba ya Rais wakati wa kusaini mkataba wa kwanza wa uwekezaji wa Gesi baina ya Serikali na wawekezaji kuna vitalu takribani 28 vya gesi bado havijafanyiwa utafiti jambo ambalo endapo litafanyika linaweza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.