feisal

Feisal Abdul Rauf (Arabic: فيصل عبد الرؤوف, born October 23, 1948) is a Kuwaiti-born Egyptian-American Sufi imam, author, and activist whose stated goal is to improve relations between the Muslim world and the West. From 1983 to 2009, he served as Imam of Masjid al-Farah, a mosque in New York City. He has written three books on Islam and its place in contemporary Western society, including What's Right with Islam Is What's Right with America, and founded two non-profit organizations whose stated missions are to enhance the discourse on Islam in society.
He has condemned the 9/11 attacks as un-Islamic and called on the U.S. government to reduce the threat of terrorism by altering its Middle Eastern foreign policy. Author Karen Armstrong, among others, has praised him for his attempts to build bridges between the West and the Muslim world. In 2010, Sufi Imam Rauf received national attention for his plans to build Park51, an Islamic Community Center, two blocks from Ground Zero in Lower Manhattan.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Hakuna ofa Yoyote kwa feisal kwa club za ndani

    Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc. Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa 1B kwa klabu ya 🇹🇿. Yanga atapata 25% ya mauzo ya...
  2. kalisheshe

    Tetesi: Feisal Salum mbioni kujiunga na Simba

    Club ya Simba imeanza rasmi mazungumzo na Azam FC kuhusu usajili wa kiungo mshambuliaji Feisal Salum, Taarifa zinaeleza kuwa Feisal ni kipaumbele cha juu cha kocha Fadlu Davids, ambaye anataka kumjumuisha kwenye kikosi chake dirisha hili la usajili la Januari. Wekundu hao wa msimbazi wako...
  3. Mkalukungone mwamba

    FT: Azam FC 0-2 Simba SC | NBC Premier League | New Amaan Complex Zanzibar | Septemba 26, 2024

    Alhamis hii katika NBC Premier League ni Mzizima Derby, Azam FC kukipiga na wekundu wa msimbazi Simba SC Mtanange huu utapigwa katika dimba la New Amaan Complex, Dakika ya 15 Goooal Ateba Azam 0 - 1 Simba
  4. M

    Ikitokea Feisal kuhamia Simba, atasugua benchi mwaka Mzima

    Simba ya sasa sio ile ya msimu uliopita. Kwa viwango vya wachezaji wapya wa Simba halafu eti Feisal ajiunge nao, nadhani Kocha angemuombea aruhusiwe kwenda likizo msimu mzima. Soma Pia: Simba yamtaka Fei Toto. wamepeleka ombi la mazungumzo Azam FC
  5. M

    Feisal Salum nakusalimia Kijana wangu. Habari za Kigali

    Nasikia ulijiapiza kuwa ligi ya mabingwa Caf kuwa unataka uwaonyeshe Simba na Yanga mpira unavyochezwa. PIA SOMA - News Alert: - FT: CAFCL | APR 2-0 AZAM FC | Preliminary Stage 2nd Leg| aggregate : 2-1 | 🏟 Amahoro Stadium | 1900hrs | 24.08.2024
  6. Mpigania uhuru wa pili

    Wakati Feisal anawafanyia Yanga uhuni mashabiki wengi wa simba walimsuport haya sasa imetokea kwa Kibu Dennis wamsuport

    Wakati feisal kaingia mitini huku akiwa na mkataba Yanga kuliibuka kundi kubwa la mashabiki wa Simba wakimsupport ile mbaya wakidai ni haki yake Haya sasa imetokea kwao kwa kibu dennis nategemea nguvu zile zile walizokua wanatumia kumsupport feisal wazitumie kwa kibu dennis Kwa sasa hivi...
  7. mdukuzi

    Feisal alimkimbia Aziz Ki, Aziz ki anamkimbia Chama

    Fahari wawili hawakai zizi moja, kipindi Feisal yuko Yanga kuna watu walimuona Aziz ki ni wa kawaida sana, ila kiukweli Feisal alikuwa akipambana mno, waliishia kutupiana majeen tu, Feisal akaona akimbie kuepusha shari, Sasa Aziz ki anaogopa kufunikwa na kivuli cha Chama, asije tena kuonekana wa...
  8. D

    Feisal salum team ya taifa ni useless. Tutafute mchezaji mwingine

    Performance ya jana was shameful. He provide no help to the team. Ni mzigo bora hata wakina Barua au tutafute number 10 mwingine. Tunashidwa kumpa boost kwenda mbele. Maana tuna wasiwasi na kiwango chake.
  9. Mkalukungone mwamba

    Feisal amevuta milioni 90 kutoka kwenye klabu yake ya Azam baada ya kufunga magoli 19 ya ligi kuu

    Kiungo huyo amechukua kiasi hicho cha pesa ni moja wapo ya kipengele cha mkataba wake na Azam fc kila msimu akifikisha magoli 10 na zaidi atakuwa akipata milioni 90. kwahiyo tuseme Feisal katika miaka yote mitatu ya kimkataba atalamba milioni 270 kama atafikisha magoli hayo 10,ambapo kwa sasa...
  10. Kichwa Kichafu

    Feitoto wakati unatunyamazisha Wana Dar Young Africans Kiukweli Ulifanikiwa, Ila Kiko Wapi?

    Habari za wakati huu. Jana tumeshuhudia mpira mzuri kutoka kwa timu zetu mbili bora zinazoenda kuwakilisha kimataifa CAF Champions League Msimu Wa 2024/2025. Young Africans aliibuka mshindi dhidi ya Azam Fc wa kombe la CRDB Bank Federation Cup 2023/2024 kwa mikwaju ya penalty. Sasa turudi kwa...
  11. Bila bila

    Feisal alikimbia kupokea medali ya FA kwenye mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho la CRDB

    Nikiri katika màisha yangu Tangu nimeanza kushabikia soka hili ni tukio la Kwanza kwangu mchezaji kususia makusudi kuvalishwa medali bila sababu ya msingi. Huwa nawaona Wachezaji majeruhi nao wanajitahidi kuwepo hata kama timu imeshindwa kuchukua Kombe. Hata Jana nimemuona mchezaji mmoja wa...
  12. Mkalukungone mwamba

    Nani kuondoka na kiatu cha ufungaji bora NBCPL;Aziz KI au Feisal

    Wachezaji hao ndio vinara wa magoli kwenye NBC Premier League ambapo mpaka sasa wamefunga magoli 15 kila mmoja na hadi sasa timu zote zimesaliwa na michezo 3 pekee kutamatika kwa ligi kuu msimu huu Msimu uliopita hadi ligi inatamatika wachezaji wawili wa Yanga na Simba ambapo ni Fistoni Mayele...
  13. M

    Mayele na Feisal wanateseka moyoni

    Wanateseka kuliko wachezaji wa Simba waliofungwa. NB: Hongera sana Inonga kwa kukwepa lawama
  14. Chizi Maarifa

    Kufungwa si issue, kinachouma kufungwa na Feisal Toto

    Huyu dogo sisi ndo tumemlea kabisa na kumpatia hata nguvu za kucheza mpira. Amekuja kwetu muda wote ana rembua tu macho. Tumemsaidia angalau kuyakaza, sasa anaaanza jiona naye ni mtu???????????????????? Bernard Morrison atakutana naye siku moja.
  15. Majok majok

    Azam mlichonga njia mbovu kumpata Feisal, sasa kibao kimewageukia muachieni pia Prince Dube akatafute maisha kwingine!

    Waswahili husema mkuki kwa nguruwe kwa binadamu mchungu, mchezaji wa Azam, Prince Dube ameandika barua ya kuvunja mkataba ambao umebakiza miaka 2! Jambo hili sio jambo zuri hata kidogo kwenye soka letu, suala la mchezaji kukosa tu furaha na akaamka asubuhi na kuandika barua ya kuvunja mkataba...
  16. M

    Feisal Salum unajisikiaje kwa sasa?

    Pale unapoondoka kwa kiburi, jeuri na nyodo na hata kuwatolea maneno ya jeuri viongozi wa timu. Nikaona hadi familia yako ikaingilia kati. Nikaona hadi mamlaka kuu zikakusimamia na kukubeba. Ogopa mtu mzima uliyemkosea na akakuambia HEWALA WEWE NDIO MKUBWA. Binafsi ninaamini wewe haukuwa...
  17. Ahyan

    Hongera sana Feisal Salum (fei toto), umeonyesha kwamba wewe ni mchezaji muhimu sana, na umeonyesha kwamba unapaswa ucheze kwa dk 80 ama 90

    Huyu mchezaji anakipaji kikubwa sana cha mpira wa miguu, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza presha ya timu uwanjani, ana uwezo mkubwa mno wa kutuliza na kuifanya timu imiliki eneo la kiungo, ikumbukwe kwamba ana uwezo wa kucheza namba 6, 8 na 10 Ukimtoa tu na kumuweka benchi basi ujue dimba...
  18. THE FIRST BORN

    Nimekumbuka Feisal alisema ili yeye arudi Yanga lazima Hersi atoke, nimecheka halafu nimechoka ghafla

    Nimeamka najiandaaa kwenda Misa ya Saa 2 hapa Mara nikawaza Fei aliwahi sema yeye akiondoka Hersi hata saivi (muda ule) anabeba begi anarudi zake Yanga. Yani nimechoka sana hivi Feisal alikua anafikiria nini jamaa?😂😂
  19. B

    Feisal, Djuma Shabani na Bangala wanatufundisha nini kupitia mafanikio ya Yanga baada ya kuondoka kwao?

    Wanatufundisha: 1. To let it go/ To let them go. 2. Tusishikilie au kun'gan'gania kitu kinacho taka kuondoka kwenye maisha yetu. Kama kuna kitu au mtu anataka kuondoka kwenye maisha yako basi usimlazimishe abaki muache ende zake. 3. To move on. 4. To never look back. 5. Kila kitu kina...
  20. U

    Nani kiungo bora kati ya Max Nzengeli na Feisal Salum

    Tuongee ukweli sote tunajua Feisal ndo kiungo namba moja mzawa Kwa ubora nchi hii, na kiungo wa nje ya nchi Bora wako wengi. Tupo kijiweni tunajaribu kuangalia nani mkali hasa kati safi ya kiungo kati ya Max Nzengeli na Feisal Salum. Nani ana uwezo mkubwa kuliko mwenzake. Hatumuongelei Chama...
Back
Top Bottom