Feisal Abdul Rauf (Arabic: فيصل عبد الرؤوف, born October 23, 1948) is a Kuwaiti-born Egyptian-American Sufi imam, author, and activist whose stated goal is to improve relations between the Muslim world and the West. From 1983 to 2009, he served as Imam of Masjid al-Farah, a mosque in New York City. He has written three books on Islam and its place in contemporary Western society, including What's Right with Islam Is What's Right with America, and founded two non-profit organizations whose stated missions are to enhance the discourse on Islam in society.
He has condemned the 9/11 attacks as un-Islamic and called on the U.S. government to reduce the threat of terrorism by altering its Middle Eastern foreign policy. Author Karen Armstrong, among others, has praised him for his attempts to build bridges between the West and the Muslim world. In 2010, Sufi Imam Rauf received national attention for his plans to build Park51, an Islamic Community Center, two blocks from Ground Zero in Lower Manhattan.
Ngoja leo niwape za ndani ndaniii kabisa.
Kuna mwanasiasa mmoja ambaye kwa miaka ya hivi karibuni amejipenyeza katika mambo ya mpira ili kutafuta ushawishi wa kisiasa.
Wote tunajua kuwa toka Mwendazake aondoke, kumekuwa na mtifuano wa chini chini ndani ya chama kati ya wale waliokuwa wamewekwa...
Kwa umri wako na kiwango chako uko kwenye peak ya mafanikio, master mind wako amepanga hesabu zikapangika na wakajaa kwenye hesabu zenu, sasa wewe ndie mchezaji uatakayekuwa unalipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wa ndani, na utakuwa ni mchezaji wa tatu kulipwa mshahara mkubwa kwa soka...
' Kila mchezaji mzawa hatakubali Feisal pekee ndiye arekebishiwe kipato huku wote wanakimbiza mpira dk 90! hili swala la feisal limeanzia kwa Stephane Aziz-K kununuliwa kwa bei mbaya na kuwa mchezaji ghali klabuni.
Ikumbukwe mama mzazi wa Azizi K ndiye aliyekuwa meneja wake. Leo feisal kudai...
Kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni, nimeshangazwa na Mchezaji aliyekosa namba kikosi cha kwanza cha Yanga Herriet Makambo kulipwa 10M huku mchezaji mwandamizi na tegemeo Feisali Toto akilipwa hela ndogo mara tatu yake hakika Tanzania bado tuna viongozi wengi wa mpira madalali tuwape...
Mjadala wa sasa ni kuhusu Feisal kuondoka Yanga, huku akihusishwa kutaka kuhamia Azam FC. Sio yeye Feisal wala Azam Fc waliosema kuhusu Feisal kuhamia Azam Fc bali ni tetesi za mitandaoni za mashabiki.
Kwa udadisi wangu nahisi huu ni mchezo tu ili kutupoteza maboya, lakini lengo halisi la...
Wakili na mwanamichezo mzoefu nchini, Aloyce Komba ametoa ufafanuzi juu ya dili la Fei Toto kutua Azam akisema:
.
“Yanga wamefanya uzembe wenyewe na wasije wakathubutu kukimbilia Fifa kama walivyofanya kwa Bernard Morrison itakula kwao. Waangalie vizuri mkataba wa mchezaji unaeleza nini...
Klabu ya Yanga imeripotiwa kurejesha pesa za kuvunja mkataba kiasi cha Tsh milioni 112 zilizolipwa na mchezaji Feisal Salum
Klabu hiyo imemuandikia barua mchezaji huyo na kumtaka azingatie mkataba baina yao huku wakiziandikia mamlaka za soka pia
Fei amerejea kambini rasmi Yanga
Umekuwa wakati mzuri sana kuichezea klabu ya Young Africans SC (Yanga) klabu yenye historia kubwa na ya kuvutia chini na Afrika yote.
Tumekuwa na nyakati nyingi mchanganyiko, tulifurahi pamoja pale furaha ilipokuja elekeo wetu na tulihuzunika pamoja nyakati mbaya zilipotutokea.
Nitakumbuka...
Wakati Feisal akiwaaga wachezaji wenzake, mashaabiki wa Yanga, na uongozi kwa ujumla, Yanga wameibuka na madai mazito.
Habari hii hapa:
KLABU ya Yanga inapenda kuujulisha umma na Wanachama wa Yanga kuhusiana na taarifa za mchezaji wetu Feisal Salum Abdallah zinazoenea katika mitandao ya...
Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana?
Hivi sasa nasikia Yanga...
Kazumari kamwaga unyunyu jamani. Ebu tujadili huu mkataba wa Feisali.
Kwanza ni KWELI pasi na shaka yoyote kwamba Feitoto amewapa NOTISI klabu yake ya Yanga SC ya kuvunja mkataba nao.
Feisal alikuwa na mkataba na Yanga SC (ambao BIN KAZUMARI imeuona) uliosainiwa tarehe 10 Agosti 2020 ukichukua...
Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu.
Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu.
Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu
Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.