feisal

Feisal Abdul Rauf (Arabic: فيصل عبد الرؤوف, born October 23, 1948) is a Kuwaiti-born Egyptian-American Sufi imam, author, and activist whose stated goal is to improve relations between the Muslim world and the West. From 1983 to 2009, he served as Imam of Masjid al-Farah, a mosque in New York City. He has written three books on Islam and its place in contemporary Western society, including What's Right with Islam Is What's Right with America, and founded two non-profit organizations whose stated missions are to enhance the discourse on Islam in society.
He has condemned the 9/11 attacks as un-Islamic and called on the U.S. government to reduce the threat of terrorism by altering its Middle Eastern foreign policy. Author Karen Armstrong, among others, has praised him for his attempts to build bridges between the West and the Muslim world. In 2010, Sufi Imam Rauf received national attention for his plans to build Park51, an Islamic Community Center, two blocks from Ground Zero in Lower Manhattan.

View More On Wikipedia.org
  1. SAYVILLE

    Sakata la Feisal Salum linahusiana vipi na siasa za ndani ya CCM?

    Ngoja leo niwape za ndani ndaniii kabisa. Kuna mwanasiasa mmoja ambaye kwa miaka ya hivi karibuni amejipenyeza katika mambo ya mpira ili kutafuta ushawishi wa kisiasa. Wote tunajua kuwa toka Mwendazake aondoke, kumekuwa na mtifuano wa chini chini ndani ya chama kati ya wale waliokuwa wamewekwa...
  2. OKW BOBAN SUNZU

    Feisal: Naelekea Ulaya kuanza majukumu mapya

    Nawashauri Wazee wa Yanga waandamane kumuona Rais Samia,hii sio sawa
  3. Robert S Gulenga

    Feisal Toto, ulistahili, unastahili na umechelewa saana, Bravo, kuna muda Maisha ni akili, kipaji pekee hakitoshi - Wanasema Mision Accomplished

    Kwa umri wako na kiwango chako uko kwenye peak ya mafanikio, master mind wako amepanga hesabu zikapangika na wakajaa kwenye hesabu zenu, sasa wewe ndie mchezaji uatakayekuwa unalipwa mshahara mkubwa kuliko wachezaji wote wa ndani, na utakuwa ni mchezaji wa tatu kulipwa mshahara mkubwa kwa soka...
  4. Tango73

    Suala la Feisal toto ni mgogoro wa Wachezaji wazawa!

    ' Kila mchezaji mzawa hatakubali Feisal pekee ndiye arekebishiwe kipato huku wote wanakimbiza mpira dk 90! hili swala la feisal limeanzia kwa Stephane Aziz-K kununuliwa kwa bei mbaya na kuwa mchezaji ghali klabuni. Ikumbukwe mama mzazi wa Azizi K ndiye aliyekuwa meneja wake. Leo feisal kudai...
  5. Notorious thug

    Kumbe Makambo anamzidi Feisal Toto mshahara

    Kweli ukistaajabu ya Mussa utaona ya Firauni, nimeshangazwa na Mchezaji aliyekosa namba kikosi cha kwanza cha Yanga Herriet Makambo kulipwa 10M huku mchezaji mwandamizi na tegemeo Feisali Toto akilipwa hela ndogo mara tatu yake hakika Tanzania bado tuna viongozi wengi wa mpira madalali tuwape...
  6. Zanzibar-ASP

    Huenda Feisal anataka kumtikia nje, Azam inahusishwa ili kupoteza maboya!

    Mjadala wa sasa ni kuhusu Feisal kuondoka Yanga, huku akihusishwa kutaka kuhamia Azam FC. Sio yeye Feisal wala Azam Fc waliosema kuhusu Feisal kuhamia Azam Fc bali ni tetesi za mitandaoni za mashabiki. Kwa udadisi wangu nahisi huu ni mchezo tu ili kutupoteza maboya, lakini lengo halisi la...
  7. OKW BOBAN SUNZU

    Wakili Msomi: Yanga wamefanya uzembe kwa Feisal

    Wakili na mwanamichezo mzoefu nchini, Aloyce Komba ametoa ufafanuzi juu ya dili la Fei Toto kutua Azam akisema: . “Yanga wamefanya uzembe wenyewe na wasije wakathubutu kukimbilia Fifa kama walivyofanya kwa Bernard Morrison itakula kwao. Waangalie vizuri mkataba wa mchezaji unaeleza nini...
  8. B

    Tetesi: Hatimae ya Feisal yametimia

    Klabu ya Yanga imeripotiwa kurejesha pesa za kuvunja mkataba kiasi cha Tsh milioni 112 zilizolipwa na mchezaji Feisal Salum Klabu hiyo imemuandikia barua mchezaji huyo na kumtaka azingatie mkataba baina yao huku wakiziandikia mamlaka za soka pia Fei amerejea kambini rasmi Yanga
  9. Sildenafil Citrate

    Feisal Salum (Feitoto) aaga rasmi Yanga

    Umekuwa wakati mzuri sana kuichezea klabu ya Young Africans SC (Yanga) klabu yenye historia kubwa na ya kuvutia chini na Afrika yote. Tumekuwa na nyakati nyingi mchanganyiko, tulifurahi pamoja pale furaha ilipokuja elekeo wetu na tulihuzunika pamoja nyakati mbaya zilipotutokea. Nitakumbuka...
  10. B

    Kumekucha: Yanga wamjibu Feisal Salum (Fei Toto)

    Wakati Feisal akiwaaga wachezaji wenzake, mashaabiki wa Yanga, na uongozi kwa ujumla, Yanga wameibuka na madai mazito. Habari hii hapa: KLABU ya Yanga inapenda kuujulisha umma na Wanachama wa Yanga kuhusiana na taarifa za mchezaji wetu Feisal Salum Abdallah zinazoenea katika mitandao ya...
  11. J

    Yanga acheni kuhangaika na Feisal, ni ushamba

    Sakata la Feisal na Yanga linaendelea kupamba moto. Bahati mbaya hizi timu za Simba na Yanga zina maujinga sana. Ndio maana utaona kila siku zinakuwaga na habari za wachezaji waliowakariri. Utasikia Manzoki, Miquisone kila timu inawataka. Hamnaga scouting timu za maana? Hivi sasa nasikia Yanga...
  12. B

    Feisal kuondoka Yanga?

    Kazumari kamwaga unyunyu jamani. Ebu tujadili huu mkataba wa Feisali. Kwanza ni KWELI pasi na shaka yoyote kwamba Feitoto amewapa NOTISI klabu yake ya Yanga SC ya kuvunja mkataba nao. Feisal alikuwa na mkataba na Yanga SC (ambao BIN KAZUMARI imeuona) uliosainiwa tarehe 10 Agosti 2020 ukichukua...
  13. C

    Kuondoka kwa Feitoto: Sasa Yanga “utopolo” hali tete

    Hizi habari kama ni kweli, andaeni mlungula wa kutosha kwa waamuzi na wapinzani wenu. Pia jiandaeni kuumiza mchezaji mwingine kwa timu zilizo matishio kwenu. Kumbukeni bila muamala,bila Feitoto, timu yenu ni Kama Ihefu tu Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom