football

  1. Ng'wanamangilingili

    Kamati ya TFF na tuzo zenu wacheni Siasa kwa Football

    Truth should be told, wacheni perepeerepe kwa mpira, stop politicizing football, hams hapo kufurahisha mtu ama viongozi ama fans, sisi mashabiki tuko kushangilia na kuumia, yaani tamu chungu. suala la Mayele vs Ntibasonzika sijui ufungaji bora hakukua na haja ya kuwapatia wote, kwani vigezo vya...
  2. lesedy

    Private Takeovers Of Tanzanian Football Clubs

    Wana JamiiForums nina hii hoja, ''Je Kuna ugumu wa private sector kujihusisha na uwekezaji wa mpira wa miguu nchini Tanzania?" Kuachana na hoja ya kwamba mpira haulipi lakini je kuna '' bureaucracy '' ndani ya mfumo wa mpira wa miguu unaofanya uwekezaji kuwa mgumu?
  3. S

    My message to all of you especially football fans

    Historia ina nafasi katika ushabiki lakini haina nafasi ndani ya uwanja. Maandalizi ndio kila kitu.
  4. Logikos

    Football Tactics

    Nadhani tactics ni kama nyenzo inategemea unataka kufanya nini na una nyenzo ya aina gani kwa kufanya nini kama ukikosa Kisu unaweza kutumia msumeno - lakini hauwezi kutumia Kisu ili kukata miti unahitaji Shoka...., Hivyo basi unanunua nyenzo kutokana na nini unataka kufanya 1) VERROU tactic...
  5. Page 94

    England National Football Team (Three Lions), Special Thread

    Huu uzi ni mahususi kwa ajili ya matukio yote yanayoihusu timu ya mpira wa Miguu ya Uingereza. Timu hii inajulikana kwa jina la Utani la Three Lions, yaani Simba Watatu. Jina hili limechochewa zaidi na nembo ya timu hiyo yenye alama ya Simba watatu (tazama picha) Timu hii ipo chini ya...
  6. Msela Wa Kitaa

    Nina miaka 16 tangu nianze kufuatilia soka lakini swali hili limenichanganya

    Habari za mwamko waungwana, nimejiuliza hili swali nikashindwa kupata majibu. Kwa mfano timu A inacheza na timu B, Timu A wakapata penati, mchezaji wao akaipiga na kipa wa timu B akaitema mpira ukarudi uwanjani na kumkuta mchezaji mmojawapo wa timu A akafunga. Je, hilo bao litahesabiwa kuwa...
  7. Singida Big Stars

    Singida Big Stars Football Club | Special Thread

    Ndugu WanaJF, Karibuni kwenye uzi maalum wa klabu yetu ya Singida Big Stars. Kupitia uzi huu mtafahamu masuala mengi kuhusu klabu yetu ambayo ni mgeni wa Ligi Kuu Tanzania Bara na msimu huu ukiwa ni msimu wetu wa kwanza kushiriki Ligi Kuu ya NBC (2022/2022). HISTORIA Klabu ya Singida Big...
  8. H

    Wadau wa football tujadili kidogo

    Nini maoni yako wewe?
  9. Kichuguu

    Tanzania Football Federation Kati Wenzake

    Federation of Uganda Football Associations (FUFA) Federation Rwandaise de Football Association (FERWAFA) The Tanzania Football Federation (TFF) Football Association of Zambia (FAZ) The Brazilian Football Confederation
  10. Teknocrat

    Sasa Nigeria wanatengeneza Football Games za timu zao kwenye Pro Evolution Soccer

    Tunasubiri IT wa kibongo watungengenezee za Simba na Yanga kwenye PS5 au X box Kazi kwenu.... https://www.reuters.com/lifestyle/sports/nigerian-soccer-joins-video-game-big-league-local-stars-get-avatars-2022-07-08/...
  11. Aaron Arsenal

    Mino Raiola Ana hali mbaya, ni wakala wa Pogba, Zlatan, Lukaku, Haaland, Balotelli

    BREAKING NEWS: Italian football agent Mino Raiola died after illness. He was agent of Ibrahimovic, Pogba, Haaland etc 🚨 Football agent Mino Raiola has passed away according to the Italian media. 🙏😔 Taarifa Kadhaa huko Ulaya zinaripoti kifo cha wakala maarufu Raia wa Italia na Uholanzi Mino...
  12. Crocodiletooth

    Maximo to attend Tanzania football summit in Zanzibar

    It's greats especially in expanding sports tourism thank mama #SSH for an unique exposure Dar es Salaam. Former Tanzania national football team (Taifa Stars) head coach Marcio Maximo is expected to be among dignitaries who will attend Tanzania’s second Football Summit scheduled to take place on...
  13. babu M

    Lewis Hamilton na Serena Williams wamejiunga na Sir Martin Broughton consortium kutoa ofa ya kuinunua Chelsea Football Club

    Lewis ambaye ni mshindi mara saba wa Formula 1 world champion na Serena ni mshindi wa 23 tennis grand slam singles titles. Wameungana na wengine watatu pamoja na mwenyewe Sir Martin Broughton aliyekuwa mchezaji wa Liverpool kutaka kuinunua club ya Chelsea. Kila mmoja amechangia £10M Hii ni...
  14. J

    Billionea Abramovich atangaza kuuza mali zake zote nchini Uingereza ikiwemo Chelsea FC. Mabilionea wa Tanzania changamkieni fursa!

    Billionea wa kirusi Abramovich ametangaza kuuza mali zake zite nchini Uingereza yakiwemo majengo na klabu ya Chelsea ============================= Roman Abromovich leo ame confirm habari iliyokuwa imesembaa kwenye vyombo mbali mbali vya habari kwamba ameamua kuiuza Chelsea Football Club...
  15. MDAU JR

    Msaada App ya Ku stream live football games kwenye simu

    Habari wakuu! Tafadhali naomba Msaada kutoka Kwa yeyote ili nipate application yoyote ambayo nita install kwenye simu ili niweze kuwa Na stream live games za soccer nikiwa mbali Na tv. Hii ni nje ya Azam max, hiyo ninayo tayari. Natanguliza shukrani zangu za dhati.
  16. Mohamed Said

    SUNDERLAND FOOTBALL CLUB 1960s

    SUNDERLAND FOOTBALL CLUB 1960s Picha hizi nikiziangalia leo zinanikumbusha udogo wangu nikienda Ilala Stadium kuangalia mpira. Wengi katika wachezaji hawa wametangulia mbele ya haki na baadhi wachache bado wako hai. Katika ujana wangu miaka ya 1970 nilikuja kuwajua baadhi ya wachezaji hawa...
  17. mugah di matheo

    Sargio Aguero: Football itamkumbuka kwa lipi?

    Mwamba amelazimika kustaafu bila kupenda kufuatia kupatikana na matatizo ya moyo Binafsi katika nyakati hizi toka 2008 hadi Sasa naamini dunia imepata namba 9 mahiri wa 11 tu 1.Zlatan Ibrahimovic 2.Sargio Aguero 3.Lowerndosk 4.Haland 5.Luis Suarez 6.Cavan 7.podosk 8.Toti 9.Benzema 10.Drogba...
  18. Venus Star

    GSM aka Home Shopping Center (ya bandarini msiyalete kwenye football)

    Miaka ya 2010 hadi 2015 Home Shopping center walikuwa wao ndio TPA. Huwezi kuagiza bidhaa nje kupitia bandarini kama hawajakuruhusu wao. Huu uhuni wa kishamba wanataka kuuleta kwenye football. Wanachotaka kuiweka mfukoni mwao TFF. Pesa zao wazitumie watuachie football yetu. Wanaleta siasa za...
  19. Venus Star

    FIFA Football Law 14: Rules of a Penalty Kick

    Hebu tuambieni. Kwanini penalty inapigwa watu kama wote wamo ndani!? The referee places the ball on the penalty mark (the spot) and it must remain stationary. The goal posts and net must also be still (e.g. not moving). Next, the match official will identify and confirm which player is the...
  20. luangalila

    FIFA kuishushia rungu Kenya

    Kifuatiwa kitendo cha Serikali ya Kenya kuingilia Shirikisho la Mpira Kenya (FKF) na kumsimamisha Rais wa shirikisho ilo ni wazi FIFA. Mida wowote wataisimamisha Kenya , endapo Fifa wataisimamisha Kenya hapo Kesho basi timu iyo itatoa zawadi ya point tatu kwa kila timu iliyo kuwa nayo ktk...
Back
Top Bottom