forex

  1. Dit000

    What is the real meaning of 'demand and supply' in Forex market?

    habari za usiku na swali naomba wanauchumi na forex trades munijibu. Hivi, supply na demand , ni quantity of goods or services au ni number of people? mfano, mama lishe akipika chakula say wali na maharage kilo 20, then wateja wakaja wakanunua nusu ya kile chakula na nusu kikabaki, ni...
  2. chizcom

    Yule mkongwe aliyeteka JF kuhusu Forex sasa kaingia kwenye Cryptocurrency, tusubiri vilio

    kiwa na bahati ya kuhandika na maandiko yako yakawakamata vizuri watu basi utawachota kweli kweli. Huyu bwana hapa JF aliwakamata watu sana kipindi cha Forex na mpaka wengine hata umweleweshe vipi kukubali kuwa alikuwa akili yake aina 50 zake ilikuwa ngumu. Hapa JF watu wameweza kueleza Forex...
  3. vanlizer_fx

    Forex ilivyofilisi maduka yangu mawili ya nguo

    Daaaaah "Asie sikia la mkuu huvunjika guu" na "kusikia kwa kenge mpaka masikio yatoke damu" "Ulafi ulimponza mzee fisi"[emoji24][emoji24] Thread in a nutshell[emoji993] ____________________________ OK ngoja tuanze thread [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Nijambo la kufurahisha sana kuona...
  4. M

    Forex Trade imeniumiza

    Habari Wakuu, Baada ya kusoma soma sana na kujifunza Forex, na kuona mwenzangu amefanikiwa sana na Forex Trade, niliamua na mimi niingie kuyaoga haya maji kwani hamna mtu hapendi ma isha mazuri. Nikaanza vyema na 300 USD kwa wale wanaofahamu dowjones. Nilifanikiwa kwa kweli mpaka balance ikawa...
  5. Cannabis

    Duru za biashara za mtandao: Kuna dalili za watu kulizwa huko kwenye soko la forex, wajuzi wa haya masuala njooni huku

    Wakuu hii nawaletea baada ya dogo fulani kunitafuta huku amefura analalamika ameingia kwenye biashara ya kudownload pesa na kampuni fulani inaitwa 360 Capital na kushindwa kutoa pesa zake. Nikazama kwenye mitandao ya kijamii na kuitafuta kiundani maana jina lake ni kama niliwahi kulisikia...
  6. Dit000

    Wadau wa CFD forex traders pita hapa tubadishane mawazo

    Baada ya kupitia BOT nikaona kitu kinaitwa IFEM yaani interbank foreign exchange market, imenichanganya how it works kwamba ni mfumo unaodili globally au ndani ya nchi, nikaamua kuingia chimbo nikakutana na melezo haya, LONDON, NEW YORK – EBS(electronic brokering service), ICAP’s...
  7. chizcom

    Waliofanikiwa kwa njia wanazozijua wao wanajiona motivational sana!

    Hili swala ni zuri sana, Ila kuna watu wanajifanya kuwa na ushawishi wa kuhamasisha kujituma ili kupata mafanikio. Mfano wa watu hawa: Forex scammer makahaba ya grade za juu watoto wa wakubwa na matajiri waliopata pesa kwa njia za madawa ya kulevya na biashara za ajabu ushirikina shoo off za...
  8. KijanaHuru

    Kilichonifanya niachane na forex ni hiki hapa

    Najua wote muwazima Wacha nisonge kwa mada moja kwa moja. Nimewahi kuleta maandiko mbali mbali ya forex humu kwa siku za nyuma kipindi nikiwa naifanya nk Kwa mara ya kwanza nimeijua mwaka 2013 japo nilianza rasmi kuisoma na kuifanya mwaka 2015, kwa uhalisia siwezi sema nimewahikuliwa...
  9. Post M-alone

    Forex haiwezi kukutoa kimaisha, ni bora ubeti au ukalime

    Wakuu habari zenu, Baada ya kupigwa pesa zangu kwenye forex nimeamua na mimi nije kushare jinsi forex ilivyopelekea mpaka nime break up na gf wangu, lakini yote maisha nimejua wanawake almost wote ni lowkey gold diggers, kwa nini nasema hivyo nimepigwa $3200, $1000 zilikuwa ni za kwangu...
  10. Dit000

    Is forex difficult to learn?

    ONGEZA MAALIFA KIDOGO, WANAUCHUMI KARIBU KWA MAONI. Hili game ni mfano wa kundi la watu watano( hapa namanisha banks,commercial banks, hedge funds n.k), wamekaa chini wamedesign system inayopanda na kushuka( hapa namaanisha ECN network) kutokana na transactions zinazofanyika humo. Sasa...
  11. Mr simple M

    Forex ni betting tu in another system, nasema forex is gambling

    Wakuu nimekuwa nikifanya hizi kitu zote mbili kwa pamoja. I mean forex na na betting na nimekuja gundua hata forex nayo ni betting tu in another system huku tunabet mechi kule tunabet currency. Tofauti nyingine ni msamiati tu huku pips huku odds huku evaluation huku technical and fundamental...
  12. Ellon

    Kitabu gani cha kusoma baada ya Forex Bible na Candlestick Bible?

    Wadau wa Forex mimi Newbie katika FX, nimesoma vitabu viwili 1)Forex Bible 2)Candlestick Bible Naomba recommendation ya kitabu cha 3 na cha 4 cha kusoma kitachonijenga zaidi na kuendana na mfuatano mzuri wa knowledge. Na itakuwa vizuri ukiniambia humo nitajifunza nini zaidi. NB: Sihitaji...
  13. K

    Utapeli wa biashara ya kuwekeza unaofanywa na kampuni ya FX Fire iliyopo mkoani Mwanza

    Naomba watanzania muwe makini sana na kijana anaitwa Peter Kasanga aliyeko mkoani mwanza mwenye kampuni ya fx fire, anafanya biashara ya uwekezaji yaani unawekeza pesa na mwisho wa mwezi unalipwa 60% ya kiasi cha pesa ulicho wekeza, alikuwa akifanya hii biashara ya uewekezaji tangu mwaka jana...
  14. Artifact Collector

    Matumizi ya nguvu sio mazuri: BoT, Police following black market forex

    Copy and paste Sunday news 👋🏽 ya kuanzia siku 😂 Serikali ya mahodari inaendelea kupaiza uchumi! Sasa kuna soko la magendo (haikuanza leo ilianza 2018 walipopora fedha na kufunga maduka ya fedha) Sasa eti serikali inapambana na soko hili Ila ukweli ni huu (numbers don’t lie) 👇🏽 SASA Manunuzi...
  15. Ego is the Enemy

    Uliza swali lako kuhusu CFD, Options, Bonds, Stocks and Currency Trading (Forex)

    Habari zenu wanajamii forum! Kama kichwa cha habari kilivyo nipo hapa kuisaidia umma Wa watanzania kuhusiana na biashara hizi ambazo zimeibuka ivi karibuni kwetu huku lakini ila huko nje ni biashara za muda mrefu sana tokea huko karne ya 18. Sie tumezipata kutokana na ujio Wa simu janja ikiwa...
  16. Troll JF

    Matajiri wa Forex mnaendeleaje?

    Imeshapita miaka miwili sasa tangu Ontario awafundishe ku download pesa na msemo wenu wa Forex is not for everyone.... mkasema tuwaache mpige pesa vipi jamani Mnaendeleaje na Kudownload fedha? Ontario siku hiz anapatikana wapi?
  17. Naanto Mushi

    Miaka mitatu ya jasho kwenye Forex na ukweli mchungu niliojifunza, still 'GAME ON'!

    Niseme tu ukweli, upepo wa Forex ulivoingia Tanzania na mimi sikuwa nyuma. Nilijitoa na mimi kimasomaso kuisaka fursa. Kwa takribani miaka 3 kwenye game la Forex, imekuwa ni miaka ya kujifunza zaidi. Sikuweka nia ya kupata chochote kwa mda wa short term. Niliamua kupeleleza sana hii biashara...
  18. American nigga

    Wataalam wa Forex naweza kuendelea au niache

    Habari wazee, hivi juzi nilianza biashara ya forex kwa kuweka kiasi cha usd 100 kwenye account. na hii ni history tangu nilivyoanza kutrade hadi sasa, naombeni mnipe ushauri kama naweza kuendelea au niache na kama naweza kuendelea nifanye nini ili nipate matokeo mazuri zaidi
  19. covid 19

    Kwa wale Forex Trader, vipi kuhusu huyu broker wa Forex Exness

    Vipi huyu Broker kwa wale waliomtumia na wanaomtumia vipi kuhusu deposit na withdraw method zake? Vipi spread zake zinabadilika badilika au ni muaminifu? Naombeni moja, mbili tatu kuhusu huyu broker tafadhali nataka nifanye maamuzi hapa.
  20. Mtaalam_the_first

    Forex Trading Tanzania: Yafahamu haya kabla ya kujiingiza kwenye hii Biashara

    Habari, Ndugu Watanzania, mimi nikiwa kama mdau ya Forex Trading, nimeona kuna ulazima wa kuandika Makala hii kumsaidia Mtazania yoyote uko nje atakae au anaye tamani kujiingiza kwenye hii biashara. Waweza jiuliza kwa nini nachukua jukumu hili, mafanikio katika sekta hii sio rahisi kama inavyo...
Back
Top Bottom