Moja kwa moja kwenye mada ...
Wakuu kuna rafiki yangu amefanya maombi ya mkopo.. kila kitu kafanya sawa .. vyeti vyote ameweka safi tu.. na form aliipereka posta kuituma.
Baada ya siku mbili amegundua kuwa alisahau kuattach cheti cha form four kwenye ile form iliyoenda posta.
anauliza eti...
Naitwa Isaya Joseph Natafuta kazi yoyote ukuweza kujikimu kimaisha. Elimu yangu ni Form Four
Kazi nilizowahi kuzifanya awali ni kama ifuatavyo-:
Stationary miezi 6
Mashine za kusaga nafaka miaka 2
Afisa mikopo kwa wajasiliamali wadogo wadogo mwaka 1
Uwakala wa m-pesa, tigopesa mwaka mmoja...
Bila shaka natumaini mpo salama wakuu.
Moja kwa moja kwenye mada. imegundulika dhahiri shahiri kwamba wanafunzi wanaosoma advance na kujiunga na chuo kikuu wanakuw shallow sana ukicompare na wale waliotoka o levo na kujiunga na diploma.
Kwanini hii levo ya advance isiondolewe ili wanafunzi...
Tulio pata division 4 na Zero (0) kidato cha NNE, na tumetoboa kimaisha , tukutane hapa..
Aiseee, Mimi kidato cha NNE nilikula Zero nzuri tu, nikaingia mtaani kupambana, sahiv mambo super .
Walio nicheka, wananiangalia kwa aibu sahivi.
Wapendwa! Naomben ushauri wenu
Nina mdogo wangu amemaliza form four na amepata four ya 26
Kiswa B, English C, Lit Engl D
Bios, Civics, Geog---- D
Hist F and Math F
Je, anaweza kwenda kusoma advance au njia gani nyingine ya ziada ifanye ili asonge mbele kielimu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.