forum

An Internet forum, or message board, is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages. They differ from chat rooms in that messages are often longer than one line of text, and are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes publicly visible.
Forums have a specific set of jargon associated with them; example: a single conversation is called a "thread", or topic.
A discussion forum is hierarchical or tree-like in structure: a forum can contain a number of subforums, each of which may have several topics. Within a forum's topic, each new discussion started is called a thread and can be replied to by as many people as so wish.
Depending on the forum's settings, users can be anonymous or have to register with the forum and then subsequently log in to post messages. On most forums, users do not have to log in to read existing messages.

View More On Wikipedia.org
  1. Pfizer

    Pre GE2025 Hussein Bashe: Luhaga Mpina uwe na shukrani kwa serikali, chezea sekta nyingine sio kilimo

    Na MWANDISHI WETU, IGUNGA WAZIRI wa Kilimo Mhe. Husein Bashe (Mb) amemtumia salamu Mbunge wa Kisesa Luhaga Mpina kuwa awe na shukrani kwa serikali achezee sekta nyingine sio kilimo ambayo ni tegemeo kwa Taifa. Amesema chokochoko za uongo za mbunge huyo zinapogusa sekta ya kilimo hawezi...
  2. I

    Big Up Mzizi Mkavu, Asante Jamii Forums!

    Hamjambo member wote wa JF? Mimi naitwa inch 9, mwanachama mpya mkongwe wa JF nichukue fursa hii kumshukuru Mungu wangu pamoja na wale waliofanikisha kunileta duniani. Awali ya yote napenda nimshukuru pia member mkongwe wa JF wa kuitwa Mzizi Mkavu kwa sababu kupitia yeye ndo nilianza kuufahamu...
  3. barakachaplin

    job announcement for the position of Reporting & Geo Market Executive at Tanzania Empowerment Forum Limited (TEF Consult)

    Position Title: Reporting & Geo Market Executive Business Unit / Function: Revenue Planning Location: Dar es Salaam Department: Marketing Administrative Reporting to: Marketing Director Job Purpose: To manage Business Intelligence (BI) at the OPCO level and oversee the site rollout process from...
  4. Tanzanite klm

    Prius/Aqua Forum Tanzania

    Wananzengo za asubuhi. Wale tunaomiliki Prius/ Aqua tujuane. Tuambiane na kusaidiana changamoto za mazuri kwenye gari zetu kwa wanaomiliki na kuwapa hamasa ambao bado hawajamiliki wakaribie wafurahie 20km/l Tutafungua telegram chanel yetu kwa watakao kuwa interested waje inbox ni wa add
  5. Hypersonic WMD

    Jamii forum Inafanya sensorship na filter kubwa sana siku hizi!! Si sehemu huria kama mwanzo

    Sasa ivi hii platform hovyo sana! Kila nyuzi wanafuta!! Hata nyuzi zisizo za siasa!! Maoni binafsi story binafsi Yaan kifupi wanataka kila mtu awe mwandishi wa habar siyo sehemu tena ya ku interact. Good luck Jf Nawa tabiria kifo by 2030
  6. mkolaj

    Jukwaa la Jamii forum doctor au Jf Afya limepotelea wapi?

    Ndugu wanaJf ni simu yangu tu au na ninyi kwenye simu zenu Jukwaa la Afya kutoonekana! Tangu Jana nalitafuta silipati. Kuna shida gani! Naomba mwenye kujua tatizo atuambie....
  7. MIXOLOGIST

    MAOMBI: Uongozi wa Jamii Forums uanzishe Forum ya Yanga, ili mashabiki wa mabingwa tubadilishane mawazo

    Kiroho safi tu Nawasilisha Povu ruska
  8. Cecil J

    TALES OF LOVE: Mikasa ya kweli ya mapenzi.

    ...
  9. No Escape

    JamiiForums Usiku wa manane

    Nimefungua uzi huu kutokana na kuwa na janga la kukata usingizi usiku. Kama na wewe ni mmojawapo naomba tuungane pamoja hapa kwa kuandika ulipo na unafanya nini kwa wakati huo baada ya kukosa usingizi. Muda wa jukwaa ni kuanzia saa 6 usiku mpaka 11 asubuhi. Mimi hapa leo tangu nimeamka nimeamua...
  10. Nikifa MkeWangu Asiolewe

    Ni Sawa umeenda kupima DNA Na ukakuta mtoto sio wako utafanyaje?

    Kheri Kwenu mabibi na mabwana. Moderator msifute huu Uzi hatutaelewana kabisa. Nikweli natambua yakuwa gharama za kupima DNA sio kubwa ukilinganisha na gharama za kuleta mtoto Ambae sio wako. Yaani utunze mimba,gharama za kujifungua, malezi ya mtoto,usomeshe Hadi chuo kikuu mtoto apate kazi...
  11. Arch Barrel

    Wapi walipo hawa Legendary wa Jamii Forums

    Wakuu samahani naomba kuuliza na kujuzwa wapi walipo hawa member wa kitambpo wa JF? Walipatwa na umauti? Walibadirisha ID? Wako wapi? GUDume Zero Iq Joseverest Na wengine wengine wakongwe wa JF
  12. KakaKiiza

    Katika majumuisho ya Habari Mh, Rais Samia amtaja Max na Jamii Forum

    Tukiwa hapa Mlimani City Mh Rais Samia Suluhu Hassan amemtaja Mkurugenzi Mkuu wa Jamii forum Maxence Melo na Mtandao mzima wa Jamii forum katka majumuisho yake kuhusu uandishi wa mitandaoni akiipa kongole Jamii Forum katka usimamizi mzur wa habar za mitandao lakini akaongeza kuwa makini...
  13. Sauti Moja Festival

    Salam za Eid al-Adha kwa wana jamii forum kutoka Sauti Moja Festival!

    Tunawapongeza kwa sikukuu hii ya kipekee, inayotukumbusha umuhimu wa kujitolea, imani, na mshikamano. Tunawatakia baraka nyingi, afya njema, na amani tele katika kipindi hiki cha Eid. Tunatumaini mnafurahia sherehe hizi pamoja na familia na marafiki, huku mkikumbuka umuhimu wa kusaidiana na kuwa...
  14. Crocodiletooth

    Jamii forum, maoni dira ya Taifa, 2025-2050.

    -Maoni yangu binafsi ni umri wa kustaafu uwe miaka 50, kupisha chipukizi. -Iwe mwiko mtu kushika nafasi za kiuongozi zaidi ya moja. -Baada mtu kustaafu awe anapatiwa eneo la ekari 2, kama sehemu za benefit zake. -Uchumi wa viwanda upewe uzito -Utaalamu wa maswala ya electronic, ujuzi wake kwa...
  15. Raia Fulani

    Public speaking forum

    Hello wadau Kwa muda sasa nimekuwa najisikia huu wito wa kuwa public speaker. Sidhani kama ni siasa au dini, sio huko. Labda siasa ila baadae sana na itokee naturally. Najisikia zaidi kuwa mzungumzaji wa mazuala ya kijamii na kiuchumi (micro level). Natamani kupata jukwaa mashuleni (hasa...
  16. F

    SoC04 Matumizi ya Tuzo ya Milioni 50 kutoka Jamii forums kwa Maendeleo Binafsi na ya Nchi kwa Miaka 25 Ijayo

    Utangulizi Kushinda shindano la "Stories Challenge" na kuibuka mshindi wa shilingi milioni 50 ni tukio la kipekee linaloweza kubadili maisha. Malipo haya ni fursa adhimu ya kuweka msingi imara wa maendeleo binafsi na ya nchi. Katika makala hii, nitaelezea jinsi ninavyoweza kutumia fedha hizi kwa...
  17. M

    Kwanini wadau wanajamii forum mnabeza mtandao wa TikTok.

    Binafsi sijapendezwa na baadhi ya wanajamii forum kubeza mtandao wa TikTok. Mwanzo nilikuwa sio mfuatiliaji wa mtandao huo(TikTok) kwakuwa niliona watu wengi hapa wakisema kuwa hauna maudhi mazuri na kuudharau kutokana na wao wanavyo uchukulia. Cha ajabu na kushangaza nina mwezi sasa...
  18. Doctor Mama Amon

    The Tanzania Democracy Forum 2024: Towards an Inclusive, Participatory Democracy in the United Republic of Tanzania

    The Tanzania Democracy Forum 2024: Towards an Inclusive, Participatory Democracy in the United Republic of Tanzania 16 and 17th May, 2024 Golden Tulip Airport Hotel, Zanzibar Zanzibar, Tanzania The Center for Strategic Litigation (CSL), in collaboration with Waandishi wa Habari za Maendeleo...
  19. nzalendo

    Nina miaka 15 ndani ya JamiiForums

    Mabibi na mabwana nina mshukuru huyu atupaye pumzi na riziki. Huu ni mwaka wa kumi na tano ndani ya jamii forum......(si mchezo).. Mengi nimejifunza namshukuruni sana sana. Na wale tunaopishana kimtazamo au mawazo hapan'shaka twasameheana manake kiukweli binadamu tuna mapungufu na mie njia ya...
  20. nzalendo

    Hivi humu JamiiForums hatuwezi kuanzisha vikobesha

    Yaani VICOBA ili kujikwamua katika hili na lile...ni wazo tu waungwana....au ninyi mwafikirije?
Back
Top Bottom