An Internet forum, or message board, is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages. They differ from chat rooms in that messages are often longer than one line of text, and are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes publicly visible.
Forums have a specific set of jargon associated with them; example: a single conversation is called a "thread", or topic.
A discussion forum is hierarchical or tree-like in structure: a forum can contain a number of subforums, each of which may have several topics. Within a forum's topic, each new discussion started is called a thread and can be replied to by as many people as so wish.
Depending on the forum's settings, users can be anonymous or have to register with the forum and then subsequently log in to post messages. On most forums, users do not have to log in to read existing messages.
WATU wa Mungu jf niwasalimie kila mtu kwa imani yake
Bila jali mitazamo yetu tofauti ila ni imani Yangu sie ni Ndugu tu,
Usiku wa kuamkia leo nimeguswa na yule ajuaye nini makusudi yake kunifanya niwe hai leo, na nini kusudio lake kunileta duniani ,nami ni vyema share nanyi baraka hizi
Ni...
Habari zenu JF expert members.
Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums.
Asante
Unajua nini kuna mitandao ya kijamii ukiifuatilia utacheka sana wakati mwingine inasikitisha kwasababu waandishi hawana tena uweledi yaani hawaandiki tena uhalisia wa maisha wanaandika kile bosi anataka hii ni hatari kwani kwani waandishi ndo watu pekee wanao weza kubadili uongo uonekane kweli...
📌 MAPINDUZI YA KIJANI BARANI AFRICA.
(Africa Green Revolution Forum)
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango ameshiriki kwa njia ya mtandao Mkutano wa Mapinduzi ya kijani Barani Afrika (Africa Green Revolution Forum) akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano...
Jamii Forums inakukaribisha kushiriki kwenye Mjadala kuhusu Maambukizi ya #COVID19 pamoja na Utoaji wa Chanjo nchini Tanzania
Mjadala huu unafanyika Agosti 6, 2021 kupitia Twitter Spaces (JamiiForums) kuanzia Saa 12 jioni na utahusisha Wataalamu wa Afya watakaozungumzia Masuala anuani kuhusu...
Message…MIMI SIYO MGENI SANA HUMU JF. LAKINI SINA UTAALAMU WA KUTOSHA KATIKA MATUMIZI SAHIHI YA HUU MTANDAO. INGAWA NINAWEZA KUCHANGIA MADA KATIKA THREAD YA MTU MWENGINE. LAKINI MIMI BINAFSI NINAPATA CHANGAMOTO KATIKA KUANZISHA THREAD YANGU. NA HASWA KULE KATIKA JUKWAA LA "STORY OF CHANGE"...
Katika Taifa lolote lile lililo huru si ajabu kuona majukwaa mbalimbali yakishiriki katika mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi.
Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuibua hoja nzito na nyingi juu ya Taifa letu la Tanzania licha ya kwamba Kuna wakati inapigwa vita.
Kama ambayo...
Nani anasema maoni pinzani,maoni kinzani yamezuiwa katika nchi hii.
Matatizo ya Wapinzani IGP Sirro alikuwa anawagombeza Chadema katika Uchaguzi uliopita. Anasema Chadema walikuwa hawana heshima kwa Polisi.
Tundu Lissu alikuwa anafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali katika Bunge. Kashkash ya...
Kwa umoja wetu natoa mapendekezo ya kuundwa kwa serikali ya watu wa JamiiForums (JF)
HATUA:
-Kufanya uchaguzi wa rais wetu pamoja na mkaimu
-Kisha raisi kwa mamlaka tutayompa atamchagua waziri mkuu
-Uteuzi wa mawaziri wa nyuzi zote za (JF)
Jana Mei 15, 2021 ilikuwa siku ya familia duniani. Familia ndiyo taasisi ya kwanza ambayo sote tumepita na wenye bahati tumeitengeneza au tutaitengeneza. Sasa hivi taasisi ya familia inapitia changamoto kubwa sana kuliko taasisi yoyote.
Nimejaribu kupitia mabadiko yetu jana nasikitika kusema...
JamiiForums ni darasa huru ambalo kama mtu anatamani kuwa mwandishi bora kabisa wa masuala mbalimbali anaweza kujiona na kufikia viwango vya juu sana. Nashauri waandishi wa habari najaribu kuitumia fursa hii ili kuepusha uandishi holela na kurupushi.
Nakiri kujifunza mengi sana yanayohusiana...
KUTOKA FEBRUARY 16-2010-MPAKA FEBRUARY 16-2021
MIAKA KUMI NA MOJA(11) KATIKA MTANDAO BORA TANZANIA WA JAMII FORUMS.
Leo ni siku ambayo kwangu naiona kama siku ya kishujaa muno,Nasema hivyo kwakuwa nimeweza kutimiza miaka 11 katika huu mtandao nimekuwa mwanafamilia wa huu mtandao,JF kama wengi...
Wadau Wa Jamii Forum, Nimeamini Tanzania Ya Viwanda Inawezekana!
Nimekuta wadau wakijaribu kupata mwanga kwa kutumia teknolojia ya Zamani kidogo!
Wahenga mtuhabarishe
Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union:
We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an...
Taasisi ya Kiraia ya JamiiForums pamoja na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia mkataba wa makubaliano wa kupeleka ujumbe sahihi kwa wananchi kuhusiana na watoto wanaoizaliwa kabla ya wakati (njiti).
Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi na Mhasisi wa Doris Mollel Foundation Doris...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.