forum

An Internet forum, or message board, is an online discussion site where people can hold conversations in the form of posted messages. They differ from chat rooms in that messages are often longer than one line of text, and are at least temporarily archived. Also, depending on the access level of a user or the forum set-up, a posted message might need to be approved by a moderator before it becomes publicly visible.
Forums have a specific set of jargon associated with them; example: a single conversation is called a "thread", or topic.
A discussion forum is hierarchical or tree-like in structure: a forum can contain a number of subforums, each of which may have several topics. Within a forum's topic, each new discussion started is called a thread and can be replied to by as many people as so wish.
Depending on the forum's settings, users can be anonymous or have to register with the forum and then subsequently log in to post messages. On most forums, users do not have to log in to read existing messages.

View More On Wikipedia.org
  1. 4

    Kama Mungu kanigusa,nami ngoja nishiriki na ndugu zangu wote wa jamii forum

    WATU wa Mungu jf niwasalimie kila mtu kwa imani yake Bila jali mitazamo yetu tofauti ila ni imani Yangu sie ni Ndugu tu, Usiku wa kuamkia leo nimeguswa na yule ajuaye nini makusudi yake kunifanya niwe hai leo, na nini kusudio lake kunileta duniani ,nami ni vyema share nanyi baraka hizi Ni...
  2. K

    Ninatafuta kazi za ndani ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana

    Habarini wana JamiiForums Ninatafuta kazi za ndani kwa yeyote ambae atahitaji mdada wa ndani ninapatikana Malipo kuanzia laki Asanteni
  3. Maxence Melo

    App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi

    Edited on Feb 14, 2024 Android users: Follow 👉🏾 DOWNLOAD JF APP iOS Users Users: Follow DOWNLOAD JF APP
  4. P

    Kutangaza na Jamii Forums

    Habari zenu JF expert members. Nahitaji kujua kutangaza na Jamii Forums gharama zake (kama ni Admin/mod inbox Kwa maelezo zaidi) na wewe mwingine share ujuzi wako kuhusu kutangaza na Jamii Forums. Asante
  5. MWAG

    SoC01 Jamii Forums: Habari Katika Kurasa Salama

    Unajua nini kuna mitandao ya kijamii ukiifuatilia utacheka sana wakati mwingine inasikitisha kwasababu waandishi hawana tena uweledi yaani hawaandiki tena uhalisia wa maisha wanaandika kile bosi anataka hii ni hatari kwani kwani waandishi ndo watu pekee wanao weza kubadili uongo uonekane kweli...
  6. Mr Pixel3a

    Habarini ndugu wanajamii forum

    Ndugu wanajamii forum niwaita hapa kuwataarifu kuwa mm ni mgeni wenu shabiki wa simba nipokeeni naomba ushirikiano
  7. Stephano Mgendanyi

    Mapinduzi ya Kijani barani Afrika (Africa Green Revolution Forum)

    📌 MAPINDUZI YA KIJANI BARANI AFRICA. (Africa Green Revolution Forum) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Isdor Mpango ameshiriki kwa njia ya mtandao Mkutano wa Mapinduzi ya kijani Barani Afrika (Africa Green Revolution Forum) akimuwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano...
  8. Roving Journalist

    Yaliyojiri JamiiForums Space kuhusu Maambukizi ya COVID-19 na Utoaji Chanjo Tanzania

    Jamii Forums inakukaribisha kushiriki kwenye Mjadala kuhusu Maambukizi ya #COVID19 pamoja na Utoaji wa Chanjo nchini Tanzania Mjadala huu unafanyika Agosti 6, 2021 kupitia Twitter Spaces (JamiiForums) kuanzia Saa 12 jioni na utahusisha Wataalamu wa Afya watakaozungumzia Masuala anuani kuhusu...
  9. M

    NAOMBENI MSAADA WANA JAMII FORUM WENZANGU

    Message…MIMI SIYO MGENI SANA HUMU JF. LAKINI SINA UTAALAMU WA KUTOSHA KATIKA MATUMIZI SAHIHI YA HUU MTANDAO. INGAWA NINAWEZA KUCHANGIA MADA KATIKA THREAD YA MTU MWENGINE. LAKINI MIMI BINAFSI NINAPATA CHANGAMOTO KATIKA KUANZISHA THREAD YANGU. NA HASWA KULE KATIKA JUKWAA LA "STORY OF CHANGE"...
  10. Jaffotz

    SoC01 Nafasi ya Jamii Forums katika jamii yetu ya Tanzania

    Katika Taifa lolote lile lililo huru si ajabu kuona majukwaa mbalimbali yakishiriki katika mijadala ya kisiasa, kijamii na kiuchumi. Jamii Forums imekuwa mstari wa mbele katika kuibua hoja nzito na nyingi juu ya Taifa letu la Tanzania licha ya kwamba Kuna wakati inapigwa vita. Kama ambayo...
  11. Poppy Hatonn

    Wananchi kuikosoa Serikali ni haki yetu

    Nani anasema maoni pinzani,maoni kinzani yamezuiwa katika nchi hii. Matatizo ya Wapinzani IGP Sirro alikuwa anawagombeza Chadema katika Uchaguzi uliopita. Anasema Chadema walikuwa hawana heshima kwa Polisi. Tundu Lissu alikuwa anafanya kazi nzuri ya kuikosoa Serikali katika Bunge. Kashkash ya...
  12. PromiseLand

    Hello JamiiForums

    Napenda kuwasalimia wana JamiiForums wote kama member mpya.
  13. M

    Serikali ya watu wa JamiiForums

    Kwa umoja wetu natoa mapendekezo ya kuundwa kwa serikali ya watu wa JamiiForums (JF) HATUA: -Kufanya uchaguzi wa rais wetu pamoja na mkaimu -Kisha raisi kwa mamlaka tutayompa atamchagua waziri mkuu -Uteuzi wa mawaziri wa nyuzi zote za (JF)
  14. comte

    Mei 15, ilikuwa siku ya familia duniani, lakini sikuona kama Tanzania tumeipa umuhimu

    Jana Mei 15, 2021 ilikuwa siku ya familia duniani. Familia ndiyo taasisi ya kwanza ambayo sote tumepita na wenye bahati tumeitengeneza au tutaitengeneza. Sasa hivi taasisi ya familia inapitia changamoto kubwa sana kuliko taasisi yoyote. Nimejaribu kupitia mabadiko yetu jana nasikitika kusema...
  15. Victor Mlaki

    JamiiForums linaweza kuwa darasa zuri sana la waandishi wa habari wanaoiona fursa hii

    JamiiForums ni darasa huru ambalo kama mtu anatamani kuwa mwandishi bora kabisa wa masuala mbalimbali anaweza kujiona na kufikia viwango vya juu sana. Nashauri waandishi wa habari najaribu kuitumia fursa hii ili kuepusha uandishi holela na kurupushi. Nakiri kujifunza mengi sana yanayohusiana...
  16. KakaKiiza

    Kutoka February 16 2010-mpaka February 16-2021 hapa Jamii Forums

    KUTOKA FEBRUARY 16-2010-MPAKA FEBRUARY 16-2021 MIAKA KUMI NA MOJA(11) KATIKA MTANDAO BORA TANZANIA WA JAMII FORUMS. Leo ni siku ambayo kwangu naiona kama siku ya kishujaa muno,Nasema hivyo kwakuwa nimeweza kutimiza miaka 11 katika huu mtandao nimekuwa mwanafamilia wa huu mtandao,JF kama wengi...
  17. U

    Kumbe hii Teknolojia ya kupata mwangaza bado inatumika hata kwenye majiji kama Dar es Salaam

    Wadau Wa Jamii Forum, Nimeamini Tanzania Ya Viwanda Inawezekana! Nimekuta wadau wakijaribu kupata mwanga kwa kutumia teknolojia ya Zamani kidogo! Wahenga mtuhabarishe
  18. S

    Tundu Lissu kushiriki katika Forum ya International Democratic Union

    Habari hii ni kwa mujibu tweet ya International Democratic Union: We are pleased to confirm Hon. Tundu Lissu’s participation at the #IDUForum2020. Tundu Lissu is Vice-Chairman of @ChademaTz and was Presidential candidate in the recent elections in #Tanzania, which have been an example for an...
  19. Pascal_TZA

    JamiiForums na Doris Foundation waungana kumpambania mtoto njiti (+picha)

    Taasisi ya Kiraia ya JamiiForums pamoja na Taasisi ya Doris Mollel Foundation wameingia mkataba wa makubaliano wa kupeleka ujumbe sahihi kwa wananchi kuhusiana na watoto wanaoizaliwa kabla ya wakati (njiti). Akizungumza katika hafla hiyo Mkurugenzi na Mhasisi wa Doris Mollel Foundation Doris...
  20. Nyaru-sare

    Non Grammatical English speakers forum unamwaga vyovyote unavo jisikia kuhusu Lugha ya kiingereza hata kama utachanganya

    Sema chochote unavo jisikia kuhusu usanifu wa lugha ya kiingereza
Back
Top Bottom