Husika na kichwa Cha habari hapo juu....sisi makada wa Chama Cha Mapinduzi, uzalendo wetu kwenye chama chetu Ni kujibu hoja za wapinzani na kuujuza Umma wa Watanzania juu ya Mambo ambayo yamefanywa/Yanafanywa na chama chetu Cha CCM. Tujivunie uwazi uliopo ndani ya chama chetu Cha CCM na...
May 20 Mohammed wa 5 nililetwa kwenye dunia hii...Asante Sana familia, baba na mama kwa upendo wenu mpaka leo nilipofika..pole Sana mama angu kwa yote uliyoyapata baada ya kunileta duniani miaka 2 ulikuwa mtu wa kuumwa na kuteseka nakupenda Sana.
Happy birthday to me Mohammed wa 5
Hoja hii ni nzito sana ambayo mimi mwenyewe kama mwanaJF sina mamlaka ya ku-dictate thread hii kwa maana ya unyeti wake, kwa uchache tu ninachoweza kueleza ni kwa nini nimefikia kufikiri hivyo;
1. Jamii Forums ninayoijua mimi ni ile iliyojaa wanazuoni na wabobezi wenye uwezo na weledi wa kila...
Nimekuwa mtembeleaji wa hii forum kubwa kabisa nchini Nigeria kama sio Africa kwa miaka mingi sana sasa
Kinachonishangaza ni kwa nini hawataki kuifanyia mabadiliko ya kimuonekano kama wanavyofanya jamii forums mara kwa Mara
Je zipo sababu za msingi kwa wamiliki wa mtandao huu kutokutaka...
Afande Kagame siku nyingine najua unapitia pitia mitandao ya kijamii ya Watanzania iliyoandikwa kwa lugha za Kiswahili ama Kingereza kama Jamii Forums na kadhalika.
Afande najua hupendi kuulizwa maswali ila mimi ngoja nikuulize swali, mbona unakuwa muoga wa kurudi frontline kupambana na haya...
Habari zenu mashabiki wote wa mpira JF
Leo Yanga sc tunaingia uwanjani na malengo ya kupata ushindi ili tuweze kuwa na uhakika wa kuvuka hatua inayofua ya robo fainali.
Mechi tuliocheza kule Tunisia tuliocheza vizuri japo hatuktengeneza nafasi za magoli.
Na wapinzani wetu walitumia mipira...
ZAMA zimebadilika sana. Siasa za majukwaani zipo lakini ukweli ni kwamba mitandao ya kijamii nayo ina nafasi kubwa sana Kwa sasa. Na si kila mtandao unafaa kufikisha ujumbe.
Jamii Forum ni jukwaa muhimu mno kufanya siasa kutoa hoja na kujibu hoja maana JF kuna wajinga wachache tofauti na...
Wakuu lengo la kuanzisha uzi huu ni kwaajili ya kuwachana member wa jamii forum,si kwa ubaya tu bali hata kwa mazuri,,,
najua hili jukwaa ni chuo tosha,kwani tunakutana watu kaliba mbalimbali,watu wamekua katika makuzi tofauti tofauti,kuna wazee, vijana hadi kuna watoto humu, hivyo kila mada...
Jamii ina watu tofauti tofauti, kukiwa na matabaka, kipato, elimu na mtindo wa maisha hutofautiana.
Kuna wenye ushawishi kam Mshana
Watu wajuaji na wabishi kama kiranga
Wenye degree za maisha kama Analyze
Wapo wasomi wa ngazi na taalum tofauti
Pia kuna matajiri kam akina kidukuliko
Wapenda...
23 January 2023
Dar es Salaam, Tanzania
The European Union Delegation to Tanzania is planning to jointly organise the EU-Tanzania Business Forum with the government of the East African nation in a move aimed at allowing investors from the EU to come and explore the opportunities available in...
Kuna watu wanadai ni wanaume ila nimefanya utafiti ni mashoga
Nipo serious Kwa sababu huwezi mtu kufurahia status Yako kimaisha na mtu aje aandike mbovu Kwa hasira sijui Malaya wewe.
Unaliwa nauanze kutoa povu ukiambiwa haya toa ushahidi hakuna .
Ila jamaa amejaa hasira Kisa upo na mwanaume...
Unjani sabuwona
Wakuu kiukweli mimi ni mtu wa kushukuru katika maisha yangu Iwe neema kubwa kubwa au ndogo ndogo wakuu ninayo furaha kuwatangazia kuwa nimempata mchumba miss ...... Jina lake Linaanzia na A.
Wakuu after struggle ya almost 3 months mtoto namfuatilia bila matokeo yoyote yale but...
Habari zenu wana tech, nipo hapa nimepata wazo nataka nifungue forum iwe kama JamiiForums ila tu utakuwa mahususi kwajili ya watu wanaotokea sehemu moja, kufanana interests, kufanya kazi / biashara sawa, n.k. (niche specific)
Wanachama wa kukadiriwa kujiunga ni takribani elf 30.
Je, ni kiasi...
Enyi familia ya Dkt. Rwakatare nawashauri ushauri wa bure bure bure kabisa, mtafutieni mganga wa JamiiForums nchini Tanzania ndugu Mshana Jr awasaidie kumzindika ndugu yenu la sivyo nawambieni huyu Diwani hapotei hivi hivi.
Mbona alikuwa hapotei mama yake akiwa hai?
Mi nasema mtafuteni mshana...
Imezoeleka wazazi na walezi wengi hutamani kuwarithisha watoto wao kazi na taaluma zao, lakini kwa aliyekuwa rubani wa ndege ya Precision Air 5H-PWF, ATR 42-500, marehemu Buruhani Rubaga hali ilikuwa tofauti, kwani aliwazuia watoto wake kusomea taaluma ya urubani.
Siri hiyo imefichuliwa na...
Wadau natumai Ni wazima;
Nilipata faraja Sana kuskia kijana alieongoza kuokoa watu kuwa serikali ilimuona na ikampatia ajira,naipongeza Sana serikali kwa hili.
Lakini mimi nmekaa nikifkiria nikaona memba wa humu aliyetabir hii ajali nae afikiriwe na Serikali maana huyu ndo ana umuhimu...
Hii tabia inakera sasa kwa siku nafuatwa na wanawake 6 mpaka 10 huku pm, wengi wao wanaomba mahusiano na mimi mwizukulu mgikuru a.k.a babu...nimechoka kutongozwa na akina beesmom.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.