Wanabodi,
Humu JF, mimi najihesabu ni mmoja wa waalimu wa somo gumu kabisa kwa watu wa kawaida. Hili ni somo la kitu kinachoitwa "psychoanalysis"
Kuijua psychoanalysis ni nini na ni ya kazi gani? tembelea hapa Psychoanalysis Trends za Viongozi Wetu, Humbleness ya Rais Samia ni Bonafide...
Binafsi, Niko Kilimanjaro kikazi lakini hata ikitokea napata uhamisho usiku wa manane nasepa.
Kilimanjaro nadhani ni Mkoa wa wastaafu na siyo sehemu ya utafutaji. Na maisha ya huku ni tofauti sana.
NI mkoa mdogo sana.
Ni mkoa wenye idadi ndogo sana ya watu, mostly wazee.
Ni mkoa wenye Ardhi...
In a small village nestled deep in the heart of Tanzania, the people were struggling to make ends meet. Their crops were failing due to a prolonged drought, and they lacked access to basic necessities such as clean water and healthcare. The people were desperate for change, for a glimmer of hope...
Tuendelee na mada zetu za kukera you know how much you know hahahahaha nyie si wazazi wenu si waliamini mjini msingi kiuno? Miaka Ile DDC Mlimani Park walikuwa hawakosekani?
Niwaambie kile kipindi wazazi wa wenzenu walikuwa wananunua Maplot huko kedekede hahahahaha.
Kwangu mimi sina haja hata...
08 DECEMBER 2022
Former German Chancellor Angela Merkel yesterday admitted that her participation in the Minsk Agreements between Ukraine and Russia in 2014 and 2015, was a deliberate deception; designed only to "buy time" for Ukraine to build its army for war with Russia. A war that is now...
Usitumie nguvu kubwa sana katika kumtongoza mwanamke, unaweza ukamkosa ukapoteza mda wako. Ila unaweza ukampata ukapoteza mda na pesa zako.
Usimtongoze mwanamke kwa mategemeo ya kumbadilisha ni kweli wapo wanawake ambao wanabadilishika ila kama mwanaume usifanye hiyo kazi utapoteza mda wako...
Anaandika, Robert Heriel,
Kuhani katika Hekalu Jeusi.
Ukitaka bahati yako na mkondo wako wa pesa uanze kuyumba basi itakupasa uanze uzinzi au uasherati. Yaani hiyo ndiyo mbinu namba moja kabambe ya kujitia matatizoni.
Nafsi ya mtu huchafuliwa na uzinzi, yaani ili mtu awe mchafu basi itampasa...
Hembu tuone mm naona atapotea.
Huyu fundi Kwa Umri wake angesalia united na ujio wa mafundi wengine pale OT si haba angefanya jambo.
Watu kama casemiro, Antony, malacia anavyopambana dhahiri uwepo wa Erickson lazima Pogba angeonesha fundi pale kwenye namba nane
Ushirikishwaji wa vijana katika kilimo imekuwa mada kuu hivi karibuni na imeibuka katika ajenda ya maendeleo, kwani kuna wasiwasi unaokua ulimwenguni kwamba vijana wamekata tamaa na kilimo.
Huku vijana wengi - karibu 85% - wanaishi katika nchi zinazoendelea, ambapo kilimo kinaweza kutoa chanzo...
Ni ukweli usiosemwa!
Wazee wetu ambao tumekuwa tukiaminishwa kuwa ni visima vya hekima na busara, kwamba tuwasikilize na kujifunza kwao. Kiuhalisia hawana mchango wowote kwenye dunia ya leo ya sayansi na teknolojia.
Malezi yao hujikita kwenye kile wanachokiita maadili na mila, na kwa wachache...
Katika karne hii ya 21, kijana mwenye maarifa na maono atakuwa anafahamu kuwa bila kuchagua career sahihi maisha yatakuwa magumu.
Ninaposema taaluma au Careers nzuri, maslahi japo ndio la kwanza lakini pia kuna kitu kinaitwa quality of life au tuseme work-life balance.
Yani unaweza...
Kiufupi mapenzi hayana Fomula Ni Bora kudeti na demu wa kawaida sura ya Baba kipindi ukiwa katika hard moment ili kusoma upepo wa. Maisha na kuitafuta Kesho iliyo Bora .
Sura ya Baba hawana gharama
Wako deep . katika mapenzi
Hata akikupiga chini hakuna kuumia
Hi itakusaidia kufocus vizuri...
Hbr za leo Wana jforum!!
Natafuta mke,awe
Elimu;diploma and above
Umri:miaka 34 au chini
Dini.mkristo
Kabila: lolote
Nb akiwa na watoto au mgumba ni sifa nyongeza!!
Sifa zangu
Mi Nina watoto wawili
mwajiriwa serikalini
Miaka 35
Dini;mkristo
23 April 2022
LIVE : MUBASHARA :
Mh. Rais Samia Suluhu Hassan : Maendeleo ya Watu yanayolenga katika maji safi, elimu na fursa kwa wote ni muhimu sana
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na Rais wa Benki ya Dunia Bw. David Malpass katika mjadala juu ya...
Ilikua hivi, alimchumbia akiwa mwanafunzi, ahadi kibao walipeana mpaka ndoto ilipotimia ya jamaa kupeleka posa na kukipa mahari. Mke alielewa hali ya jamaa na alihamia baada ya hatua za mahari kukamilika.
Sasa anataka kusimea mafunzo ya upishi kama ahadi zao walizoahidiana kabla ya ndoa. Mume...
Lugha hutoa fursa nyingi sana za utumiaji wa vipawa vyetu kama binadamu...
Lugha huakisi akili wa yaliyomo katika bongo, fikra na hisia zetu kama biandamu...
Badala ya kila mara kuweka mawazo yetu katika maneno yetu wenyewe, mara nyingi sisi huwasilisha hisia zetu kupitia maneno ya wengine...
Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.
Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika...
MIAKA IMEENDA SIONI FUTURE YANGU; NIMEKATA TAMAA!
Kwa Mkono wa Robert Heriel.
"Nina miaka 33, sina mke, sina mtoto, sina kiwanja, Kodi inanishinda, wala sio Kodi nyingi haifiki hata elfu 50 Kwa mwezi lakini inanitoa jasho kuilipa, chakula nakula Kwa mbinde Kama mvuta upinde. Mavazi yangu ni...
Angalia hawa vijana wa Bavicha hata majina sitaki kuwataja, muda mwingi wapo Twitter wanalumbana juu ya ishu za ajabu ajabu tu. Hawajui hoja namna kujenga hoja juu ya kuwakuna wananchi hakuna kabisa.
Tuna vijana na wanachama ambao wanadhania siasa ni ushabiki na kuropoka hovyo.
Wao ni kuishi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.