World leaders are planning new lockdowns to introduce “The World Debt Reset Program,” which includes a universal basic income and vaccination requirements.
They are preparing for a second and third wave of covid-19 cases and are fine-tuning their lock down strategies which will be implemented...
Wakuu hivi hawa dada zetu ninyi mnawaelewa kweli.
Eti kisa nazingua kumwoa ameniambia sina future.
Wakati kila siku ananiambia beibe nakupenda na kunipiga mabusu motomoto.
Wakuu ninyi mnaelewaje hizi ishara.
Habari za jioni ndugu zangu wana MMU.
Bila kupoteza muda ni kwamba nina miaka 30, mkiristo, nina elimu ya chuo, nimejiajiri mwenyewe, nina urefu wa wastani.
Hivyo basi, kutokana na hizo sifa hapo zilizotajwa hapo juu napenda kuwataarifu kwamba nahitaji rafiki wa kike ambaye siku za mbeleni...
Shikamooni wakubwa zangu wote wa hapa JamiiForums.
Ndugu zangu Watanzania;
Mpaka kufikia sasa (2020) ni miaka 60 imepita baada ya uhuru wa bara letu hili pendwa la Afrika.
Now, what kind of future do African politicians and leaders hold for their fellow countrymen in the next 60 years (2080)...
Leo Mgombea Urais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad na Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Bernard Membe, watapokelewa asubuhi hii na Wazanzibar wa Unguja.
Matukio mbalimbali na picha za mapokezi tutawawekea hapa.
CHADEMA,
Fanyeni upesi, mtuletee Tundu Lissu aje Kumjambisha huyu wa maendeleo ya vitu Kuliko watu.
Lissu anafaa sana na ana vigevyo vyote. Pombe ikichacha humwagwa, nani wa kuimwaga basi, ni Lissu.
Pombe ya bia haiwezi kujiona bora bila kupambanishwa na vileo vingine kama gongo, whiskey...
Kardashev Scale ni mfumo wa kupima uwezo wa jamii iliyostaarabika (civilization) kiteknolojia kutokana na kiwango cha nishati wanachoweza kutumia.
Mfumo huu ulioanzishwa na mwanasayansi Mrusi Nikolai Kardashev (1932-2019) unaweka jamii hizi katika makundi matatu ya uwezo.
Type 1 Civilization...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.