Memba anayependwa na wakati huohuo uonewa wivu GENTAMYCINE ameanza kupevuka kiakili maana nyuzi anazoweka jf sasahivi ni konki na fikirishi kinoma.
Nachukua nafasi hii kumpongeza kwa kuanza kujua kiakili.
Heko popoma letu. GENTAMYCINE
Siwezi kukupa pole kwa matokeo ya leo maana wewe umesababisha wanasimba kibao kufa na wengine kupata magonjwa yasiyotibika kwa tabiri zako uchwara. Tangu mwaka juzi kila inapofikia tarehe ya Simba kucheza na timu yeyote wewe unaleta chambuzi zako uchawara hasa ukiituhumu Yanga kufanya figisu kwa...
Imeelezwa kiungo Mapinduzi Balama anatarajiwa kuelekea nchini Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu zaidi ya majeraha yake
Balama amekuwa nje ya uwanja wa miezi sita sasa akiuguza majeraha aliyopata mwishoni mwa msimu uliopita
Pamoja na kuelezwa hali ya nyota huyo ilikuwa ikiendelea vizuri...
1. Rais bora Kwangu
Paul Kagame ( Rwanda )
2. Mtandao bora Kwangu
JamiiForums
3. Timu za Mpira bora Kwangu
Simba SC ( Tanzania ), Liverpool FC ( UK ), FC Barcelona ( Spain ), PSG ( France ) na Bayern Munich ( Germany )
4. Vyuo Vikuu bora Kwangu
Saint Augustine University of Tanzania...
1. Mthubutu wa Maendeleo ya Watanzania na Tanzania
2. Anajiamini na haogopi wala hatishiki kama Sifa Kuu ya Amiri Jeshi Mkuu makini
3. Ana Unyerere 40% na Usokoine 60% ambavyo vinamsaidia sana kumfanya akubalike na Werevu wengi duniani
4. Si Mnafiki, ni Muwazi, Mkweli huku akiwa si mpenda...
UAMUZI WA MWISHO WA KUTENGUA UTEUZI WA MADIWANI ULIOFANYWA WA WASIMAMIZI WASAIDIZI WA UCHAGUZI UTASABABISHA UCHAGUZI WA MADIWANI KUTENGULIWA NA MAHAKAMA.
Karibu maamuzi yote ya Wasimamizi Wasaidizi wa Uchaguzi (Assistant Returning Officers) kutengua uteuzi wa wagombea udiwani wa vyama vya siasa...
Namfananisha ndugu yangu GENTAMYCINE Na Tundu Antipas Mughway Lissu.
Hii ni kwasababu sifa zote za GENTAMYCINE alizonazo au anazojinasibisha nazo ni za Tundu Lissu.
Mfano
Charismatic fella
Pure talented
Entertainer
Game changer
Hizi sifa zote ni za Lissu. Hivyo sikosei kusema GENTAMYCINE ni...
Gwiji la makeke hapa jamiiforums limekuja na msemo mpya unaosema MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA)
Hebu fikiria Mambo ambayo ukiyafanya unakuwa MRITHI MWANDAMIZI WA UPUMBAVU TANZANIA
Mfano
Serikali inapiga kelele kuhusu korona wewe hujali as if HAKUNA kitu ukiwa hivyo ujue wewe ni...
Yule kijana mwenye makeke mengi kuliko wote humu jf amerudi Tena baada ya mapumziko ya lazima ya mwaka mpya Sasa naamini jf itachangamka Tena upyaaa ukiwa na stress nenda kamsemee hovyo mzee kijana gentamycine matusi utakayopata stress zitakwisha .
Pia naamini wale waliodhani Mimi ni mzee baba...
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza, karibuni tujadili bila upendeleo wala chuki yoyote. Mfano inajulikana wanafunzi wengi wanaosoma University of Dodoma ni wale ambao alama zao hazikutosha kusoma University of Dar es salaam n.k hivyo kujikuta wanaangukia kwenye kapu la Udom.
Vivo hivyo...
Jumamosi April 15 mwaka huu umoja wa kizazi cha kuhoji nchini (UTG) ulifanya mkutano na waandishi wa habari kuelezea juu ya matukio mbalimbali ya watu kupotea, kutekwa na wengine kuuawa. Katika mkutano huo tulieleza baadhi ya hatua tulizochukua kuhusu hali hii ya kuogofya inayoendelea nchini kwa...
Kuna habari za kuaminika Kuwa Russia ameingia Libya na anawaunga mkono Haftar na pia amewapa silaha nzito,
Pia kuna wanausalama wa GRU na vikosi toka Russia vimepelekwa Mashariki mwa Libya kwa kutoa mafunzo.. pia kuna kambi kubwa mbili huko Tobruk na Baghaz pia inaaminika siraha na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.