goba

Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba

View More On Wikipedia.org
  1. R

    Nyumba inauzwa Goba

    Eneo lenye nyumba iliyofikia umaliziaji inauzwa Goba, Dar. Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule. Sifa za Eneo: *Iko mita chache kutoka barabara ya Goba. *Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli. *Ina Vyumba vitatu vya kulala, chumba...
  2. Bosspraise

    Goba kulangwa plots for sale kuanzia sqm 400 mpaka 2000

    Goba kulangwa surveyed plots for sale 1.5 km.for main road 50000tsh per square meter Kuwahi kwako ndio kupata Viwanja vinaanzia square meters 400 mpaka 2000 Mradi huu vimebaki vichache 0742 892 195 Call whatsapp
  3. Bosspraise

    Goba kulangwa plots for sale 50000 per square meter

  4. Bosspraise

    Goba kulangwa viwanja vinauzwa

    Viwanja vinauzwa Goba kulangwa Viwanja vimepimwa hati bado. Kutoka lami Kilometer 1.5 Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti. Vipo vichache *SQM 1,000 mil 45 *SQM 800 mil 36 *SQM 700 mil 32 *SQM 600 mil 27 *SQM 900 mil 41 *SQM 550 mil 25 *SQM 490 mil 23 *SQM 1500 mil 68 *SQM 2000 mil 90 *SQM...
  5. T

    KERO Sifieni mnavyoweza lakini huku Goba maji tunaletewa mara Moja kwa wiki tena usiku mnene

    Nawakumbusha tu wenye kipaji cha kusifia hali ya upatikanaji ya maji inazidi kuwa mbaya, kwani maji yamegeuka kuwa anasa vilory vya maji vimerudi kwa Kasi kubwa na maji hutoka mara Moja kwa wiki usiku wa manane na yenyewe mkikinga madumu kadhaa tu yanakata. Wananchi wamekata tamaa.
  6. Bosspraise

    Goba kulangwa plot for sale

    GOBA KULANGWA PLOT FOR SALE GOBA KULANGWA KWA UWESU 85000tsh per sqm VIWANJA VIMEPIMWA 0742892195 Wasiliana na sisi zaidi
  7. Bosspraise

    Plot4Sale Goba Kulangwa Plots for Sale

    GOBA KULANGWA PLOT FOR SALE GOBA KULANGWA KWA UWESU 85000tsh per sqm VIWANJA VIMEPIMWA 0742892195 Wasiliana na sisi zaidi
  8. E

    Fursa ya Kazi: WhyNot In Lounge and Kitchen ya Goba

    WhyNot In Lounge and Kitchen ipo Goba Dar es salaam Tunatafuta staff ili kufanya kazi katika hii business mpya iliyopo Goba, Dar es Salaam. Tunatafuta watu wenye vipaji na uzoefu kwa nafasi zifuatazo: 📌 Manager 📌 Bartender/Counter Staff 📌 Servers/Waitress 📌 Cleaners Vigezo vya Muombaji: ✅...
  9. A

    Nyumba inauzwa Goba njia nne

    Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami Bei 230M mazungumzo yapo Hatimiliki ipo Mawasiliano 0737148766 Karibuni
  10. P

    Kiwanja kinauzwa kwa Bedui (Tegeta A) Goba karibu na kanisa la Wasabato

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 5 tukutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38) Kuna barabara unafika na gari bila tatizo Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
  11. P

    Nauza plot Tegeta A kwa bedui -Goba.

    Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
  12. BATULUNGE

    Eneo kubwa la biashara linauzwa Goba

    Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa. Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna nyumba 1 imejengwa na fremu 2 za biashara Bei yake ni Tsh 500 mil Kwa mawasiliano zaidi piga 0656077998
  13. USSR

    Goba soon itakuwa kama Sinza na Tabata

    Ilianzia njia nne kuelekea Madale bar zimepangana kila nyumba mbele bar na zote zimejaa magari ya maana na watoto wazuri huku mziki mkubwa wa bendi na vijana na nyingi hukesha aka night club. Ukianzia njie nne kulekea Masanja nako ni vile vile hata ukiingia ndani ndani kidogo hali si shwari...
  14. Anastasia21

    Plot4Sale Nauza kiwanja Goba Kibululu kwa million 10

    Kina ukubwa wa 25x20
  15. Roving Journalist

    TARURA: Barabara ya Goba Wakorea hadi Tegeta itakuwa ya lami, njia za watembea kwa miguu na taa za barabarani

    Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutaka kujua mrejesho kuhusu Jenzi wa baraba ya Tegeta kwenda Goba Wakorea umefikia wapi, TARURA wasema mchakato unaendelea. TARURA wamesema Barabara hiyo ya Goba Wakorea itakuwa ya kiwango cha lami ambapo ujenzi huo utakuwa na njia za watembea kwa miguu na taa...
  16. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa/karibu na Madale/karibu na njia nne

    Habari za wakati huu... Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa... Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho.... Kilomita mbili mpaka madale mwisho... Kilomita mbili mpaka Goba njia nne.... Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale.... Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
  17. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Eneo linauzwa Tsh. Milioni 8, lipo Tegeta A Goba Mpakani

    Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni. Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki. Kiwanja kipo mjini haswaa. Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani...
  18. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Goba Tegeta "A" Kwa Bedui

    Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center Dakika 7 tuu mpaka goba centre Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho Kiwanja kina sqm 700 Ni corner plot Kina njia kubwa pande mbili Eneo limejengeka vizuri sana Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu.... ☎️ +255 699...
  19. Ochoa Real Estate

    Viwanja vinauzwa mita 30 kutoka barabara ya lami ya Makongo-Goba

    Habari za muda huu... Viwanja vinauzwa.. 📍 Vipo goba kantina (Makongo road) ⌚ Dakika mbili kutoka Goba center 🔥 ⌚ Dakika 15 kutoka Mlimani city 🔥 🛣️ Mita 30 tuu kutoka barabara ya lami 🏟️ Upande wa kulia kutokea Mlimani city 🏟️ Upande wa kushoto kutoka Goba 🏟️ Viwanja vipo tambalale...
Back
Top Bottom