goba

Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba

View More On Wikipedia.org
  1. Ochoa Real Estate

    Plot4Sale Viwanja vizuri Goba Kantina, mita 30 tu kutoka barabara ya lami ya Makongo Road

    VIWANJA VINAUZWA GOBA KANTINA (MAKONGO ROAD) Viwanja vipo mita 30 tuu kutoka barabara ya Lami ya Makongo. Viwanja vipo tambarare kabisa. Dakika 2 tuu kutoka site mpaka Goba Centre. Dakika 15 tu kutoka site mpaka Mlimani City. Viwanja vimezungukwa na nyumba za kisasa kabisa. Wale wasio penda...
  2. BATULUNGE

    Nyumba inauzwa Goba

    Nyumba ipo umbali wa km 1 kutokea Goba centre, ina kiwanja chenye ukubwa wa sqm 462, nyumba ina vyumba 3 vya kulala, sebule 1, dining jiko stoo na vyoo 2 0656077998 Inauzwa 90mil
  3. E

    Plot4Sale Viwanja na Mashamba vinauzwa sehemu mbalimbali Dar na Pwani

    Kazi kazi Nina nyumba Kali inauzwa iko Tabata Kisukuru Ina hati Tsh250ML Nina kiwanja kinauzwa Tabata Kisukuru ukubwa ni mita 20x30 ila nafasi ya kuongeza kubwa wa eneo ipo, kina faa kujenga Sheli sababu barabara kubwa ya lami itapita hapo siku sio nyingi, bei Tsh 50ML. Nina kiwanja maeneo...
  4. JOH CARLOS

    Phone4Sale iphone X inauzwa Dar es salaam goba

    habari, nauza simu yangu ,iphone x yenye specs zifuatazo 64gb camera kali sana battery health 77 true tome ipo officiall iphone
  5. Roving Journalist

    Muliro: Clip ya anayedaiwa kuiba mtoto eneo la Goba ni ya Julai, 2022

    Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam tarehe 25 Julai, 2024, Saa 3:20 asubuhi ilipata taarifa kuwa eno la Goba Matosa, Kinondoni kulikuwa na tukio la mauaji yaliyotokana na ugomvi kati ya watu wanaodaiwa kuwa ni wapenzi Polisi baada ya kufika eneo la tukio walibaini kuwepo kwa mwili wa...
  6. A

    KERO Uchimbaji Mchanga unavyoharibu barabara ya Goba - Mpakani kwenda Madale (Dar)

    Tusaidiane kufikisha hili kwa mamlaka husika. UCHIMBAJI MCHANGA UNAVYOHARIBU BARABARA YA GOBA - MPAKANI KWENDA MADALE. Kutokea Goba - Mpakani , eneo maarufu kama "kwa ajali" ukiwa unaenda Madale kabla hujakutana na barabara ya mbopo, Kuna mto una tenganisha haya maeneo. Changamoto ni kwamba...
  7. Ms Billionaire

    Changamoto ya barabara mbovu Goba Kulangwa/Tegeta a Serikali inapuuza?

    Habari wadau. Narudi tena kusisitiza shida za Barabara za Goba kulangwa! Leo tumenusurika tena kupoteza watoto kumi. Sijui tupige vipi kelele hizi barabara zitengenezwe kwa ubora. Sio kutupitishia magreda! Maana Mvua zikija zinasomba tena! Nasisitiza tena. 1. Kuna ile njia Goba kulangwa...
  8. Maleven

    Pamoja na mvua kukata siku chache, Goba maji yanatoka kwa mgao, mnakaa wiki maji hamna

    Sasa ukitaka kufatilia kweli shida iko wapi? Kwanini hakuna anaewajibika? Mvua zimenyesha mpaka mafuriko lakini lao wiki ya pili maji yametoka mara moja tu. Mtetezi ni nani? Kwakweli hii sio fair kabisa
  9. K

    Barabara ya Goba mpakani inazidi kuisha. Darajani maji mengi

  10. A

    KERO Ubovu wa Barabara ya Kawawa unatupa mateso makali Wananchi wa Goba Matosa

    Naomba ujumbe huu uwafikie Viongozi wetu wa huku kwetu Goba Matosa Uzaramuni kuna changamoto ya Barabara ya Kawawa (Kawawa Road) imeharibika kwa kiwango kikubwa. Huu ni mwezi wa nne tangu hali iwe mbaya zaidi, kila kiongozi anayekuja kazi yake ni kupiga picha na kuondoka lakini utekelezaji ni...
  11. Miss Zomboko

    Ukarabati wa Barabara ya Tegeta A (Kwa Bedui)

    Ukarabati wa Barabara ya Tegeta A (Kwa Bedui) umeanza baada ya Wananchi kulalamika Ubovu wa Barabara hiyo ambayo imekuwa kero kwa Watumiaji kwa zaidi ya Miezi mitano Viongozi wetu mpaka tuwashtue kidogo ndio wakumbuke kwamba tumewaajiri ======== Malalamiko ya Awali: KERO - Barabara Tegete A...
  12. Mshobaa

    KERO Serikali kupitia TARURA msikie kilio cha watu wa Goba mpakani (Tegeta A)

    Kwa kweli kuna hii barabara inaanzia hapa Tegeta A hadi goba mpakani hali ni mbaya sana. Imefikia hadi watu wanahama makwao kutokana na hali ya usafiri wa eneo hili kua mgumu kupitiliza, baada ya daladala kukimbia kutoa huduma eneo hilo. Hali ya hii barabara inatisha sana ni ajabu wameshindwa...
  13. The Sheriff

    Wananchi wa Goba wakarabati barabara wenyewe, Serikali za Mtaa washawishi bango litolewe

    Hii ni picha ya bango la mradi wa ujenzi na ukarabati wa kilomita mbili (2) Goba kwa Awadhi ambayo imesambaa kwa kwenye mitandao ya kijamii. Mradi huu ni wa ukarabati na ujenzi wa mitaro ambapo unatokana na nguvu za wakazi wa eneo hilo. Inaelezwa wakazi hao wamekubaliana kujenga mitaro kwa...
  14. Ashampoo burning

    Mkata umeme wa Goba ni katili, anatutesa mno

    Kwenye hili swala la umeme ni kweli serikali tunajua wameshindwa na tiba yake sio ya leo wala kesho. Tumekubali mgao wa umeme sababu ndo hali halisi kuwa serikali ya sasa imeshindwa. Sasa hapo kwenye mgao kuna mitaa inaonewa sana kwa mfano goba asee huu mtaa wanakata umeme kila...
  15. Mshobaa

    Barabara ya Goba mpakani, hii sio hujuma?

    Habari wakuu, Mnamo mwaka Jana zilikuja taarifa hapa juu ya hii barabara ya Goba mpakani ilivyokuwa hatarishi kupitika baada ya kupigiwa kelele hapa hapa jamvini wahusika mara moja wakaenda kuichonga. Sasa basi hii barabara kwa kweli ina hali mbaya sana kwa sasa, wahusika ni Kama hawaioni...
  16. Chief Wingia

    Wakazi wa Goba & Salasala tutakufa kwa magonjwa ya mlipuko kwa huu upuuzi kujaza na kuziba makorongo kwa takataka.

    Habari zenu wakuu. Aisee hii ni hatari sana karibia kila mtu aliyenunu kiwanja maeneo yenyewe makorongo ni mwendo wa kuziba kwa takataka kuanzia Salasala, Kinzudi, Majengo, Marobo, Mivumoni, Goba na Madale imekuwa kama fashion vile. Unakuta mtaa mzima unanuka harufu ya dampo na mainzi kama tupo...
  17. Suley2019

    SI KWELI Kiwanda cha Goba cha mayai kimefungwa, mayai ya viini viwili yakamatwa

    Habari, Nimekutana na picha zinazodaiwa kuwa ni kiwanda cha mayai Goba ambacho kinadaiwa kimekaa karibuni. Pia kuna video inasambaa ikionesha mtu akiuza mayai yenye viini viwili. Video inayosambaa ikihusishwa na kuwapo kwa kiwanda Cha kutengeneza mayai Kuna ukweli wowote kuhusu picha...
  18. The Assassin

    Goba ni uswazi iliyochangamka ni Manzese ama Tandale ya miaka 30 ijayo

    Wikiendi iliyopita, Jumamosi na Jumapili nilipata wasaa wa kutembea Goba kwa sehemu kubwa kwa sababu nilikua na ndugu yangu ambae katoka huko mkoani anataka kiwanja na kujenga Dar. Ndugu yangu kafika hapa tayari alishachagua eneo analolitaka kua ni Goba, basi tukatafta madalali na kuanza...
  19. S

    Plot4Sale Nauza kiwanja Goba

    Ninauza kiwanja changu kipo Goba Kulangwa kina ukubwa wa mita 15 kwa mita 30. Bei ni milioni 14 Nyaraka Serikali za mitaa. Huduma zote za kijamii zipo 0762282526
  20. kamandawasua

    Natafuta Chumba master (100k) Mbezi Beach au Goba

    Habari JF, Natafuta chumba chakupangisha maeneo ya Mbezi Beach (Mbuyuni, Africana, Makonde, Shule, Kogoo, Tank Bovu, Massana) au isipite Goba Kayuni ukienda na njia ya Goba Chumba kiwe ni kikubwa na Master. Mwenye nyumba aisiwe kwenye nyumba moja. Wapangaji wasiwe wengi (8+). Kuwe na uzio/fensi...
Back
Top Bottom