Goba is a town and separate District located in the Bale Zone of the Oromia, Ethiopia approximately 446 km southeast of Addis Ababa, this city has a latitude and longitude of 7°0′N 39°59′E and an elevation of 2,743 meters above sea level.
The town is known for its Wednesday market and for honey, basketry and cotton shawl making; Bale National Park is 10 km to the southwest. A few kilometers outside of Goba are the remains of an old rock church. Goba shares Robe Airport (ICAO code HAGB, IATA GOB) with neighbouring Robe.
Ethiopian Airlines has a scheduled flight four times a week connecting Goba to the capital Addis Ababa and to the southern city Arba
Eneo lenye nyumba iliyofikia umaliziaji inauzwa Goba, Dar.
Mahali: Lilian Kibo kwa Mwakifulefule.
Sifa za Eneo:
*Iko mita chache kutoka barabara ya Goba.
*Iko upande wa kushoto ukitokea mbezi beach, na upande wa kulia ukitokea mbezi stendi ya Magufuli.
*Ina Vyumba vitatu vya kulala, chumba...
Goba kulangwa surveyed plots for sale
1.5 km.for main road
50000tsh per square meter
Kuwahi kwako ndio kupata
Viwanja vinaanzia square meters 400 mpaka 2000
Mradi huu vimebaki vichache
0742 892 195
Call whatsapp
Viwanja vinauzwa Goba kulangwa
Viwanja vimepimwa hati bado.
Kutoka lami Kilometer 1.5
Viwanja vina ukubwa tofauti tofauti.
Vipo vichache
*SQM 1,000 mil 45
*SQM 800 mil 36
*SQM 700 mil 32
*SQM 600 mil 27
*SQM 900 mil 41
*SQM 550 mil 25
*SQM 490 mil 23
*SQM 1500 mil 68
*SQM 2000 mil 90
*SQM...
Nawakumbusha tu wenye kipaji cha kusifia hali ya upatikanaji ya maji inazidi kuwa mbaya, kwani maji yamegeuka kuwa anasa vilory vya maji vimerudi kwa Kasi kubwa na maji hutoka mara Moja kwa wiki usiku wa manane na yenyewe mkikinga madumu kadhaa tu yanakata.
Wananchi wamekata tamaa.
WhyNot In Lounge and Kitchen ipo Goba Dar es salaam
Tunatafuta staff ili kufanya kazi katika hii business mpya iliyopo Goba, Dar es Salaam. Tunatafuta watu wenye vipaji na uzoefu kwa nafasi zifuatazo:
📌 Manager
📌 Bartender/Counter Staff
📌 Servers/Waitress
📌 Cleaners
Vigezo vya Muombaji:
✅...
Nyumba Goba niwe nne Njia panda ya Tegeta A. Ukubwa wa eneo 550 square meter
vyumba vinne, viwili master, sebule na jiko
Tank la Maji na kisima cha Maji ya akiba, Mita 400 toka barabara ya Lami
Bei 230M mazungumzo yapo
Hatimiliki ipo
Mawasiliano 0737148766
Karibuni
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 5 tukutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38)
Kuna barabara unafika na gari bila tatizo
Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Eneo linauzwa lipo Goba njia nne barabara ya kuelekea Madale lina faa sana kwa ajili ya kujenga sheli ya mafuta au Kujenga maduka makubwa.
Eneo lina ukubwa wa sqm 4800 na ndani ya eneo kuna nyumba 1 imejengwa na fremu 2 za biashara
Bei yake ni Tsh 500 mil
Kwa mawasiliano zaidi piga 0656077998
Ilianzia njia nne kuelekea Madale bar zimepangana kila nyumba mbele bar na zote zimejaa magari ya maana na watoto wazuri huku mziki mkubwa wa bendi na vijana na nyingi hukesha aka night club.
Ukianzia njie nne kulekea Masanja nako ni vile vile hata ukiingia ndani ndani kidogo hali si shwari...
Baada ya Mdau wa JamiiForums.com kutaka kujua mrejesho kuhusu Jenzi wa baraba ya Tegeta kwenda Goba Wakorea umefikia wapi, TARURA wasema mchakato unaendelea.
TARURA wamesema Barabara hiyo ya Goba Wakorea itakuwa ya kiwango cha lami ambapo ujenzi huo utakuwa na njia za watembea kwa miguu na taa...
Habari za wakati huu...
Kiwanja kinauzwa Goba Kulangwa...
Kiwanja kipo upande wa kulia kutokea Madale mwisho....
Kilomita mbili mpaka madale mwisho...
Kilomita mbili mpaka Goba njia nne....
Kiwanja kipo ndani ya mita 200 kutokea barabara kuu la Lami ya Madale....
Kiwanja kipo eneo zuri sana la...
Eneo linauzwa lipo Tegeta "A" Goba mpakani mtaa wa Mlimani City
Dakika 2 tuu kutoka barabara kuu ya Mtaa ambayo itawekwa lami hivi karibuni.
Kutoka site mpaka Goba Center ni mwendo wa dakika zisizo zidi 15 kwa gari/pikipiki.
Kiwanja kipo mjini haswaa.
Kiwanja kina size ya mita 10 X 10 yaani...
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 700
Ni corner plot
Kina njia kubwa pande mbili
Eneo limejengeka vizuri sana
Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu....
☎️ +255 699...
Habari za muda huu...
Viwanja vinauzwa..
📍 Vipo goba kantina (Makongo road)
⌚ Dakika mbili kutoka Goba center 🔥
⌚ Dakika 15 kutoka Mlimani city 🔥
🛣️ Mita 30 tuu kutoka barabara ya lami
🏟️ Upande wa kulia kutokea Mlimani city
🏟️ Upande wa kushoto kutoka Goba
🏟️ Viwanja vipo tambalale...